Uwepo wa Mungu wakati wa shida
Updated at: 2024-05-27 07:12:05 (2 years ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Kwa kawaida kwenye maisha unapofikia Hatua unaona Mungu hayupo kabisa na wewe basi ujue huo ndio wakati ambao Mungu yupo karibu na wewe zaidi.
Read more
Close
Njia ya Kumtafuta Mungu
Updated at: 2024-05-27 07:11:29 (2 years ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Mungu ni rahisi sana kupatikana. Ugumu ni njia ya Kumtafuta Mungu na namna ya kumuishi Mungu. Hapa ndipo watu wengi wanashindwa.
Read more
Close
Sala ni ufunguo
Updated at: 2024-05-27 07:11:56 (2 years ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Sala ni ufunguo wa kufungulia mema na kufungia Mabaya. Tusali ili tufungue mema katika maisha yetu na tufunge mabaya katika maisha yetu.
Read more
Close
Sala ni chakula cha roho
Updated at: 2024-05-27 07:12:00 (2 years ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Sala ni kama chakula cha Roho, Bila sala roho inakufa. Tusali daima ili roho zetu ziwe hai siku zote.
Read more
Close
Upendo na Matamanio ya Mungu kwa Wanadamu
Updated at: 2024-05-27 07:12:05 (2 years ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Kama vile Baba anavyotamani mwanae akue katika maadili na aelekee katika njia nyoofu. Ndivyo na Mungu anavyotamani uachane na dhambi na kumfuata yeye.
Read more
Close
Sifa za Sala yeyote
Updated at: 2024-05-27 07:11:31 (2 years ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Sala yoyote ili iwe SALA lazima itolewe kwa Imani, Upendo, Unyenyekevu na kwa Matumaini. Sala kama hii ndiyo ipendezayo mbele ya Mungu.
Read more
Close
Mafundisho ya amani
Updated at: 2024-05-27 07:12:08 (2 years ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Ukitaka kupata amani, tumaini katika Ahadi za Mungu. Ahadi ya Mungu ni hii "Hatoacha kutusaidia wala kututupa".
Read more
Close
Mungu anajibu sala kutokana na nia
Updated at: 2024-05-27 07:11:39 (2 years ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Mungu anamjibu mtu sala zake kutokana na anachonuia.
Read more
Close
Uhuru na Amani ya Moyoni
Updated at: 2024-05-27 07:11:53 (2 years ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Uhuru Na Amani Ya Moyoni hupatikana kwa kusali wala sio kwa kusoma vitabu na kujua sana Mambo mengi.
Read more
Close
Sala ni Upendo
Updated at: 2024-05-27 07:11:57 (2 years ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Sala sio maneno mengi au maneno ya kurudiarudia. Sala ni maneno au hata neno moja la kimapendo litamkwalo kwa imani na kwa nia thabiti.
Read more
Close