Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
☰
AckyShine

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Featured Image

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda kumzawadia. Mpenzi akashukuru lakini alipogundua kuwa zote ni nyeusi si akaropoka.
MY HONEY: Sasa umeninunulia chupi zote nyeusi, sasa watu si watadhani nina chupi moja tu sibadili,

236 Comments

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Featured Image
Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;
237 Comments

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Featured Image
236 Comments

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Featured Image
236 Comments

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Featured Image
Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: Ni fundi wa kufunga ATM Demu: Wow dont tel me i love you myn mwa mwa mwaaaaah
236 Comments

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Featured Image
237 Comments

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Featured Image
236 Comments

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image
238 Comments

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Featured Image
236 Comments

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Featured Image
237 Comments
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact