Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
☰
AckyShine

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Featured Image

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai akachukua tax wakati wa kurudi.walipofika sasa shughuli ilikuwa hivi.

Masai: we dureva? Naulisa Ng'ombe na mbusi ipi ngali?
Dereva: Ni ng'ombe ghali Masai.

236 Comments

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Featured Image

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumbani kwenu
NAKUA: Hakuna kitu kama hicho
DOGO: Kweli baba kuna jini liko kwenye kabati lenu la nguo….

237 Comments

Eti kwani wewe ni turubali?

Featured Image
237 Comments

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Featured Image
238 Comments

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Featured Image
Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ilikuwa kwenye shelf ya chini, wakati anainama apate kuitazama vizuri kwa bahati mbaya (au nzuri!), shuzi likamtoka- druuuuuu,
236 Comments

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Featured Image
241 Comments

Hii ndiyo bongo sasa!!

Featured Image
256 Comments

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Featured Image
237 Comments

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Featured Image
236 Comments

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Featured Image
236 Comments
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact