Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
☰
AckyShine

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Featured Image
236 Comments

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Featured Image
236 Comments

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Featured Image
236 Comments

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Featured Image

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.
MKE: Salama tu
MUME: Uko wapi?
MKE: Jamani si niko nyumbani
MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikie…..mkeΒ­ akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Okay haya mi natoka kazini naja

Β 

237 Comments

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Featured Image
238 Comments

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image
238 Comments

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Featured Image
236 Comments

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Featured Image
236 Comments

Hawa Machizi wamezidi sasa

Featured Image
236 Comments

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"

Β 

238 Comments
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact