Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
☰
AckyShine

Nguvu na Umuhimu wa Upendo

Featured Image
Katika fadhila zote, upendo ndio unaonyesha uwepo wa fadhila nyingine Upendo ni Amri kubwa kuliko zote Upendo ni Utimilifu wa Sheria Upendo ni Utakatifu
100 Comments

Daima Tunakumbushwa kuungama dhambi zetu hata kama ni ndogo kiasi gani

Featured Image
Kulikuwa na vijana wawili walioamua kwenda kwa padri kumwelezea shida zao. Basi walipofika kwa yule padre, wakamwambia padre, " samahani padre tuko hapa mbele yako kwa kuwa tumejisikia kuwa ni wadhambi ha hivyo tunahitaji kuungama.
50 Comments

Mambo ya Msingi Sana Kuhusu Kusali na Kuomba

Featured Image
Rafiki yangu, Omba utafute uso wa Mungu, Aonaye kwa Siri atakujibu kwa wazi. Mungu ni Mwaminifu Sana hasa kwa wamwombao bila kukoma na kwa matumaini. Mungu yeye anasikia Sala zetu zote na kuzijibu zote.
100 Comments

Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu

Featured Image
Ibada ya Huruma ya Mungu ni njia yenye nguvu ya ukarabati na uongofu!
50 Comments

Ibada ya Jumapili ya Huruma ya Mungu: Kupata Upendo Usiokuwa na Kifani

Featured Image
Ijumaa imepita, Jumamosi imepita na sasa tunafurahia Jumapili ya Huruma ya Mungu! Leo, tutajitolea kabisa kwa ibada na kujipa fursa ya kupata upendo usio na kifani kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Twendeni kwa furaha na shukrani mioyoni mwetu kwa kumpata Mungu katika maisha yetu.
50 Comments

Huruma ya Mungu: Chemchemi ya Upendo Usiokwisha

Featured Image
Huruma ya Mungu: Chemchemi ya Upendo Usiokwisha - Kupata Msaada na Matumaini Yasiyokwisha!
50 Comments

Mipango ya Mungu kwetu sisi wanadamu

Featured Image
Mipango ya Mungu daima ni myema, Mungu anapanga Mema katika maisha ya mtu kama akifuata mapenzi yake. Tatizo ni kwamba watu wanafuata mapenzi yao wenyewe na kisha kukosa yale mema Mungu aliyopanga kwao.
100 Comments

Huruma ya Mungu: Nguvu ya Ukombozi na Utakaso

Featured Image
Huruma ya Mungu ni kama jua lenye nuru ya utakaso na ukombozi. Ni nguvu inayotupa tumaini na kuijaza mioyo yetu furaha isiyoelezeka.
50 Comments

Yesu Yupo Karibu na Wewe Unapoanguka Dhambini: Huruma ya Yesu Kristo kwa Mwenye dhambi

Featured Image
Wakati mtu anapoanguka dhambini ndio wakati ambao Yesu anakua karibu na mtu sana hata kuzidi wakati mwingine wowote. Wakati mtu anapoanguka dhambini ndio Yesu anakua karibu zaidi, lakini tatizo ni kwamba huo ni wakati ambao mtu hawezi kutambua uwepo wa Yesu. Neno moja tuu la Matumaini na Upendo wakati huo linaweza kumfungua mtu na kumbadilisha.
100 Comments

Tofauti Wakati Wa Kukomunika Wakati Wa Kupokea Mwili Na Damu ya Yesu Kristo

Featured Image
Wakati wa Kukomunika kila mtu anampokea Yesu kwa namna alivyojiweka tayari. Vile ulivyojiandaa ndivyo na Yesu anakuja kwako.
101 Comments
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact