Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Unafahamu kuwa Imani ni Cheti cha Kuweza Kupata Yote?

Featured Image
Imani ni njia ya kuweza kupata yote. Unachohitaji ni Imani. Naam kuwa na uhakika na unachokitarajia.
100 Comments

Ibada ya Novena ya Huruma ya Mungu: Kupokea Neema na Baraka

Featured Image
Ijumaa ni siku ya Ibada ya Novena ya Huruma ya Mungu! Kwa kupitia sala hii ya kudumu kwa siku tisa, tunapotafuta neema na baraka za Mungu, tunapata amani na ustawi wa roho zetu. Karibuni sote kushiriki katika Ibada hii ya upendo!
50 Comments

Kukimbilia Huruma ya Mungu: Nguvu katika Majaribu

Featured Image
"Kukimbilia Huruma ya Mungu: Nguvu katika Majaribu" - Mtazamo wa Furaha!
50 Comments

Ibada ya Jumapili ya Huruma ya Mungu: Kupata Upendo Usiokuwa na Kifani

Featured Image
Ijumaa imepita, Jumamosi imepita na sasa tunafurahia Jumapili ya Huruma ya Mungu! Leo, tutajitolea kabisa kwa ibada na kujipa fursa ya kupata upendo usio na kifani kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Twendeni kwa furaha na shukrani mioyoni mwetu kwa kumpata Mungu katika maisha yetu.
50 Comments

TAFAKARI KUHUSU NAFASI YA MATESO NA SHIDA KATIKA MAISHA

Featured Image
Mungu hapendi mtu Ateseke lakini ni kwa njia ya ya Mateso mtu anaweza akapimwa IMANI yake, UNYENYEKEVU, UTII na Matumaini yake kwa Mungu. Mateso na shida katika maisha ni nafasi ya kujifunza na Kuonyesha unyenyekevu, Imani na Matumaini ya mtu.
100 Comments

Vile unavyoweza kuwa DARAJA au KIKWAZO kwa wengine

Featured Image
Kwa namna unayoishi unaweza ukawa daraja au kikwazo cha wengine kuishi maisha ya Amani raha na fanaka. Unaweza ukawa daraja kwa maana kwamba wewe unaweza kuwa sababu ya wengine kupata Baraka na neema za Mungu. Unaweza kuwa kikwazo kwa maana kwamba unaweza kuwa wewe ni sababu ya wengine kutokupata Baraka na Neema za Mungu.
101 Comments

Karibu Ujitafakari: Kwa nini Unasali na Kumuabudu Mungu? Jifunze Kitu Hapa

Featured Image
Embu tafakari kwa nini unasali na Kumuabudu Mungu! Je unasali kwa hofu ya kutokua na uhakika na maisha? Je unasali kwa sababu ya shida na matatizo katika maisha? Je unasali kwa kuwa unaona wengine wanasali kwa hiyo unafikiri na wewe lazima usali? Soma hii, Ujitafakari
100 Comments

Kuishi katika Huruma ya Mungu: Njia ya Utakatifu na Ukarimu

Featured Image
Kuishi katika huruma ya Mungu ni njia ya utakatifu na ukarimu. Ni kujenga uhusiano wa karibu na Mungu na kutekeleza wito wake wa kuwatumikia wengine. Hii ni njia yenye furaha na baraka tele.
50 Comments

Mambo yanayowazuia Waumini na Watumishi wa Mungu Kufikia Ukamilifu na Utakatifu

Featured Image
Leo nimekuandalia Tafakari kuhusu Mambo yanayowazuia Waumini na watumishi wa Mungu Kuishi Kitakatifu na kufikia Ukamilifu. Mambo haya yanaweza yakaonekana sio dhambi au makosa kwa mtu lakini ni vikwazo kwa mtu kufikia Ukamilifu hasa anaposhindwa kuyajua na kuyaepuka. Wengi wanajiona kwamba wako salama lakini kumbe wako katika dhambi.
100 Comments

Tafakari Kuhusu Matumizi Ya Mali

Featured Image
Usiwe Bahili wa kutumia Mali ulizojaliwa na Mungu. Mungu amekupa Mali hizo ili ufurahie maisha uliyonayo ambayo siku moja yana mwisho.
100 Comments
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact