Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Amri ya Tisa ya Mungu: Mambo inayokataza na inayoamuru

Featured Image
Mungu ametuamuru kutunza usafi wa moyo na kuwa waaminifu katika ndoa
50 Comments

Maswali na majibu kuhusu Mpako wa wagonjwa au Mpako wa Mwisho

Featured Image
50 Comments

Amri ya nne ya Mungu: Kuheshimu Wazazi

Featured Image
Katika Amri ya nne ya Mungu tumeamriwa nini? Tumeamriwa tuwaheshimu wazazi wetu na wakubwa wetu wote, tuwapende, tuwatii na tuwaombee. (Kut 20:12, Kol 3:20) Amri ya Nne ya Mungu tumeamriwa nini? Tumeamriwa tuwaheshimu wazazi wetu na wakubwa wote, tuwapende, tuwatii na tuwaombee. (Kut 20:12), Kol 3:20
50 Comments

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya watoto wachanga?

Featured Image
Ni muhimu sana kuelewa imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya watoto wachanga. Kanisa linatambua kila maisha kama takatifu na inahimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wote, bila ubaguzi. Kwa hivyo, Kanisa linaamini kwamba watoto wachanga wana haki sawa na wengine na wanapaswa kulindwa na kuheshimiwa kama wanadamu wote.
50 Comments

Mambo ya muhimu kujua kuhusu Sakramenti ya Kipaimara

Featured Image
Sakramenti ya Kipaimara ni nini? Ni Sakramenti yenye kumpa Mkristu Roho Mtakatifu na ukamilifu wa mapaji yake saba, kumfanya mkristu mkamilifu na kumwandika Askari hodari wa Yesu Kristo Mpaka Kufa
51 Comments

Kuhusu Ubatizo, Haya ndiyo mambo ya Msingi unayotakiwa kufahamu

Featured Image
Kwa nini ubatizo unafanyika kwa maji? Ubatizo unafanyika kwa maji kwa kuwa ndiyo ishara ya usafi na ya uhai unaotupatia kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.
50 Comments

Amri ya Kumi ya Mungu: Makatazo na Amri

Featured Image
Amri ya Kumi ya Mungu inaamuru kuheshimu mali ya wengine na kumpenda Mungu kupita vitu vyote
50 Comments

Maswali na Majibu kuhusu Liturujia

Featured Image
50 Comments

Amri ya Tatu ya Mungu: Tumeamriwa kuheshimu siku ya Mungu

Featured Image
Katika amri ya tatu ya Mungu tumeamriwa nini? Tumeamriwa kuheshimu siku ya Mungu:- 1. Kushiriki Misa Takatifu siku ya Jumapili na Sikukuu zote za Amri 2. Kuacha kazi nzito na 3. Kutenda matendo mema
50 Comments

Mambo ya Muhimu kufahamu kuhusu Mungu

Featured Image
Mungu ndiye muumba wa kila kitu katika uwingu na nchi, Mkubwa wa ulimwengu mwenye kuwatuza watu wema na kuwaadhibu watu wabaya.
50 Comments
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact