Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Amri ya Tatu ya Mungu: Tumeamriwa kuheshimu siku ya Mungu

Featured Image
Katika amri ya tatu ya Mungu tumeamriwa nini? Tumeamriwa kuheshimu siku ya Mungu:- 1. Kushiriki Misa Takatifu siku ya Jumapili na Sikukuu zote za Amri 2. Kuacha kazi nzito na 3. Kutenda matendo mema
50 Comments

Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Featured Image
Je! Kanisa Katoliki Linapinga Utoaji Mimba na Kuhimiza Kulinda Uhai wa Watoto Wachanga? Ndiyo!
50 Comments

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ndoa kama sakramenti ya agano la upendo na uaminifu?

Featured Image
Je, unajua kwamba Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ndoa kama sakramenti ya agano la upendo na uaminifu? Ni kweli! Hivyo kama unataka kujifunza zaidi kuhusu Ndoa na jinsi ya kuithamini katika maisha yako, basi hakuna mahali bora zaidi kuliko Kanisa Katoliki. Karibu sana!
50 Comments

Mambo ya Msingi unayopaswa kufahamu kuhusu Ekaristi

Featured Image
50 Comments

Amri ya Tano ya Mungu: Kutunza uhai wetu na wa watu wengine

Featured Image
Katika Amri ya Tano ya Mungu tumeamriwa nini? Tumeamriwa tutunze uhai wetu na wa watu wengine tangu mwanzo hadi mwisho. (Mwa 4:10-11) Kwa nini ni lazima kutunza uhai wetu na wa wenzetu? Kwa sababu uhai wa watu wote umetoka kwa Mungu
50 Comments

Maswali na Majibu kuhusu Kanisa Katoliki

Featured Image
Kwa nini watu wengi wanaomba kwa Bikira Maria? Watu wengi wanaomba kupitia Bikira Maria kwa sababu wanashuhudia sala zao kujibiwa kirahisi zaidi wanaposali kupitia Bikira Maria kwani Bikira Maria anatuombea kile tunacho mwomba. Bikira Maria anasimama Kama mwombezi wetu mbele ya Mungu hasa pale tunaposhindwa kusali Inavyotakiwa.
50 Comments

Maswali na Majibu kuhusu Mafumbo ndani ya Kanisa Katoliki

Featured Image
50 Comments

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Maandiko Matakatifu?

Featured Image
Ni wakati mzuri wa kuchunguza imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Maandiko Matakatifu!
50 Comments

Mambo ya Msingi unayotakiwa kufahamu kuhusu Sakramenti ya Daraja

Featured Image
50 Comments

Amri ya Nane ya Mungu: Makatazo na Amri

Featured Image
Katika Amri ya Nane Mungu anaamuru tuseme ukweli na tulinde heshima ya wengine. (Mt 5:37, Yak 5:12).
50 Comments
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact