Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_2b2620ac89142a9b33a4a2977ef0786c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_2b2620ac89142a9b33a4a2977ef0786c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_2b2620ac89142a9b33a4a2977ef0786c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_2b2620ac89142a9b33a4a2977ef0786c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_2b2620ac89142a9b33a4a2977ef0786c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_2b2620ac89142a9b33a4a2977ef0786c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mariam Hassan (Guest) on June 22, 2024

πŸ˜‚πŸ˜…

Husna (Guest) on June 18, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Fadhila (Guest) on May 25, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Guest (Guest) on November 24, 2025

".yani mtu unakuta nimevaa vizuri
:badara uniambie nduguyangu
=umependeza
.unakuja kuniambi
.ET UMEULAMBAA
WEWE nimeulamba mnini..
naulishawahi kuniona naulamba wap nanani alikwambia mimi naulamba
umeona naishara gani paka ukasema nimeulamba nimeramba kinini umeona mimi ndo wakuulamba mimi kwel au ww unaesoma ndohuwa unaulamba

aaaa badilisheni kali bwana a
(abu me by )

Aziza (Guest) on May 16, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Betty Kimaro (Guest) on April 29, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Mwajuma (Guest) on April 17, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mchawi (Guest) on March 28, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on March 18, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Mrope (Guest) on February 19, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mary Kendi (Guest) on February 19, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Stephen Mushi (Guest) on February 8, 2024

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Amina (Guest) on January 24, 2024

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on January 22, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Kawawa (Guest) on January 7, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on December 31, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Samson Tibaijuka (Guest) on December 28, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Monica Lissu (Guest) on December 25, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joseph Mallya (Guest) on December 6, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on November 19, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Christopher Oloo (Guest) on November 4, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on September 30, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Baraka (Guest) on August 27, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Ann Awino (Guest) on August 19, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on July 22, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Binti (Guest) on July 20, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Josephine Nduta (Guest) on June 23, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Mussa (Guest) on May 12, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on May 9, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Janet Wambura (Guest) on May 7, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mary Kidata (Guest) on April 17, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mwinyi (Guest) on April 6, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on April 2, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mchawi (Guest) on March 30, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Furaha (Guest) on March 19, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nancy Kawawa (Guest) on March 13, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on March 4, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Victor Sokoine (Guest) on March 3, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Guest (Guest) on February 7, 2026

A

Benjamin Masanja (Guest) on January 31, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Frank Sokoine (Guest) on January 17, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on December 13, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on November 25, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on November 19, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on October 28, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joseph Kitine (Guest) on October 17, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Kevin Maina (Guest) on October 1, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Nahida (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Paul Kamau (Guest) on September 5, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on August 24, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joyce Mussa (Guest) on July 16, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on July 13, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on June 30, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on May 15, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Josephine (Guest) on April 28, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Alice Wanjiru (Guest) on March 27, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on March 4, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Betty Kimaro (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Peter Mwambui (Guest) on March 1, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Related Posts

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_2b2620ac89142a9b33a4a2977ef0786c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3