Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_feb3e22be1f28fc53fa0fbeba7ba9956, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_feb3e22be1f28fc53fa0fbeba7ba9956, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_feb3e22be1f28fc53fa0fbeba7ba9956, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_feb3e22be1f28fc53fa0fbeba7ba9956, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_feb3e22be1f28fc53fa0fbeba7ba9956, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Featured Image

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto halisi ya dhambi zangu, nakutolea moyo wangu dhaifu. Nifanye mnyenyekevu, mvumilivu na safi, nikikubali na kuyatii kabisa mapenzi yako. Ee Yesu mwema, unijalie niishi nawe na kwa ajili yako. Unilinde niwapo katikati ya hatari, unifariji katika mateso, unipe afya ya mwili na msaada katika mahitaji ya mwili, Baraka yako juu ya kila nilifanyalo, na neema ya kifo chema. Amina.

Ee Yesu uliyesema β€œKweli nawaambieni, ombeni nanyi mtapewa, tafuteni nanyi mtapata, gongeni nanyi mtafunguliwa”, tazama ninagonga, ninatafuta na kuomba …….. (Taja ombi lako)
Baba Yetu….., Salamu Maria …….., Atukuzwe Baba……..
Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakutumainia kwa moyo wote!

Ee Yesu uliyesema β€œKweli nawaambieni, chochote mtakachomwomba Baba kwa jina langu mtapewa”, tazama kwa jina lako ninaomba ……. (Taja ombi lako)
Baba Yetu….., Salamu Maria …….., Atukuzwe Baba……..
Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakutumainia kwa moyo wote!

Ee Yesu uliyesema β€œKweli nawaambieni, mbingu na dunia zitapita lakini maneno yangu hayatapita kamwe”, tazama, nikitiwa nguvu na maneno yako ya kweli ninaomba …….. (Taja ombi lako)
Baba Yetu….., Salamu Maria …….., Atukuzwe Baba……..
Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakutumainia kwa moyo wote!

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ambaye kwako ni kitu kimoja tu kisichowezekana, ambacho ni kutoacha kutowaonea huruma wenye huzuni, utuhurumie sisi wakosefu maskini na utujalie neema tukuombayo kwa njia ya Moyo Imakulata wa Maria, Mama yetu mpole.

Sali β€˜Salamu Malkia’ na kuongezea, β€˜Mtakatifu Yosefu Baba Mlishi wa Yesu, utuombee’.

P.S. – Sala hii ya Novena ilisaliwa kila siku na PADRE PIO kwa ajili ya kuwaombea wale wote waliomwomba msaada wa sala zake. Unaweza kuisali kwa namna tofauti tofauti. Mfano, kama Novena ya siku tisa, ambapo unasali sala hii mara moja au zaidi kila siku kwa siku tisa, au unaweza kuifanya kama Novena ya masaa, ambapo unasali sala hii kila baada ya saa moja kwa masaa tisa kwa siku hiyo hiyo, hasa kama kitu unachokiomba ni cha haraka au umesongwa moyoni. Vilevile unaweza kuifanya sala hii kama sehemu ya sala zako za kila siku katika mwezi Juni ambao ni mwezi uliotengwa na Kanisa kwa ajili ya kuuheshimu Moyo Mtakatifu wa Yesu, na hapo utaitumia kuwaombea watu waliokuomba msaada wa sala zako kama alivyofanya Mtakatifu Padre Pio. Pia unaweza kuitumia kama sala yako ya siku zote au ya mara kwa mara kwa ajili ya mahitaji mbalimbali.

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_feb3e22be1f28fc53fa0fbeba7ba9956, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jackson Makori (Guest) on June 18, 2024

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Joseph Kitine (Guest) on March 31, 2024

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Grace Njuguna (Guest) on March 19, 2024

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Nora Kidata (Guest) on September 18, 2023

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Mercy Atieno (Guest) on March 25, 2023

Baraka kwako na familia yako.

Catherine Mkumbo (Guest) on March 24, 2023

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Hellen Nduta (Guest) on March 20, 2023

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Andrew Odhiambo (Guest) on February 16, 2023

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Alex Nyamweya (Guest) on January 26, 2023

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Mary Njeri (Guest) on January 18, 2023

Tembea kwa imani, si kwa kuona

John Mushi (Guest) on January 16, 2023

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

David Chacha (Guest) on November 26, 2022

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Edward Lowassa (Guest) on September 26, 2022

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Betty Kimaro (Guest) on September 4, 2022

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Nancy Kawawa (Guest) on September 2, 2022

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Joseph Kitine (Guest) on August 13, 2022

Rehema zake hudumu milele

George Mallya (Guest) on July 24, 2022

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Anna Mchome (Guest) on March 25, 2022

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Joseph Njoroge (Guest) on March 13, 2022

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Faith Kariuki (Guest) on January 8, 2022

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Josephine Nduta (Guest) on January 3, 2022

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Peter Mbise (Guest) on December 7, 2021

Nguvu hutoka kwa Bwana

Joy Wacera (Guest) on October 25, 2021

Katika imani, yote yanawezekana

Mary Njeri (Guest) on October 5, 2021

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Patrick Kidata (Guest) on October 3, 2021

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Andrew Mahiga (Guest) on August 5, 2021

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Rose Waithera (Guest) on July 12, 2021

Mungu akubariki!

Moses Mwita (Guest) on February 24, 2021

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Nora Kidata (Guest) on November 15, 2020

Neema ya Mungu inatosha kwako

Edwin Ndambuki (Guest) on October 6, 2020

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Michael Onyango (Guest) on September 22, 2020

Neema na amani iwe nawe.

Mariam Kawawa (Guest) on September 20, 2020

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Joseph Njoroge (Guest) on September 19, 2020

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Andrew Mahiga (Guest) on September 18, 2020

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Carol Nyakio (Guest) on September 14, 2020

Mwamini katika mpango wake.

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 12, 2020

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Lucy Mushi (Guest) on August 8, 2020

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Monica Nyalandu (Guest) on June 11, 2020

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Anna Sumari (Guest) on May 14, 2020

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

John Lissu (Guest) on April 17, 2020

Tumaini ni nanga ya roho

Jane Muthui (Guest) on April 1, 2020

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Edith Cherotich (Guest) on March 16, 2020

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Sarah Mbise (Guest) on February 9, 2020

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Rose Kiwanga (Guest) on December 2, 2019

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

John Kamande (Guest) on October 1, 2019

Mungu ni mwema, wakati wote!

Hellen Nduta (Guest) on June 17, 2019

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Bernard Oduor (Guest) on June 3, 2019

Amina

Anna Sumari (Guest) on May 15, 2019

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Charles Mrope (Guest) on May 5, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Rose Lowassa (Guest) on March 13, 2019

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Janet Mbithe (Guest) on December 25, 2018

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Linda Karimi (Guest) on December 19, 2018

Sifa kwa Bwana!

Michael Mboya (Guest) on December 3, 2018

Imani inaweza kusogeza milima

Janet Sumari (Guest) on October 26, 2018

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Betty Kimaro (Guest) on April 29, 2018

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Wilson Ombati (Guest) on February 7, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Henry Mollel (Guest) on December 14, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Andrew Mahiga (Guest) on November 30, 2017

Endelea kuwa na imani!

John Kamande (Guest) on November 19, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Lucy Mushi (Guest) on October 3, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Related Posts

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_feb3e22be1f28fc53fa0fbeba7ba9956, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact