Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_af095e7a04b38d325516f7bc89a02644, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_af095e7a04b38d325516f7bc89a02644, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_af095e7a04b38d325516f7bc89a02644, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_af095e7a04b38d325516f7bc89a02644, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_af095e7a04b38d325516f7bc89a02644, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Featured Image

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo maarufu
ya kwenye daladala.

1.Yatima hadeki
2.Utamu wa chips mimba
3.Ukitaka kujua ugumu wa kudai kopesha ukweni
4. Usiyempenda kaja
5. Kobe hapimwi joto
6. Acha kazi uone kaz kupata kaz
7. Ukichezea koki utalowa
8. Heshima pesa kipara kovu tu!
9. Mtumbwi hauna saitmira.
9. Silaha pesa bastola mzigo
10. Hata uoge mjini huendi
11. Chezea mshahara usichezee kazi.
12. Ukiona manyoya ujue kishaliwa
13. Ikisimama Panda
14. Pombe pombe tuu kunywea bar mbwebwe
15. Njia ya chooni haioti nyasi
16. Likizo ya maskini ugonjwa
17. When i grow up i want to be a scania
18. Hata bibi alikuwa binti
19. Kisigino hakikai mbele
20. Kama mapenz pesa kaolewe na benki
21. Hata barabara ina matuta lakin huwez panda viazi
22. Mavi hayana miba lakin ukikanyaga lazma uchechemee
23. Paka haishi kwa msela
24. Ukipendwa ujue kuna boya kaachwa
25. NIPO NIPO KWANZA
26. Mchana nzi ucku mbu
27. Ucmshangae funza kukata viuno ndio mwendo wake
28. Kama umelipenda(gari) bonyeza nyota liwe lako
29. Supermarket hawauzi mkaa
30. We nisubiri mi nakungoja.
31. Zetu dagaa kuku tamaa
32. Hata uwe na heshima vipi huwezi kumpokea askari bunduki
H
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜πŸ˜πŸ˜

Share na wenzako kuongeza siku za kuishi

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_af095e7a04b38d325516f7bc89a02644, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Philip Nyaga (Guest) on July 8, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Guest (Guest) on September 12, 2025

Ukipenda mwanafunzi mshoee mkeo nguo za shule

Diana Mallya (Guest) on April 26, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Anthony Kariuki (Guest) on April 3, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Guest (Guest) on July 29, 2025

Noma sanaa

Edwin Ndambuki (Guest) on March 13, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on February 16, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on February 16, 2024

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Benjamin Masanja (Guest) on January 24, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Betty Cheruiyot (Guest) on January 17, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwanaisha (Guest) on January 15, 2024

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on December 25, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Edward Lowassa (Guest) on November 4, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

John Mwangi (Guest) on October 15, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joseph Njoroge (Guest) on October 6, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Guest (Guest) on July 11, 2025

NAWEW PIA

Margaret Mahiga (Guest) on October 5, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on August 20, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Nancy Kabura (Guest) on July 9, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Irene Akoth (Guest) on June 12, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on June 5, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on June 2, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Ndungu (Guest) on April 12, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mwanahawa (Guest) on April 12, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mjaka (Guest) on April 2, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Shamsa (Guest) on February 17, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Nancy Kawawa (Guest) on February 13, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Khatib (Guest) on January 29, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Richard Mulwa (Guest) on January 22, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Arifa (Guest) on January 12, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Monica Lissu (Guest) on December 16, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Monica Nyalandu (Guest) on December 1, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on October 31, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Robert Ndunguru (Guest) on October 22, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Betty Kimaro (Guest) on October 20, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on October 11, 2022

Asante Ackyshine

Sharon Kibiru (Guest) on October 4, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on September 29, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Alice Jebet (Guest) on September 27, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Grace Mushi (Guest) on September 26, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Maimuna (Guest) on September 11, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Edward Lowassa (Guest) on September 1, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Samuel Were (Guest) on August 9, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on July 25, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Guest (Guest) on July 29, 2025

Mim Disa gang na sema iv noma sanaa .

Nassor (Guest) on July 22, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

David Ochieng (Guest) on July 19, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Sharon Kibiru (Guest) on June 17, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on June 3, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Nasra (Guest) on April 3, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lydia Wanyama (Guest) on March 8, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Rose Waithera (Guest) on February 20, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Jackson Makori (Guest) on February 13, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

John Malisa (Guest) on February 2, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on January 19, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on December 29, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on December 4, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on November 30, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on November 30, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Related Posts

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_af095e7a04b38d325516f7bc89a02644, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact