Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_367709944c5a7e3631beb79c7b4acacf, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_367709944c5a7e3631beb79c7b4acacf, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_367709944c5a7e3631beb79c7b4acacf, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_367709944c5a7e3631beb79c7b4acacf, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_367709944c5a7e3631beb79c7b4acacf, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Mungu ni nani? Sifa za Mungu

Featured Image
Mungu ndiye Muumba wa vitu vyote, katika mbingu na nchi, Mkubwa wa Ulimwengu mwenye kuwtunza watu wema na kuwaadhibu watu wabaya. (Mt: 6:8-9, Yoh 20: 17)
Sifa za Mungu
Mungu ni Muumba wa vitu vyote
Mungu ni Muumba wa vyote maana yake amefanya vitu vyote kwa kutaka tuu pasipokutumia kitu chochote (Yoh. 1:3)
Mungu ni Roho
Mungu ni Roho kamili na ukamilifu wake hauna mpaka na haonekani wala hashikiki. (Yoh. 4:24, Kut 3:13-15, Zb 144:3, Lk: 24:39)
Mungu ni muweza wa yote
Mungu anaweza kufanya kila anachokitaka. (Zab. 135:6)
Mungu ni wa Milele
Hii ina maana Mungu hana mwanzo wala mwisho, amekuwepo kabla ya nyakati, yupo na atakuwepo baada ya nyakati. Yeye ndiye anazifanya nyakati, Yupo daima. (1 Tim, 1:17)
Mungu ni mwema
Maana yake anavipenda na kuvitunza viumbe vyake hasa wanadamu na anavitakia mema tuu (Zab: 25:8-10)
Mungu ni mwenye haki
Kila mtu hupata kwa Mungu Haki yake kadiri na anavyostahili.
Mungu aenea pote
Hii ina maana yupo kila mahali Mbinguni na Duniani, Hakuna mahalia asipokuwepo. (Zab: 139:7-12).
Mungu anajua kila kitu
Mungu anajua yote, ya sasa, ya zamani na ya wakati ujao hata mawazo yetu
Mungu ni mwenye huruma
Anawasamehe watu dhambi zao wakitubu
Mungu ni mwenye subira
Mungu anakawia kuwaadhibu wakosefu maana anataka kuwapa nafasi ya kuongoka. (Eze; 33:11, Zb: 102: 1-5)

Aidha Mungu yupo Mmoja tuu ambayae kwake kuna nafsi Tatu ambazo ni sawa, Baba ni Mungu, Mwana ni Mungu na Roho Mtakatifu ni Mungu. Hli ndilo linaitwa Fumbo la Utatu Mtakatifu. (Lk. 3:21-22)
AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_367709944c5a7e3631beb79c7b4acacf, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rose Amukowa (Guest) on June 27, 2024

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

James Kimani (Guest) on June 15, 2024

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Andrew Mchome (Guest) on June 13, 2024

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Jackson Makori (Guest) on October 28, 2023

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Chris Okello (Guest) on October 8, 2023

Neema na amani iwe nawe.

Agnes Njeri (Guest) on August 13, 2023

Mungu ni mwema, wakati wote!

Francis Njeru (Guest) on February 11, 2023

Rehema zake hudumu milele

Grace Mligo (Guest) on December 23, 2022

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Henry Sokoine (Guest) on December 1, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

George Mallya (Guest) on November 18, 2022

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Betty Kimaro (Guest) on November 4, 2022

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Frank Macha (Guest) on October 15, 2022

Nakuombea 🙏

Elizabeth Mrema (Guest) on October 5, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Agnes Njeri (Guest) on October 1, 2022

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Mariam Hassan (Guest) on September 7, 2022

Tumaini ni nanga ya roho

Rose Lowassa (Guest) on May 4, 2022

Katika imani, yote yanawezekana

Bernard Oduor (Guest) on April 8, 2022

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Ann Wambui (Guest) on March 5, 2022

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Martin Otieno (Guest) on January 27, 2022

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Catherine Mkumbo (Guest) on December 7, 2021

Nguvu hutoka kwa Bwana

Daniel Obura (Guest) on August 4, 2021

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Josephine Nekesa (Guest) on December 2, 2020

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Nancy Akumu (Guest) on May 10, 2020

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Irene Makena (Guest) on April 10, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Vincent Mwangangi (Guest) on March 16, 2020

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

James Mduma (Guest) on November 15, 2019

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Elizabeth Mrema (Guest) on October 5, 2019

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Henry Mollel (Guest) on August 6, 2019

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Victor Mwalimu (Guest) on March 4, 2019

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Frank Macha (Guest) on November 19, 2018

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Stephen Kikwete (Guest) on September 20, 2018

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Janet Mwikali (Guest) on July 25, 2018

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Robert Okello (Guest) on May 6, 2018

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Susan Wangari (Guest) on April 13, 2018

Mwamini katika mpango wake.

Grace Mligo (Guest) on November 26, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Violet Mumo (Guest) on October 21, 2017

Mungu akubariki!

Josephine Nekesa (Guest) on August 30, 2017

Imani inaweza kusogeza milima

Betty Cheruiyot (Guest) on August 28, 2017

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Paul Ndomba (Guest) on January 1, 2017

Endelea kuwa na imani!

Nancy Kawawa (Guest) on November 16, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 2, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

John Lissu (Guest) on September 4, 2016

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Betty Cheruiyot (Guest) on June 26, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Kenneth Murithi (Guest) on May 16, 2016

Dumu katika Bwana.

John Mushi (Guest) on May 5, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Elizabeth Mrema (Guest) on April 17, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

Paul Ndomba (Guest) on March 2, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

David Kawawa (Guest) on November 25, 2015

Rehema hushinda hukumu

Benjamin Kibicho (Guest) on August 25, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Anna Kibwana (Guest) on July 16, 2015

Sifa kwa Bwana!

Related Posts

Mbinu 4 anazotumia Shetani kuteka na kurubuni Watu

Mbinu 4 anazotumia Shetani kuteka na kurubuni Watu

1. Kutushawishi tuache kusali maaana njia kuu ya mawasiliano kati yetu na MUNGU.Hivyo akifanikiwa ha... Read More
Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Karibu kwenye makala hii, ambapo tutajadili suala la utoaji mimba na jinsi Kanisa Katoliki linavy... Read More

Huruma ya Mungu: Faraja katika Majaribu na Huzuni

Huruma ya Mungu: Faraja katika Majaribu na Huzuni

Huruma ya Mungu: Faraja katika Majaribu na Huzuni

Katika maisha, tunakabiliwa na changamot... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Maandiko Matakatifu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Maandiko Matakatifu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Maandiko Matakatifu?

Kanisa Katoliki linaamini kwa... Read More

Kujiweka chini ya Huruma ya Mungu: Kuponywa na Kupatanishwa

Kujiweka chini ya Huruma ya Mungu: Kuponywa na Kupatanishwa

Kujiweka chini ya Huruma ya Mungu: Kuponywa na Kupatanishwa

Kila mmoja wetu amewahi kufany... Read More

Mambo 7 ya kubadili katika maisha ili ubadilike

Mambo 7 ya kubadili katika maisha ili ubadilike

1. Huwezi kubadili namna watu walivyokutendea mpaka ubadili namna unavyowatendea.​

Mata... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ubatizo?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ubatizo?

Sakramenti ya Ubatizo ni mojawapo ya mambo muhimu sana katika Kanisa Katoliki. Ubatizo unakusudia... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu msamaha na rehema?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu msamaha na rehema?

Leo tutajadili kuhusu imani ya Kanisa Katoliki kuhusu msamaha na rehema. Kwa Wakatoliki, msamaha ... Read More

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Yesu Kristo kuwa mwenyezi na wa milele katika Ekaristi?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Yesu Kristo kuwa mwenyezi na wa milele katika Ekaristi?

Leo tutazungumzia kuhusu imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Ekaristi. Je, Kanisa Katoliki linamwamin... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha kuwa tunaweza kuwaombea wafu ili wapate neema na amani ya Mungu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha kuwa tunaweza kuwaombea wafu ili wapate neema na amani ya Mungu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha kuwa tunaweza kuwaombea wafu ili wapate neema na ama... Read More

Majivuno na Kujikweza Mbele ya Mungu

Majivuno na Kujikweza Mbele ya Mungu

Read More
Ufalme wa simu wa sasa

Ufalme wa simu wa sasa

➡ Asubuhi saa 12 : 00 mtu anaamka, kabla hata HAJAMUSHUKURU MUNGU, kabla hata hajatoka kitandan... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_367709944c5a7e3631beb79c7b4acacf, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact