Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_99ff811f1b44ec861968ba4a9257a187, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_99ff811f1b44ec861968ba4a9257a187, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_99ff811f1b44ec861968ba4a9257a187, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_99ff811f1b44ec861968ba4a9257a187, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_99ff811f1b44ec861968ba4a9257a187, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Mambo manne ya mwisho katika maisha

Featured Image
Mambo manne ambayo ni ya mwisho katika maisha ni;
  1. Kifo
  2. Hukumu
  3. Mbinguni
  4. Motoni
Mambo haya yote yanaweza kutokea wakati wowote bila kujua wala kutarajia

Kifo

Kifo ni kitu ambacho kinaweza kumpata mtu yeyote wa umri wowote awe mtoto kijana au mzee na kwa wakati wowote.
Maranyingi watu hawapendi kuongelea kuhusu kifo kwakua ni kitu ambacho kinampata kila mtu na hakipingiki wala hakina mjadala.

Hukumu

Baada ya kifo, inafuata hukumu, kila mtu atahukumiwa kulingana na matendo yake kama ulitenda mema utaenda mbinguni, na kama umetenda mabaya utaenda motoni.

Mbingu

Kama mtu akifa akiwa katika hali usafi wa moyo anaelekea mbinguni. Haijalishi ni kwa kipindi gani aliishi hivyo. Ila ni kwa hali gani kifo kilimkuta. Kwa sababu hii kila mtu anatakiwa aishi katika hali ya usafi wa moyo kwani hajui ni wakati gani atakutwa na kifo.

Motoni

Kama mtu akifa katika hali ya dhambi anaenda motoni. Kwa hiyo inatupasa tutumie vyema msamaa na huruma ya Mungu katika maisha yetu ili mwishi wetu uwe mzuri wakati bado tukiwa na muda.
Kila unapoishi ni lazima ufikirie mambo haya ukizingatia hujui wakati yanaweza kukupata. Kwa hiyo, nilazima uishi ukiwa unatafakari haya
ili uwe na mwisho mzuri.
AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_99ff811f1b44ec861968ba4a9257a187, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Njuguna (Guest) on June 8, 2024

Endelea kuwa na imani!

Grace Njuguna (Guest) on March 23, 2024

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Victor Malima (Guest) on January 23, 2024

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Mercy Atieno (Guest) on December 17, 2023

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Mary Kendi (Guest) on August 11, 2023

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 7, 2023

Rehema zake hudumu milele

Peter Mbise (Guest) on February 1, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Chris Okello (Guest) on November 11, 2022

Imani inaweza kusogeza milima

Victor Kimario (Guest) on August 22, 2022

Neema ya Mungu inatosha kwako

Irene Akoth (Guest) on May 26, 2022

Dumu katika Bwana.

Ann Wambui (Guest) on May 11, 2022

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Grace Mligo (Guest) on April 24, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

James Malima (Guest) on April 7, 2022

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Tabitha Okumu (Guest) on March 20, 2022

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

David Ochieng (Guest) on March 8, 2022

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Moses Mwita (Guest) on August 13, 2021

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Rose Lowassa (Guest) on May 14, 2021

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Irene Akoth (Guest) on May 4, 2021

Tumaini ni nanga ya roho

Joyce Aoko (Guest) on September 15, 2020

Katika imani, yote yanawezekana

Victor Kamau (Guest) on September 13, 2020

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Stephen Malecela (Guest) on April 3, 2020

Kwa Mungu, yote yanawezekana

George Mallya (Guest) on March 1, 2020

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Janet Mwikali (Guest) on January 23, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Ruth Wanjiku (Guest) on September 17, 2019

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

John Kamande (Guest) on August 31, 2019

Baraka kwako na familia yako.

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 11, 2019

Mwamini katika mpango wake.

Moses Kipkemboi (Guest) on February 14, 2019

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

George Mallya (Guest) on February 6, 2019

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Moses Mwita (Guest) on January 3, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Andrew Mahiga (Guest) on December 2, 2018

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Jacob Kiplangat (Guest) on April 12, 2018

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Edward Lowassa (Guest) on April 6, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Nancy Kawawa (Guest) on September 18, 2017

Nakuombea 🙏

Agnes Sumaye (Guest) on August 18, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Fredrick Mutiso (Guest) on April 4, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Elizabeth Malima (Guest) on April 3, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Grace Njuguna (Guest) on March 24, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Carol Nyakio (Guest) on December 17, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Lucy Wangui (Guest) on October 9, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Joyce Nkya (Guest) on September 9, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Patrick Kidata (Guest) on July 28, 2016

Sifa kwa Bwana!

Alice Wanjiru (Guest) on March 21, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Nora Kidata (Guest) on March 8, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Rose Lowassa (Guest) on November 21, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Linda Karimi (Guest) on November 7, 2015

Mungu akubariki!

Ruth Mtangi (Guest) on October 28, 2015

Rehema hushinda hukumu

Victor Kamau (Guest) on September 17, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Victor Malima (Guest) on July 9, 2015

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Lucy Mahiga (Guest) on June 25, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Samuel Omondi (Guest) on May 5, 2015

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Related Posts

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi uadilifu wa kijamii na kupinga ubaguzi na ukosefu wa haki katika jamii?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi uadilifu wa kijamii na kupinga ubaguzi na ukosefu wa haki katika jamii?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi uadilifu wa kijamii na kupinga ubaguzi na ukosefu... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu kuombea wafu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu kuombea wafu?

Ni jambo la kawaida kwa Kanisa Katoliki kuombea wafu. Kuombea wafu ni sehemu ya imani yetu kama W... Read More

Biblia inavyothibitisha kuwa Bikira Maria Mama wa Yesu ni Mama wa Wakristu Wote

Biblia inavyothibitisha kuwa Bikira Maria Mama wa Yesu ni Mama wa Wakristu Wote

Read More
MITAGUSO MIKUU YA KANISA KATOLIKI

MITAGUSO MIKUU YA KANISA KATOLIKI

Read More

Siri ya kamba nyekundu

Siri ya kamba nyekundu

Miaka zaidi ya 3000 iliyopita katika mji wa Yeriko alikuwepo mwanamke mmoja kahaba, jina lake Rah... Read More

Maana ya siku ya Jumatano ya Majivu

Maana ya siku ya Jumatano ya Majivu

Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya kuwa mtakatifu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya kuwa mtakatifu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya kuwa mtakatifu? Hili ni swali muhimu sana kwa w... Read More

Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Karibu kwenye makala hii, ambapo tutajadili suala la utoaji mimba na jinsi Kanisa Katoliki linavy... Read More

Huruma ya Mungu: Upendo Usiokuwa na Kifani

Huruma ya Mungu: Upendo Usiokuwa na Kifani

Huruma ya Mungu ni upendo usiokuwa na kifani ulioelekezwa kwetu sisi binadamu. Tunapokea huruma h... Read More

Kuumbwa kwa Dunia

Kuumbwa kwa Dunia

Read More
Jinsi Bikira Maria anavyoelezwa Katika dini ya Kiislamu

Jinsi Bikira Maria anavyoelezwa Katika dini ya Kiislamu

Read More
JE,SHERIA YA MAPADRE KUTOOA NA KUISHI USEJA IMEANDIKWA WAPI KATIKA BIBLIA AU IMETUNGWA TU NA PAPA?

JE,SHERIA YA MAPADRE KUTOOA NA KUISHI USEJA IMEANDIKWA WAPI KATIKA BIBLIA AU IMETUNGWA TU NA PAPA?

Read More

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_99ff811f1b44ec861968ba4a9257a187, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3