Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0083c759f28811a7a3be212f3e5cf367, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0083c759f28811a7a3be212f3e5cf367, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0083c759f28811a7a3be212f3e5cf367, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0083c759f28811a7a3be212f3e5cf367, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0083c759f28811a7a3be212f3e5cf367, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Mambo ya Muhimu kufahamu kuhusu Ishara ya Msalaba

Featured Image
Ishara ya msalaba ni nini?

Ishara ya Msalaba ni tendo la mtu kugusa panda la uso, kifua na mabega kwa kutumia mkono wa kulia na kutamka "Kwa jina la Baba, na la Mwana na la Roho Mtakatifu, Amina"







Kwa kugusa paji la uso tuna maana gani?

Kwa kugusa paji la uso tuna maana ya kukubali kwa akili







Kwa kugusa kifua tuna maana gani?

Kwa kugusa kifua maana yake ni kuupokea na kuukubali msalaba moyoni.







Kwa kugusa mabega tuna maana gani?

Kwa kugusa mabega maana yake ni kuwa tayari kuubeba msalaba kwa nguvu zetu zote







Kwa nini tunafanya Ishara ya Msalaba?

Tunafanya Ishara ya Msalaba kwa nia ya kumkiri Mungu mmoja katika Nafsi Tatu. Pia msalaba ni Ishara ya Ukombozi wetu







Ishara ndogo ya Msalaba juu ya panda la uso, mdomo, na kifua kabla ya Injili ina maana gani?

Maana yake ni kama Ahadi kuwa, Niko tayari kulifahamu Neno la Mungu kwa akili yangu, Nitalitangaza kishujaa kwa Midomo yangu, Nitalipenda na kulishika kwa Moyo wangu wote.

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0083c759f28811a7a3be212f3e5cf367, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Vincent Mwangangi (Guest) on June 30, 2024

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Margaret Anyango (Guest) on March 3, 2024

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Elizabeth Malima (Guest) on February 12, 2024

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Frank Macha (Guest) on September 16, 2023

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Elizabeth Malima (Guest) on June 27, 2023

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Michael Mboya (Guest) on May 30, 2023

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Philip Nyaga (Guest) on April 8, 2023

Dumu katika Bwana.

Nancy Akumu (Guest) on February 5, 2023

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Lucy Mushi (Guest) on December 22, 2022

Mwamini Bwana; anajua njia

Henry Sokoine (Guest) on July 23, 2022

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Victor Malima (Guest) on July 3, 2022

Rehema hushinda hukumu

Alice Wanjiru (Guest) on June 3, 2022

Nguvu hutoka kwa Bwana

Nancy Komba (Guest) on May 16, 2022

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Rose Mwinuka (Guest) on February 27, 2022

Mungu akubariki!

Carol Nyakio (Guest) on December 22, 2021

Baraka kwako na familia yako.

Moses Mwita (Guest) on October 25, 2021

Neema ya Mungu inatosha kwako

Anna Mchome (Guest) on October 20, 2021

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Mariam Hassan (Guest) on July 29, 2021

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Benjamin Masanja (Guest) on July 13, 2021

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Mariam Kawawa (Guest) on April 21, 2021

Rehema zake hudumu milele

Nancy Kabura (Guest) on January 22, 2021

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Janet Sumari (Guest) on January 15, 2021

Nakuombea 🙏

Joyce Aoko (Guest) on November 21, 2020

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Victor Sokoine (Guest) on August 5, 2020

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

David Nyerere (Guest) on July 7, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Alex Nakitare (Guest) on July 6, 2020

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Patrick Akech (Guest) on April 23, 2020

Katika imani, yote yanawezekana

Sarah Mbise (Guest) on April 21, 2020

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Janet Sumaye (Guest) on March 9, 2020

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Anna Malela (Guest) on February 24, 2020

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Elizabeth Mrope (Guest) on January 3, 2020

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Betty Kimaro (Guest) on October 2, 2019

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Ruth Wanjiku (Guest) on June 24, 2019

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Vincent Mwangangi (Guest) on March 13, 2019

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Jackson Makori (Guest) on January 9, 2019

Mungu ni mwema, wakati wote!

Philip Nyaga (Guest) on November 10, 2018

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Alice Jebet (Guest) on September 10, 2018

Sifa kwa Bwana!

Anna Mchome (Guest) on August 29, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Lucy Wangui (Guest) on April 19, 2018

Kwa Mungu, yote yanawezekana

David Sokoine (Guest) on January 29, 2018

Neema na amani iwe nawe.

Grace Mushi (Guest) on July 3, 2017

Endelea kuwa na imani!

Sarah Karani (Guest) on June 7, 2017

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Moses Mwita (Guest) on May 8, 2017

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Janet Mwikali (Guest) on April 22, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Anna Mchome (Guest) on February 24, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

George Ndungu (Guest) on February 14, 2017

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Mary Kendi (Guest) on July 13, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Irene Makena (Guest) on April 6, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Anna Malela (Guest) on November 5, 2015

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Samuel Were (Guest) on September 19, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Related Posts

Maswali na Majibu kuhusu Liturujia

Maswali na Majibu kuhusu Liturujia

Read More

Mambo ya Msingi kufahamu kuhusu Ndoa ya Kikatoliki

Mambo ya Msingi kufahamu kuhusu Ndoa ya Kikatoliki

Read More
Maswali na Majibu kuhusu Sala

Maswali na Majibu kuhusu Sala

Read More

Mambo ya Muhimu kufahamu kuhusu Mungu

Mambo ya Muhimu kufahamu kuhusu Mungu

Read More

Maswali na Majibu kuhusu Rehema

Maswali na Majibu kuhusu Rehema

Read More
Amri ya Nane ya Mungu: Makatazo na Amri

Amri ya Nane ya Mungu: Makatazo na Amri

Amri ya Nane ya Mungu inatukataza nini?

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya sala?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya sala?

Kanisa Katoliki linathamini sana maombi kama sehemu muhimu ya maisha yetu ya kiroho. Imani yetu i... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu kuombea wafu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu kuombea wafu?

Ni jambo la kawaida kwa Kanisa Katoliki kuombea wafu. Kuombea wafu ni sehemu ya imani yetu kama W... Read More

Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Karibu kwenye makala hii, ambapo tutajadili suala la utoaji mimba na jinsi Kanisa Katoliki linavy... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu matakwa ya Mungu na mapenzi ya binadamu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu matakwa ya Mungu na mapenzi ya binadamu?

Kanisa Katoliki linatambua kuwa Mungu aliumba ulimwengu na binadamu kwa mapenzi yake, lakini pia ... Read More

Maswali na Majibu kuhusu Sanamu katika Kanisa Katoliki

Maswali na Majibu kuhusu Sanamu katika Kanisa Katoliki

Read More

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kufuata na kutekeleza mapenzi ya Mungu katika maisha yao?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kufuata na kutekeleza mapenzi ya Mungu katika maisha yao?

Katika imani ya Kanisa Katoliki, Mungu ni muumba na mwanzilishi wa maisha yote duniani. Kama waam... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0083c759f28811a7a3be212f3e5cf367, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3