Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_60be4e654dd333889fee4a46d6e14ce7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_60be4e654dd333889fee4a46d6e14ce7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_60be4e654dd333889fee4a46d6e14ce7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_60be4e654dd333889fee4a46d6e14ce7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_60be4e654dd333889fee4a46d6e14ce7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue.
Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika.
Ilikua ni bahati tu alimvizia na
kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua
anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit, boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali.
Siku hiyo Bakari alikua jikoni, boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss: Bakariiii!
Bakari: Naam baba!
Boss: nani anakunywa wine yangu?
Bakari kimyaaaa hajibu kitu!
Boss: Bakariiiii !
Bakari: naam baba!
Boss: nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?

Boss kimyaaaa!
Bakari: Baba babaa!
Boss:ndio Bakari!
Bakari: Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?

Boss kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!

Mke wa Boss akaingilia kati
Mama: nyie msinitanie kabisa mnasemaje?
Bakari: kweli mama ukiwa jikoni husikii kitu nenda uone

Mama akaenda na Bakari akaanza

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeee!
Bakari: hebu niambie hiyo mimba ni ya baba au yangu?
Mama kimya

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeeee!
Bakari: hebu niambie ukweli hiyo mimba ni ya baba au yangu??
Mama kimya

Mama akatoka nje: kweli humu jikoni kuna tatizo nilikuwa nasikia jina tu

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_60be4e654dd333889fee4a46d6e14ce7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lucy Wangui (Guest) on March 17, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on March 6, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rukia (Guest) on February 17, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 17, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Shani (Guest) on February 4, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Alice Jebet (Guest) on January 22, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on January 18, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Furaha (Guest) on January 17, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Anna Mchome (Guest) on January 11, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Mchawi (Guest) on January 7, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Jane Malecela (Guest) on December 26, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on December 20, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

David Kawawa (Guest) on December 20, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mwafirika (Guest) on November 22, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Charles Mrope (Guest) on November 17, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mwanaidi (Guest) on October 30, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on October 21, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Wande (Guest) on October 10, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Richard Mulwa (Guest) on September 1, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on August 18, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Irene Akoth (Guest) on July 5, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on June 6, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on June 5, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on April 16, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Patrick Mutua (Guest) on April 10, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on February 14, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on February 12, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Kiwanga (Guest) on January 13, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Moses Mwita (Guest) on January 9, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Malisa (Guest) on December 27, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Henry Sokoine (Guest) on December 16, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on December 14, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Baridi (Guest) on December 10, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Andrew Odhiambo (Guest) on November 23, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

James Malima (Guest) on November 4, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Sharifa (Guest) on November 2, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Bakari (Guest) on October 28, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Paul Ndomba (Guest) on September 26, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on September 23, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on September 15, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Edith Cherotich (Guest) on September 7, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on August 31, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alex Nyamweya (Guest) on August 19, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Abubakari (Guest) on May 30, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rahim (Guest) on May 29, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Chris Okello (Guest) on April 12, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on April 11, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on March 2, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on February 18, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Khatib (Guest) on February 18, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Grace Njuguna (Guest) on January 20, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Anna Mchome (Guest) on January 11, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Wande (Guest) on December 3, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Patrick Kidata (Guest) on November 27, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Farida (Guest) on November 10, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Sarah Achieng (Guest) on October 27, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on October 20, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on October 11, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Related Posts

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_60be4e654dd333889fee4a46d6e14ce7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact