Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8b3897e1def46170b4c3379e950eecea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8b3897e1def46170b4c3379e950eecea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8b3897e1def46170b4c3379e950eecea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8b3897e1def46170b4c3379e950eecea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8b3897e1def46170b4c3379e950eecea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Featured Image

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya above +18.

Wakati fundi anaendelea na kazi kumbe mmeo huyu dada alishafika. hakutaka kumjulisha mkeo, kwa nia nzuri tu ya kumfanyia suprise, kwani alikuja na mazaga zaga kibao. Hiyo aliingia kwa kunyatia hadi kwenye mlango wa chumbani kwao. Ghafla akasikia mazungumzo ya mkeo na fundi ndani. Mazungumzo yalikuwaje? fuatilia hapa chini

Mama X: Fanya haraka mme wangu amekaribia
Fundi: Nakaribia kumaliza, nisaidie kuchomeka vizuri upande wako (akikusudia chaga)
Mama X: Mbona haiingii
Fundi: Ingiza kwa upande upande
Mama X: Sukuma kwa nguvu
Fundi: Angalia usiumie
Mama X: Hamna shida imeingia

Wakati jamaa akiendelea kusikiliza mlangoni, fundi akaweza godoro juu ya kitanda na mama x akajitupa kitandani kujaribu kama kimetengamaa. mara chaga akachomoka na kuanguaka chini. Nini kilifuata

Mama x: Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiii(miguno) "my God, mbona hivi"
Fundi : Pole sana
Mama X: sasa?
Fundi: Ngoja nichomeke tena
Mama X: Yaan wewe, utaacha mme wangu afike hatujamaliza
Fundi: Usijali namaliza sasa hivi

Baada ya dakika chache, fundi akamuaga mama na kumwambia tayari, sasa naona umefurahi. Kutoka tu mlangoni akakutana uso kwa uso na jamaa amekunja ndita kama matuta ya viatu. Gues what happened?

Kitu gani kitatokea kisia toa maoni yako kama ni ww ungefanyaje?

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8b3897e1def46170b4c3379e950eecea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Athumani (Guest) on July 10, 2022

😂 Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Mallya (Guest) on June 24, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! 👏🤣

Joseph Mallya (Guest) on June 12, 2022

Hii ni joke ya kipekee! 🤣👌

Wilson Ombati (Guest) on June 9, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🤣😊

Sarah Mbise (Guest) on May 28, 2022

😅 Bado ninacheka!

Peter Mwambui (Guest) on May 27, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! 😅😂

Joyce Nkya (Guest) on May 13, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! 🤔😆

Charles Mrope (Guest) on May 1, 2022

🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mwanahawa (Guest) on April 30, 2022

😆 Hii imenigonga kweli!

Victor Kamau (Guest) on April 26, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😂😅

Samson Tibaijuka (Guest) on April 26, 2022

😆 Bado nacheka, siwezi kuacha!

Monica Lissu (Guest) on April 17, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 😊😂

Athumani (Guest) on April 6, 2022

😅 Nilihitaji hii!

David Ochieng (Guest) on April 2, 2022

Huyu alikuwa na point! 😂👌

Mjaka (Guest) on March 27, 2022

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Mary Mrope (Guest) on March 27, 2022

😄 Kichekesho gani!

Susan Wangari (Guest) on March 12, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! 😊😂

Violet Mumo (Guest) on March 1, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! 😄😂

Furaha (Guest) on February 12, 2022

🤣 Sikutarajia hiyo!

Kevin Maina (Guest) on February 11, 2022

🤣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Bernard Oduor (Guest) on January 17, 2022

🤣 Hii imewaka moto!

James Malima (Guest) on January 15, 2022

🤣🤣😄😆

Samson Mahiga (Guest) on January 13, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😄

Kijakazi (Guest) on January 3, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! 😆

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 1, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! 😂

Alice Mwikali (Guest) on December 12, 2021

👏🤣😆😂

Abdillah (Guest) on December 9, 2021

🤣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Ruth Mtangi (Guest) on December 2, 2021

Hii imenichekesha sana! 🤣😆

Betty Cheruiyot (Guest) on November 25, 2021

😂😆

Baraka (Guest) on November 18, 2021

🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jackson Makori (Guest) on October 24, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🤣

Rose Kiwanga (Guest) on October 9, 2021

Umesema kweli! 👌😂

Mary Kidata (Guest) on August 24, 2021

🤣 Nalia kwa kicheko kweli!

Agnes Njeri (Guest) on July 15, 2021

😂 Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Sokoine (Guest) on June 8, 2021

😆😂👏

Agnes Lowassa (Guest) on May 30, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂

Hashim (Guest) on May 10, 2021

😂 Lazima nihifadhi hii!

Josephine Nekesa (Guest) on March 18, 2021

😆 Naihifadhi hii!

Mohamed (Guest) on March 8, 2021

😆 Ninaihifadhi kwa baadaye!

John Kamande (Guest) on March 2, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! 🤣😆

Catherine Naliaka (Guest) on February 22, 2021

😊😂😅👏

Victor Kimario (Guest) on February 8, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Stephen Kikwete (Guest) on February 2, 2021

😆 Naihifadhi hii!

Joseph Njoroge (Guest) on December 29, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆

Nashon (Guest) on December 14, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! 🏆

Victor Kimario (Guest) on October 27, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Raphael Okoth (Guest) on October 17, 2020

Hii ni bomba sana! 🤣👍

Philip Nyaga (Guest) on October 16, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! 👏😆

Nancy Kabura (Guest) on October 3, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂😆

Halimah (Guest) on September 15, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! 😂

Jackson Makori (Guest) on September 3, 2020

Napenda jokes zenu! 😊😅

Shukuru (Guest) on August 27, 2020

😂 Siwezi kuacha kucheka!

Alice Mrema (Guest) on August 14, 2020

😄😅👏😂

Esther Nyambura (Guest) on July 31, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! 😊👏

Anna Mahiga (Guest) on July 3, 2020

Hii imenibamba sana! 😂😅

Lucy Kimotho (Guest) on July 1, 2020

🤣🤣👏😆

Anna Mahiga (Guest) on May 13, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🤣🤣

Rose Lowassa (Guest) on March 7, 2020

Nimefurahia hii sana! 😆😊

Elizabeth Mrope (Guest) on March 6, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! 😆😊

Raphael Okoth (Guest) on February 22, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! 😄

Related Posts

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1 hivi rafiki ... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Binti: Hallow mpenzi, Mambo


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8b3897e1def46170b4c3379e950eecea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3