Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_79537e563ea0f4550d9bcab793b808f4, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Kisa cha mzaramo na mchaga
Date: March 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=
Na kama akishindwa kukutibu anakurudishia laki
yako nakukuongeza laki nyingine.
MCHAGA akaona hii fursa yakujipatia hela aiwezi mpita akaenda kutibiwa.
MZARAMO: "unaumwa nini?"
MCHAGA: "Sisikii ladha ya aina yoyote mdomoni kabisaaaa.."
MZARAMO: "sawa, toa laki kabisa.."
Mchaga akatoa.
MZARAMO akamuagiza msaidizi wake; "Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.."
MCHAGA akanywa akatema faster; "Puh puu puu, Aisee huu si mkojo huu..?"
MZARAMO: "Umepona karibu tena.."
Mchaga aka-mind sana Kesho yake akarudi tena hakuamini ameliwa pesa yake.
MCHAGA: aisee nina tatizo la kumbukumbu nasahau
sanaaaaa.."
MZARAMO akamwambia "hakuna tabu, toa laki tukupe tiba..'
MCHAGA akatoa pesa akijua leo lazima afanikiwe..'
MZARAMO: "nesi naomba kikopo no.27.."
MCHAGA: "ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA CHA MKOJO HICHO AISEE..?"
MZARAMO: "UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO.
😄😄😄😄😁😁😁😁😁😁
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_79537e563ea0f4550d9bcab793b808f4, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:...
Read More
BABA OYEEEEEE💪💪
Soma hii…
Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar...
Read More
MADEM KWA SIFA..
kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam...
Read More
Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake
anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke,
mkewe akakataa, aka...
Read More
Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,
Kainuka na kuanza k...
Read More
Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra...
Read More
Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha...
Read More
Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali...
Read More
Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan...
Read More
Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!..
Wakapelekwa contractors ...
Read More
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga...
Read More
Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi...
Read More
Joseph Kawawa (Guest) on August 26, 2022
Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏😆
Josephine Nduta (Guest) on August 5, 2022
Hii imenikuna sana! 😆😅
Lucy Kimotho (Guest) on July 31, 2022
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! 😄😅
Emily Chepngeno (Guest) on July 23, 2022
😂 Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Lydia Mzindakaya (Guest) on July 16, 2022
😂🤣
Janet Mwikali (Guest) on July 11, 2022
😂 Siwezi kuacha kucheka na hii!
Maulid (Guest) on June 20, 2022
😂 Ninashiriki mara moja!
Kevin Maina (Guest) on June 5, 2022
Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣
Lucy Mahiga (Guest) on May 27, 2022
Huyu alikuwa na point! 😂👌
Vincent Mwangangi (Guest) on April 25, 2022
😆😂😊
Michael Onyango (Guest) on April 8, 2022
Nimecheka hadi nina furaha sana! 😆😂
Raha (Guest) on March 12, 2022
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! 😄
Jane Muthoni (Guest) on March 12, 2022
Hii ni joke ya kipekee! 🤣👌
Josephine Nduta (Guest) on February 27, 2022
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😅
Kevin Maina (Guest) on February 12, 2022
🤣😆😊😂
Victor Mwalimu (Guest) on January 11, 2022
😆 Ninacheka sana sasa hivi!
Vincent Mwangangi (Guest) on January 5, 2022
Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣
Fredrick Mutiso (Guest) on January 2, 2022
😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!
Fadhili (Guest) on December 25, 2021
😂 Nitaiiba hii bila shaka!
Frank Sokoine (Guest) on December 12, 2021
Nimecheka hadi nimepata furaha! 😊😆
Zubeida (Guest) on November 13, 2021
😆 Bado nacheka!
Joyce Mussa (Guest) on November 6, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha! 😊😂
John Mushi (Guest) on October 20, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! 😂👏
Henry Mollel (Guest) on October 7, 2021
Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆
Jane Muthui (Guest) on September 7, 2021
😂 Siwezi kuacha kucheka!
Thomas Mtaki (Guest) on August 6, 2021
Napenda jinsi mnavyofikiria! 🤔😆
Joyce Aoko (Guest) on August 1, 2021
😂 Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Maulid (Guest) on July 31, 2021
🤣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Peter Otieno (Guest) on July 5, 2021
Hii ni joke ya kipekee sana! 😂👏
Ann Wambui (Guest) on July 4, 2021
Hii joke imenikumbusha enzi zile! 😊😂
David Musyoka (Guest) on June 28, 2021
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! 👏😆
Nora Kidata (Guest) on June 7, 2021
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁
Ahmed (Guest) on June 5, 2021
😂 Nalia kwa kweli hapa!
Nancy Komba (Guest) on May 31, 2021
Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏🤣
Anthony Kariuki (Guest) on May 29, 2021
😂 Hii ni kali sana!
David Chacha (Guest) on April 25, 2021
😂👌😆😊
Josephine Nduta (Guest) on April 3, 2021
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣
Farida (Guest) on April 3, 2021
😅 Bado nacheka!
Janet Sumari (Guest) on April 1, 2021
🤣🤣👏😆
Mwajabu (Guest) on March 10, 2021
🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!
Lucy Kimotho (Guest) on February 25, 2021
Hii imenichekesha sana! 😄😂
Isaac Kiptoo (Guest) on February 23, 2021
Hii imenipa kicheko cha siku! 😂😆
Catherine Naliaka (Guest) on February 6, 2021
Nimecheka hadi nina furaha sana! 😊😂
Sekela (Guest) on February 1, 2021
😆 Siwezi kuacha kucheka!
Masika (Guest) on January 21, 2021
🤣 Hii imenigonga vizuri!
Elizabeth Mtei (Guest) on January 16, 2021
Mna kipaji cha ucheshi! 👏😂
Robert Ndunguru (Guest) on January 11, 2021
Hii imenifurahisha sana! 😂😂
Joseph Kawawa (Guest) on December 26, 2020
😄😅👏😂
Grace Mligo (Guest) on December 19, 2020
Hii imenipa furaha ya siku! 😆😂
Paul Kamau (Guest) on December 5, 2020
Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭
Margaret Anyango (Guest) on November 4, 2020
😂 Kali sana!
Betty Kimaro (Guest) on October 13, 2020
Haha, hii ni ya kuhifadhi! 📌
Lydia Mutheu (Guest) on October 3, 2020
🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!
Grace Wairimu (Guest) on September 6, 2020
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! 😂
Lucy Wangui (Guest) on August 19, 2020
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! 😄
Athumani (Guest) on August 4, 2020
😂 Hii ni ya kuhifadhi!
Irene Makena (Guest) on July 17, 2020
😅 Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Issa (Guest) on July 12, 2020
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! 😂
Hashim (Guest) on July 2, 2020
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! ☕😆
Christopher Oloo (Guest) on June 25, 2020
Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁