Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_40245f2a98e2041401f1f9590e75d804, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU
Date: January 1, 2015
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya shetani, Mungu amtiishe, tunaomba sana, nawe Mkuu wa Majeshi ya Mbinguni kwa nguvu ya Mungu uwaangushe motoni shetani na pepo wabaya wengine wote, wanaozunguka duniani, ili kuzipoteza roho za watu. Amina.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_40245f2a98e2041401f1f9590e75d804, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa...
Read More
Mungu wangu,
nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More
Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na...
Read More
Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ...
Read More
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ...
Read More
Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More
Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal...
Read More
Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ...
Read More
Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya...
Read More
Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)
Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ...
Read More
Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria...
Read More
Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,
na kwa njia ya Damu yako azizi,
na kwa maombezi ya M...
Read More
Wilson Ombati (Guest) on April 6, 2018
🙏✨ Mungu asikie maombi yetu
Janet Sumaye (Guest) on March 25, 2018
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Sarah Mbise (Guest) on February 22, 2018
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Elizabeth Mtei (Guest) on February 4, 2018
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Peter Mbise (Guest) on December 26, 2017
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Samson Tibaijuka (Guest) on October 9, 2017
Sifa kwa Bwana!
Elizabeth Mrope (Guest) on July 21, 2017
🙏❤️ Mungu ni mwaminifu
Lydia Mutheu (Guest) on May 26, 2017
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Josephine Nduta (Guest) on May 10, 2017
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Victor Malima (Guest) on March 24, 2017
Mwamini Bwana; anajua njia
Peter Otieno (Guest) on January 25, 2017
Mungu akubariki!
Francis Njeru (Guest) on January 10, 2017
Mwamini katika mpango wake.
Anna Mchome (Guest) on November 4, 2016
🙏✨ Neema ya Mungu iwe nawe
Edith Cherotich (Guest) on September 30, 2016
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Nancy Kawawa (Guest) on September 28, 2016
Neema na amani iwe nawe.
Jane Muthoni (Guest) on September 12, 2016
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Charles Wafula (Guest) on March 8, 2016
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Jane Muthui (Guest) on February 2, 2016
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Kahina (Guest) on January 20, 2016
🙏🙏🙏
Agnes Sumaye (Guest) on January 20, 2016
🙏💖 Nakusihi Mungu
Grace Wairimu (Guest) on December 12, 2015
🙏🌟❤️ Nakuombea heri
Mary Sokoine (Guest) on December 2, 2015
Baraka kwako na familia yako.
Lucy Mahiga (Guest) on November 16, 2015
Mungu ni mwema, wakati wote!
Vincent Mwangangi (Guest) on November 1, 2015
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Betty Kimaro (Guest) on September 4, 2015
Rehema zake hudumu milele
Paul Ndomba (Guest) on June 10, 2015
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
David Kawawa (Guest) on May 9, 2015
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Susan Wangari (Guest) on May 1, 2015
🙏❤️ Mungu ni mlinzi wetu