Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_75hp6kuhcbglb0fple60eh2n32, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU
Date: May 1, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtakatifu wa Bwana wetu Yesu Kristu/ ambao ninataka kumpenda/ na kukusalimu kwa usikivu unaoendelea./ Kamwe nisikuudhi tena/ kwa sababu Wewe ni Mwema sana;/ Ee Mwema sana./ Ee Moyo Mtakatifu sana/ ninakupenda/ na ninataka kukupenda zaidi ya vitu vyote,/ kwa nguvu zangu zote/ na kwa uwezo wangu wote,/ ninatamani kuwa mali yako/ Wewe uliyejitoa Msalabani kwa ajili yangu/ kwa mateso makali./ Unionee huruma na udhaifu wangu/ na usiniruhusu kupotea./
Ninajitoa kabisa kwako/ ee moyo wa mapendo,/ kwa makusudi kuwa utu wangu,/ maisha na mateso yangu/ yalipie kukupenda,/ kukuheshimu/ na kukutukuza Wewe sasa na milele./ Ninakupenda ee Moyo Mwabudiwa wa Mwokozi wangu,/ ninakuomba kwako/ uamuru moyo wangu na kila kitu ndani yangu/ kikutukuze sasa na milele./ Amina.
(Na Mt Margareta Maria Alakoki)
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_75hp6kuhcbglb0fple60eh2n32, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh...
Read More
TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA
BABA YETU…………â...
Read More
Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.
Kusali nov...
Read More
- Bwana utuhurumie
- Bwana utuhurumie
- Kristo utuhurumie
- Bwana utuhurumie...
Read More
(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na...
Read More
Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni...
Read More
Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes...
Read More
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ...
Read More
Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ...
Read More
Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto...
Read More
Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima
(Tumia rosari ya kawaida...
Read More
Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ...
Read More
Alex Nyamweya (Guest) on September 13, 2017
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Joyce Nkya (Guest) on August 21, 2017
ðŸ™â¤ï¸ Mungu akubariki
Monica Adhiambo (Guest) on August 3, 2017
ðŸ™â¤ï¸ðŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai
Lydia Mutheu (Guest) on May 7, 2017
Rehema hushinda hukumu
Monica Adhiambo (Guest) on April 2, 2017
ðŸ™â¤ï¸ðŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote
Edward Chepkoech (Guest) on March 16, 2017
ðŸ™âœ¨â¤ï¸ Neema za Mungu zikufunike
Nancy Akumu (Guest) on February 4, 2017
Sifa kwa Bwana!
Stephen Amollo (Guest) on September 28, 2016
ðŸ™ðŸŒŸ Mungu alete amani
Grace Wairimu (Guest) on September 26, 2016
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Violet Mumo (Guest) on July 21, 2016
ðŸ™âœ¨ Mungu atakuinua
Dorothy Nkya (Guest) on June 19, 2016
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Anna Mahiga (Guest) on April 4, 2016
Neema na amani iwe nawe.
Grace Wairimu (Guest) on February 29, 2016
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Jacob Kiplangat (Guest) on February 16, 2016
ðŸ™âœ¨ Mungu asikie maombi yetu
Francis Mrope (Guest) on February 13, 2016
Tembea kwa imani, si kwa kuona
John Lissu (Guest) on January 26, 2016
ðŸ™ðŸ’–🙠Mungu akufunike na upendo
Moses Kipkemboi (Guest) on January 25, 2016
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Elijah Mutua (Guest) on January 24, 2016
ðŸ™ðŸ’–✨ Neema yako ni ya kutosha
Janet Mwikali (Guest) on January 20, 2016
ðŸ™âœ¨ðŸ’– Mungu atajibu maombi yako
Nancy Komba (Guest) on January 6, 2016
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Jackson Makori (Guest) on November 7, 2015
ðŸ™ðŸŒŸ Neema za Mungu zisikose
Irene Akoth (Guest) on July 22, 2015
ðŸ™â¤ï¸ðŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe
Joseph Mallya (Guest) on July 19, 2015
Kwa Mungu, yote yanawezekana
David Chacha (Guest) on April 1, 2015
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe