Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_713c6fbebe9dd0ecfc3fcd77778b7b1b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU
Date: May 1, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtakatifu wa Bwana wetu Yesu Kristu/ ambao ninataka kumpenda/ na kukusalimu kwa usikivu unaoendelea./ Kamwe nisikuudhi tena/ kwa sababu Wewe ni Mwema sana;/ Ee Mwema sana./ Ee Moyo Mtakatifu sana/ ninakupenda/ na ninataka kukupenda zaidi ya vitu vyote,/ kwa nguvu zangu zote/ na kwa uwezo wangu wote,/ ninatamani kuwa mali yako/ Wewe uliyejitoa Msalabani kwa ajili yangu/ kwa mateso makali./ Unionee huruma na udhaifu wangu/ na usiniruhusu kupotea./
Ninajitoa kabisa kwako/ ee moyo wa mapendo,/ kwa makusudi kuwa utu wangu,/ maisha na mateso yangu/ yalipie kukupenda,/ kukuheshimu/ na kukutukuza Wewe sasa na milele./ Ninakupenda ee Moyo Mwabudiwa wa Mwokozi wangu,/ ninakuomba kwako/ uamuru moyo wangu na kila kitu ndani yangu/ kikutukuze sasa na milele./ Amina.
(Na Mt Margareta Maria Alakoki)
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_15824a1a22a9b695617221906625f6e8, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
βββ
Sala ya saa tisaππΎ
Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu....
Read More
1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More
Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok...
Read More
Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar...
Read More
Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ...
Read More
Mungu wangu,
nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More
Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.
SALA YA KUSHUKURU
Tunakus...
Read More
Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina...
Read More
Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)
Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ...
Read More
Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga...
Read More
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ...
Read More
Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ...
Read More
Alex Nyamweya (Guest) on September 13, 2017
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Joyce Nkya (Guest) on August 21, 2017
πβ€οΈ Mungu akubariki
Monica Adhiambo (Guest) on August 3, 2017
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Lydia Mutheu (Guest) on May 7, 2017
Rehema hushinda hukumu
Monica Adhiambo (Guest) on April 2, 2017
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Edward Chepkoech (Guest) on March 16, 2017
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
Nancy Akumu (Guest) on February 4, 2017
Sifa kwa Bwana!
Stephen Amollo (Guest) on September 28, 2016
ππ Mungu alete amani
Grace Wairimu (Guest) on September 26, 2016
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Violet Mumo (Guest) on July 21, 2016
πβ¨ Mungu atakuinua
Dorothy Nkya (Guest) on June 19, 2016
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Anna Mahiga (Guest) on April 4, 2016
Neema na amani iwe nawe.
Grace Wairimu (Guest) on February 29, 2016
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Jacob Kiplangat (Guest) on February 16, 2016
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Francis Mrope (Guest) on February 13, 2016
Tembea kwa imani, si kwa kuona
John Lissu (Guest) on January 26, 2016
πππ Mungu akufunike na upendo
Moses Kipkemboi (Guest) on January 25, 2016
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Elijah Mutua (Guest) on January 24, 2016
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Janet Mwikali (Guest) on January 20, 2016
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Nancy Komba (Guest) on January 6, 2016
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Jackson Makori (Guest) on November 7, 2015
ππ Neema za Mungu zisikose
Irene Akoth (Guest) on July 22, 2015
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
Joseph Mallya (Guest) on July 19, 2015
Kwa Mungu, yote yanawezekana
David Chacha (Guest) on April 1, 2015
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe