Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0e46af23f6540fe010081dbebbcb69a0, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU
Date: May 1, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtakatifu wa Bwana wetu Yesu Kristu/ ambao ninataka kumpenda/ na kukusalimu kwa usikivu unaoendelea./ Kamwe nisikuudhi tena/ kwa sababu Wewe ni Mwema sana;/ Ee Mwema sana./ Ee Moyo Mtakatifu sana/ ninakupenda/ na ninataka kukupenda zaidi ya vitu vyote,/ kwa nguvu zangu zote/ na kwa uwezo wangu wote,/ ninatamani kuwa mali yako/ Wewe uliyejitoa Msalabani kwa ajili yangu/ kwa mateso makali./ Unionee huruma na udhaifu wangu/ na usiniruhusu kupotea./
Ninajitoa kabisa kwako/ ee moyo wa mapendo,/ kwa makusudi kuwa utu wangu,/ maisha na mateso yangu/ yalipie kukupenda,/ kukuheshimu/ na kukutukuza Wewe sasa na milele./ Ninakupenda ee Moyo Mwabudiwa wa Mwokozi wangu,/ ninakuomba kwako/ uamuru moyo wangu na kila kitu ndani yangu/ kikutukuze sasa na milele./ Amina.
(Na Mt Margareta Maria Alakoki)
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0e46af23f6540fe010081dbebbcb69a0, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee...
Read More
Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n...
Read More
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ...
Read More
Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)
Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ...
Read More
Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y...
Read More
Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
...
Read More
Read More
Mungu wangu,
nakupenda zaidi ya cho chote,
kwani ndiwe mwema,
ndiwe mwenye kupe...
Read More
Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima
(Tumia rosari ya kawaida...
Read More
Mungu wangu,
nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More
1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA
2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI...
Read More
Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun...
Read More
Joyce Nkya (Guest) on August 21, 2017
🙏❤️ Mungu akubariki
Monica Adhiambo (Guest) on August 3, 2017
🙏❤️🌟 Asante Mungu kwa uhai
Lydia Mutheu (Guest) on May 7, 2017
Rehema hushinda hukumu
Monica Adhiambo (Guest) on April 2, 2017
🙏❤️💖 Tumshukuru Mungu kwa yote
Edward Chepkoech (Guest) on March 16, 2017
🙏✨❤️ Neema za Mungu zikufunike
Nancy Akumu (Guest) on February 4, 2017
Sifa kwa Bwana!
Stephen Amollo (Guest) on September 28, 2016
🙏🌟 Mungu alete amani
Grace Wairimu (Guest) on September 26, 2016
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Violet Mumo (Guest) on July 21, 2016
🙏✨ Mungu atakuinua
Dorothy Nkya (Guest) on June 19, 2016
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Anna Mahiga (Guest) on April 4, 2016
Neema na amani iwe nawe.
Grace Wairimu (Guest) on February 29, 2016
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Jacob Kiplangat (Guest) on February 16, 2016
🙏✨ Mungu asikie maombi yetu
Francis Mrope (Guest) on February 13, 2016
Tembea kwa imani, si kwa kuona
John Lissu (Guest) on January 26, 2016
🙏💖🙏 Mungu akufunike na upendo
Moses Kipkemboi (Guest) on January 25, 2016
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Elijah Mutua (Guest) on January 24, 2016
🙏💖✨ Neema yako ni ya kutosha
Janet Mwikali (Guest) on January 20, 2016
🙏✨💖 Mungu atajibu maombi yako
Nancy Komba (Guest) on January 6, 2016
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Jackson Makori (Guest) on November 7, 2015
🙏🌟 Neema za Mungu zisikose
Irene Akoth (Guest) on July 22, 2015
🙏❤️💖 Baraka za Mungu ziwe nawe
Joseph Mallya (Guest) on July 19, 2015
Kwa Mungu, yote yanawezekana
David Chacha (Guest) on April 1, 2015
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe