Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4d0dd071f5261eec0fd5297ce48dab44, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALAMU MARIA
Date: January 1, 2018
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa
Maria Mtakatifu
Mama wa Mungu
Utuombee sisi wakosefu
Sasa, na saa ya kufa kwetu.
Amina.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4d0dd071f5261eec0fd5297ce48dab44, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)
Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ...
Read More
Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,
na kwa njia ya Damu yako azizi,
na kwa maombezi ya M...
Read More
Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako....
Read More
Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush...
Read More
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ...
Read More
(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za...
Read More
Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ...
Read More
Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz...
Read More
Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w...
Read More
1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA
2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI...
Read More
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ...
Read More
Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa...
Read More
Kevin Maina (Guest) on January 24, 2017
🙏💖 Asante kwa neema zako Mungu
Josephine Nduta (Guest) on December 20, 2016
🙏✨ Mungu atupe nguvu
Ann Awino (Guest) on November 5, 2016
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Brian Karanja (Guest) on September 10, 2016
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Moses Mwita (Guest) on August 19, 2016
🙏🌟 Mungu alete amani
Rose Kiwanga (Guest) on August 11, 2016
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Lydia Mutheu (Guest) on July 31, 2016
🙏💖 Nakushukuru Mungu
Lydia Wanyama (Guest) on July 29, 2016
🙏🙏🙏
Catherine Naliaka (Guest) on July 29, 2016
🙏❤️ Mungu ni mlinzi wetu
Michael Mboya (Guest) on July 11, 2016
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Emily Chepngeno (Guest) on July 4, 2016
Mwamini katika mpango wake.
Grace Njuguna (Guest) on June 5, 2016
🙏🌟 Namuomba Mungu akupiganie
Raphael Okoth (Guest) on May 23, 2016
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Stephen Kangethe (Guest) on May 19, 2016
🙏❤️✨ Mungu akujalie furaha
John Lissu (Guest) on April 30, 2016
Sifa kwa Bwana!
Lucy Mahiga (Guest) on April 4, 2016
Mungu ni mwema, wakati wote!
Esther Nyambura (Guest) on March 21, 2016
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Raphael Okoth (Guest) on January 17, 2016
🙏💖 Nakusihi Mungu
James Kimani (Guest) on November 27, 2015
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Miriam Mchome (Guest) on November 11, 2015
Imani inaweza kusogeza milima
Mariam Hassan (Guest) on August 18, 2015
Mwamini Bwana; anajua njia
Samson Tibaijuka (Guest) on August 4, 2015
🙏❤️🌟 Asante Mungu kwa uhai
Janet Wambura (Guest) on May 16, 2015
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu