Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_264dff388eeb884cee382fdd7d54a76c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI
Date: January 1, 2015
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa kutoa misaada/ kwa wanaokukimbilia katika matatizo yao mazito./ Pia ni mwombezi wa waliopondeka moyo./
Mimi ni mmoja wa hao./ Nakujia na moyo uliojaa shida na matatizo./ Nakusihi kwa moyo wote/ unisaidie kwa maombezi yako yenye nguvu/ kufikia utatuzi unaofaa kadiri ya mapenzi ya Mungu./ Maisha yangu yamejaa misalaba,/ siku kwa siku matatizo hayapungui./ Moyo wangu umekuwa bahari ya siki chungu sana./ Mapito yangu nayaona yamejaa miiba mikali./ Roho yangu imezama katika dimbwi la machozi na kite./ Nafsi yangu imezingirwa na giza nene./ Ghasia na kukatishwa tamaa ya kuishi/ hunyemelea roho yangu./ Maongozi ya Mungu na imani naviona vinanitoka kidogo kwa kidogo./
Nikielemewa na mawazo kama hayo/ najikuta sina nguvu za kuishi,/ na maisha kwangu ni msalaba mzito/ ninaouogopa hata kuunyakua./ Wewe unaweza kabisa kunitoa katika balaa hili./ Sitaacha kukusihi/ hadi hapo utakaponisaidia/ au kunijulisha mapenzi ya Mungu kwangu./ Natangulia kutoa shukrani kwa jibu liwalo lote.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_46262aa9666224c112d7b0d657fbb1c6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
SALA YA ASUBUHI
Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,...
Read More
Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto...
Read More
Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik...
Read More
Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ...
Read More
Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A...
Read More
Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria...
Read More
Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ...
Read More
Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush...
Read More
Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ...
Read More
Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya...
Read More
Read More
TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA
BABA YETU…………â...
Read More
Anna Sumari (Guest) on September 20, 2017
ðŸ™ðŸŒŸ Mungu alete amani
Carol Nyakio (Guest) on September 1, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Andrew Mahiga (Guest) on May 11, 2017
Neema ya Mungu inatosha kwako
Margaret Mahiga (Guest) on February 8, 2017
ðŸ™ðŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie
Rose Waithera (Guest) on January 17, 2017
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Philip Nyaga (Guest) on January 12, 2017
Katika imani, yote yanawezekana
David Sokoine (Guest) on October 28, 2016
ðŸ™â¤ï¸ðŸ’– Bwana akujalie baraka
Linda Karimi (Guest) on September 28, 2016
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Mariam Kawawa (Guest) on September 16, 2016
ðŸ™â¤ï¸âœ¨ Mungu akujalie furaha
Joyce Aoko (Guest) on August 25, 2016
Mwamini Bwana; anajua njia
Edward Lowassa (Guest) on August 19, 2016
ðŸ™ðŸ’– Nakusihi Mungu
Monica Lissu (Guest) on June 27, 2016
Nguvu hutoka kwa Bwana
John Lissu (Guest) on June 10, 2016
ðŸ™ðŸ’–🙠Mungu akufunike na upendo
Hellen Nduta (Guest) on April 11, 2016
ðŸ™âœ¨ Mungu atupe nguvu
Simon Kiprono (Guest) on February 26, 2016
Tumaini ni nanga ya roho
Emily Chepngeno (Guest) on February 2, 2016
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Brian Karanja (Guest) on November 5, 2015
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Mary Mrope (Guest) on October 10, 2015
ðŸ™ðŸŒŸ Neema za Mungu zisikose
Nancy Kabura (Guest) on September 27, 2015
Mwamini katika mpango wake.
Joy Wacera (Guest) on August 5, 2015
ðŸ™âœ¨ Mungu asikie maombi yetu
Stephen Kikwete (Guest) on July 29, 2015
ðŸ™ðŸŒŸ Mungu akujalie amani
Anna Mahiga (Guest) on July 1, 2015
Wakati wa Mungu ni kamilifu
David Musyoka (Guest) on June 7, 2015
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha