Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f9572d60c3b50bfc97548ec05d74d018, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI
Date: January 1, 2015
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa kutoa misaada/ kwa wanaokukimbilia katika matatizo yao mazito./ Pia ni mwombezi wa waliopondeka moyo./
Mimi ni mmoja wa hao./ Nakujia na moyo uliojaa shida na matatizo./ Nakusihi kwa moyo wote/ unisaidie kwa maombezi yako yenye nguvu/ kufikia utatuzi unaofaa kadiri ya mapenzi ya Mungu./ Maisha yangu yamejaa misalaba,/ siku kwa siku matatizo hayapungui./ Moyo wangu umekuwa bahari ya siki chungu sana./ Mapito yangu nayaona yamejaa miiba mikali./ Roho yangu imezama katika dimbwi la machozi na kite./ Nafsi yangu imezingirwa na giza nene./ Ghasia na kukatishwa tamaa ya kuishi/ hunyemelea roho yangu./ Maongozi ya Mungu na imani naviona vinanitoka kidogo kwa kidogo./
Nikielemewa na mawazo kama hayo/ najikuta sina nguvu za kuishi,/ na maisha kwangu ni msalaba mzito/ ninaouogopa hata kuunyakua./ Wewe unaweza kabisa kunitoa katika balaa hili./ Sitaacha kukusihi/ hadi hapo utakaponisaidia/ au kunijulisha mapenzi ya Mungu kwangu./ Natangulia kutoa shukrani kwa jibu liwalo lote.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f9572d60c3b50bfc97548ec05d74d018, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun...
Read More
Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y...
Read More
Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na...
Read More
- Bwana utuhurumie
- Bwana utuhurumie
- Kristo utuhurumie
- Bwana utuhurumie...
Read More
Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes...
Read More
Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)
Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ...
Read More
Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
...
Read More
Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ...
Read More
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ...
Read More
Mungu wangu,
nakupenda zaidi ya cho chote,
kwani ndiwe mwema,
ndiwe mwenye kupe...
Read More
Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu...
Read More
Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate...
Read More
Anna Sumari (Guest) on September 20, 2017
🙏🌟 Mungu alete amani
Carol Nyakio (Guest) on September 1, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Andrew Mahiga (Guest) on May 11, 2017
Neema ya Mungu inatosha kwako
Margaret Mahiga (Guest) on February 8, 2017
🙏🌟 Namuomba Mungu akupiganie
Rose Waithera (Guest) on January 17, 2017
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Philip Nyaga (Guest) on January 12, 2017
Katika imani, yote yanawezekana
David Sokoine (Guest) on October 28, 2016
🙏❤️💖 Bwana akujalie baraka
Linda Karimi (Guest) on September 28, 2016
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Mariam Kawawa (Guest) on September 16, 2016
🙏❤️✨ Mungu akujalie furaha
Joyce Aoko (Guest) on August 25, 2016
Mwamini Bwana; anajua njia
Edward Lowassa (Guest) on August 19, 2016
🙏💖 Nakusihi Mungu
Monica Lissu (Guest) on June 27, 2016
Nguvu hutoka kwa Bwana
John Lissu (Guest) on June 10, 2016
🙏💖🙏 Mungu akufunike na upendo
Hellen Nduta (Guest) on April 11, 2016
🙏✨ Mungu atupe nguvu
Simon Kiprono (Guest) on February 26, 2016
Tumaini ni nanga ya roho
Emily Chepngeno (Guest) on February 2, 2016
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Brian Karanja (Guest) on November 5, 2015
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Mary Mrope (Guest) on October 10, 2015
🙏🌟 Neema za Mungu zisikose
Nancy Kabura (Guest) on September 27, 2015
Mwamini katika mpango wake.
Joy Wacera (Guest) on August 5, 2015
🙏✨ Mungu asikie maombi yetu
Stephen Kikwete (Guest) on July 29, 2015
🙏🌟 Mungu akujalie amani
Anna Mahiga (Guest) on July 1, 2015
Wakati wa Mungu ni kamilifu
David Musyoka (Guest) on June 7, 2015
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha