Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_141d3f1d7727b02e97509bdead34e0f3, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU
Date: January 1, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti Takatifu ya Altare;/ pokea kitendo hiki cha kukuangukia kifudi fudi/ kama ishara ya tamaa niliyonayo ya kukuabudu Wewe/ bila kuchoka/ na kukushukuru kwa mapendo yako makubwa/ yasiyo na kipimo/ ambayo Moyo wako Mtakatifu sana/ unawaka katika Sakramenti Takatifu hii./ Siwezi kukushukuru vizuri zaidi/ kuliko kama ningetolea kwako/ matendo yangu yote ya kukuabudu/ unyenyekevu wangu/ uvumilivu na mapendo/ ambayo huu Moyo Mwabudiwa ulifanya,/ bado unafanya/ na utaendelea kufanya katika uzima wa milele mbinguni./ Ninaahidi kupitia Moyo huu,/ nitakupenda,/ nitakutukuza,/ na nitakuabudu kama nitakavyoweza./ Ninajiunganisha na hii Sadaka Takatifu/ ambayo unatoa kwa Baba Mungu/ na ninatolea kwako utu wangu./ Ninakuomba kuangamiza ndani yangu/ dhambi zote pamoja na majeraha yake/ na usikubali kunitenga nawe milele./ Amina.
(Na Mt. Margareta Maria Alakoki)
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c86039763608f1326a9c769fa1e13b16, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria...
Read More
Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo...
Read More
Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w...
Read More
Kwa jina la Baba…..
Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu.
Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M...
Read More
Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n...
Read More
Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na...
Read More
Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ...
Read More
Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun...
Read More
Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)
Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ...
Read More
Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar...
Read More
Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako...
Read More
1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More
George Mallya (Guest) on February 26, 2017
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Chris Okello (Guest) on February 25, 2017
Tumaini ni nanga ya roho
Nora Kidata (Guest) on February 19, 2017
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Hamida (Guest) on February 7, 2017
🙏🙏🙏
Nora Lowassa (Guest) on February 4, 2017
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Elizabeth Mtei (Guest) on December 9, 2016
🙏✨ Mungu atupe nguvu
David Sokoine (Guest) on November 13, 2016
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Bernard Oduor (Guest) on September 6, 2016
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Agnes Sumaye (Guest) on August 16, 2016
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Andrew Odhiambo (Guest) on July 24, 2016
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Francis Mrope (Guest) on June 6, 2016
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Chris Okello (Guest) on April 20, 2016
🙏❤️💖 Bwana akujalie baraka
Lucy Kimotho (Guest) on January 30, 2016
Endelea kuwa na imani!
Jackson Makori (Guest) on January 26, 2016
Sifa kwa Bwana!
Sarah Karani (Guest) on January 25, 2016
🙏❤️ Mungu ni mkombozi
Fredrick Mutiso (Guest) on January 20, 2016
🙏❤️ Mungu ni mwaminifu
Catherine Mkumbo (Guest) on January 19, 2016
🙏✨💖 Mungu atajibu maombi yako
Edward Chepkoech (Guest) on September 23, 2015
🙏💖 Nakusihi Mungu
Joseph Kawawa (Guest) on August 1, 2015
🙏✨ Mungu atakuinua
Sarah Karani (Guest) on June 24, 2015
🙏✨ Neema ya Mungu iwe nawe
Ann Awino (Guest) on June 12, 2015
Neema ya Mungu inatosha kwako
Victor Kamau (Guest) on June 7, 2015
🙏💖 Nakushukuru Mungu
Samson Tibaijuka (Guest) on May 14, 2015
Amina