Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_ae50777d9bd30b4b638e777103979dee, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Novena ya Noeli
Date: January 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)
Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku wa Noeli, tar 24 Disemba. Inajulikana kama novena ya Mt. Andrea kwa sababu novena hii huanza kusaliwa katika siku ya kumbukumbu ya Mt. Andrea Mtume.
"IHESHIMIWE, NA IBARIKIWE, SAA ILE NA WAKATI ULE, AMBAO MWANA WA MUNGU, ALIZALIWA NA BIKIRA MBARIKIWA SANA, USIKU WA MANANE, KULE BETHLEHEM, WAKATI WA BARIDI KALI.
WAKATI HUO, UPENDE E MUNGU WANGU, KUSIKIA MAOMBI YANGU, NA KUNIJALIA YALE NINAYOYAOMBA KWAKO, KWA NJIA YA MASTAHILI YA MWOKOZI WETU YESU KRISTO, NA YA MAMA YAKE MBARIKIWA. AMINA. (Sali mara 15 kwa siku).
Inasadikika kuwa chochote uombacho kwa imani kwa sala hii utakipata mradi kipatane na mapenzi ya Mungu. Sali na watoto/ familia kuwatafakarisha na kuwaongezea matazamio juu ya sikukuu ya Noeli.
Isambaze sala hii kwa wengine.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5b7d2f8ec3a28ed25f1ea20db05adc8e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA
BABA YETU…………â...
Read More
Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka...
Read More
Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw...
Read More
1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA
2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI...
Read More
Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh...
Read More
MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c9bfcc897dc2b6ab34b6ce35bc4b872d, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line
3
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line
3
Grace Minja (Guest) on April 22, 2018
ðŸ™â¤ï¸ðŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote
Elizabeth Mtei (Guest) on December 22, 2017
ðŸ™âœ¨ Mungu asikie maombi yetu
Faith Kariuki (Guest) on November 2, 2017
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Benjamin Masanja (Guest) on August 8, 2017
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Fredrick Mutiso (Guest) on June 12, 2017
Katika imani, yote yanawezekana
John Malisa (Guest) on April 1, 2017
ðŸ™â¤ï¸ Mungu ni mwaminifu
Robert Okello (Guest) on March 30, 2017
ðŸ™ðŸŒŸâ¤ï¸ Nakuombea heri
Faith Kariuki (Guest) on March 25, 2017
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
John Lissu (Guest) on February 20, 2017
ðŸ™ðŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie
Joy Wacera (Guest) on January 15, 2017
ðŸ™âœ¨ Mungu atupe nguvu
Moses Kipkemboi (Guest) on November 27, 2016
ðŸ™â¤ï¸ðŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe
Robert Ndunguru (Guest) on November 22, 2016
ðŸ™â¤ï¸ Mungu akubariki
Edward Lowassa (Guest) on November 1, 2016
ðŸ™â¤ï¸âœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Alice Mrema (Guest) on September 24, 2016
Baraka kwako na familia yako.
Mary Njeri (Guest) on August 22, 2016
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Frank Sokoine (Guest) on August 22, 2016
ðŸ™âœ¨â¤ï¸ Tumwombe Mungu kila siku
Rose Lowassa (Guest) on June 29, 2016
Sifa kwa Bwana!
Mary Kendi (Guest) on June 23, 2016
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Joy Wacera (Guest) on March 15, 2016
ðŸ™ðŸ™ðŸ™
Betty Cheruiyot (Guest) on March 11, 2016
ðŸ™ðŸ’– Asante kwa neema zako Mungu
Susan Wangari (Guest) on March 10, 2016
ðŸ™âœ¨ðŸ’– Mungu atajibu maombi yako
Paul Kamau (Guest) on February 28, 2016
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Elizabeth Mrema (Guest) on October 21, 2015
ðŸ™ðŸŒŸ Mbarikiwe sana
Elizabeth Mrope (Guest) on August 12, 2015
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Grace Mligo (Guest) on April 26, 2015
ðŸ™ðŸ’– Nakushukuru Mungu