Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0632ef1c888149a8ebe907b6c03bd913, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA
Date: May 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia kipato chao na kulisha familia zao.
Wewe u Msimamizi wa wafanyakazi, tujalie kwamba pasiwepo kati yetu mtu asiye na ajira, na kwamba wale wote ambao wako tayari kufanya kazi waweze kuelekeza nguvu zao na uwezo wao katika kuwatumikia wanadamu wenzao na kujipatia kipato halali.
Wewe u Msimamizi wa familia, usiwaache wale wenye watoto wa kuwatunza na kuwalea wakose namna ya kufanya hivyo. Uwahurumie ndugu zetu waliokosa ajira na kugubikwa na umasikini kwa sababu ya magonjwa au mipango mibaya ya kijamii. Wasaidie viongozi wetu wa kisiasa na walioshika usukani katika nyanja mbalimbali za kiuzalishaji wavumbue suluhu mpya na za haki za jambo hili. Utujalie ili kila mmoja wetu apate kujipatia kipato halali na kufurahia fursa ya kushiriki kadri ya uwezo wake, katika maisha bora zaidi kwa wote. Utujalie ili wote tushiriki pamoja katika raslimali alizotujalia Mungu, na pia utujalie tuwe tayari daima kuwasaidia wale walio wahitaji kuliko sisi.
Amina.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_859efd090355f75be3a687f9957a4540, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo...
Read More
1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA
2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI...
Read More
Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun...
Read More
Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik...
Read More
Kwa jina la Babaβ¦..
Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu.
Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M...
Read More
SALA YA ASUBUHI
Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,...
Read More
Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n...
Read More
Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni...
Read More
βββ
Sala ya saa tisaππΎ
Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu....
Read More
MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_09a093da9b30950dbd4bf86f6021e31f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line
3
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line
3
Elijah Mutua (Guest) on February 4, 2017
Neema ya Mungu inatosha kwako
Ruth Mtangi (Guest) on January 8, 2017
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Nancy Akumu (Guest) on December 20, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Agnes Njeri (Guest) on December 9, 2016
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Alice Jebet (Guest) on November 11, 2016
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Dorothy Nkya (Guest) on October 14, 2016
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Agnes Lowassa (Guest) on September 12, 2016
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Muslima (Guest) on July 14, 2016
πππ
Janet Mbithe (Guest) on July 11, 2016
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Hellen Nduta (Guest) on May 21, 2016
ππ Neema za Mungu zisikose
Jackson Makori (Guest) on April 24, 2016
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 18, 2016
Neema na amani iwe nawe.
Francis Njeru (Guest) on February 14, 2016
πβ€οΈ Mungu akubariki
Christopher Oloo (Guest) on January 25, 2016
ππ Mungu akujalie amani
Andrew Mchome (Guest) on November 16, 2015
Mwamini Bwana; anajua njia
Ann Awino (Guest) on September 30, 2015
πβ¨ Mungu atupe nguvu
David Musyoka (Guest) on September 2, 2015
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Carol Nyakio (Guest) on July 6, 2015
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Isaac Kiptoo (Guest) on July 5, 2015
Rehema hushinda hukumu
Rose Waithera (Guest) on June 23, 2015
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Robert Ndunguru (Guest) on June 12, 2015
Tumaini ni nanga ya roho
Emily Chepngeno (Guest) on June 4, 2015
Sifa kwa Bwana!
Edwin Ndambuki (Guest) on April 28, 2015
Imani inaweza kusogeza milima