Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b4206753e81a8afadb95547bf0e972ea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)
Date: January 17, 2017
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchumba wako Mtakatifu, tunaomba pia kwa matumaini usimamizi wako. Kwa ajili ya mapendo uliyompenda Bikira Mtakatifu Mzazi wa Mungu, na kwa ajili ya kumtunza Mtoto Yesu, twakuomba sana, utuangalie kwa wema sie tuliokuwa fungu lake Yesu Kristu, tukakombolewa kwa damu yake. Tusimamie katika masumbuko yetu kwa enzi na shime yako.
Ee Mlinzi amini wa jamaa takatifu, uwakinge watoto wateule wa Yesu Kristu.
Ee Baba uliyetupenda mno tuepushe na kilema chochote cha madanganyo na upotevu. Ee kinga yetu mwezaji, utusimamie huko juu mbinguni ulipo, tunaposhindana na wenye nguvu wakaao gizani. Kama vile siku za kale ukamwopoa Mtoto Yesu katika hatari ya kuuawa, na leo hivi likinge Kanisa Takatifu la Mungu katika mitego ya adui, na katika shida yote; mtunze daima kila mmoja wetu, tufwate mfano wako, ili tupate na msaada wako, kukaa na utakatifu maisha, kufa kifo chema, na kupata mbinguni makao ya raha milele.
Amina.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b4206753e81a8afadb95547bf0e972ea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate...
Read More
Mungu wangu,
nakupenda zaidi ya cho chote,
kwani ndiwe mwema,
ndiwe mwenye kupe...
Read More
Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun...
Read More
Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ...
Read More
1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA
2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI...
Read More
Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.
Kwenye Msalaba Sali:
...
Read More
Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria...
Read More
Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo...
Read More
Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M...
Read More
1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More
Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y...
Read More
Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ...
Read More
Diana Mallya (Guest) on December 2, 2017
Amina
Victor Mwalimu (Guest) on November 9, 2017
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
George Wanjala (Guest) on July 10, 2017
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Grace Majaliwa (Guest) on April 28, 2017
🙏❤️ Mungu ni mlinzi wetu
Stephen Amollo (Guest) on April 1, 2017
🙏✨ Mungu asikie maombi yetu
Chris Okello (Guest) on March 18, 2017
Baraka kwako na familia yako.
Victor Kimario (Guest) on March 11, 2017
🙏🌟 Mungu akujalie amani
Joseph Kitine (Guest) on March 7, 2017
🙏🌟 Neema za Mungu zisikose
David Kawawa (Guest) on February 23, 2017
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Paul Kamau (Guest) on February 9, 2017
🙏🙏🙏
Mary Njeri (Guest) on January 26, 2017
🙏❤️ Mungu akubariki
Daniel Obura (Guest) on October 22, 2016
🙏💖 Nakushukuru Mungu
Michael Mboya (Guest) on October 8, 2016
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Anna Malela (Guest) on July 23, 2016
🙏✨❤️ Tumwombe Mungu kila siku
Alex Nakitare (Guest) on July 3, 2016
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Fredrick Mutiso (Guest) on July 1, 2016
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Alex Nyamweya (Guest) on January 21, 2016
🙏🌟 Mbarikiwe sana
Janet Sumaye (Guest) on December 28, 2015
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Lucy Wangui (Guest) on August 7, 2015
🙏✨ Mungu atupe nguvu
Sarah Achieng (Guest) on July 20, 2015
🙏❤️💖 Bwana akujalie baraka
Elizabeth Mrema (Guest) on July 9, 2015
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Mary Sokoine (Guest) on June 18, 2015
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Ruth Wanjiku (Guest) on May 19, 2015
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Ann Wambui (Guest) on May 3, 2015
🙏✨❤️ Neema za Mungu zikufunike