Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_pnj6tk182nk6esgvf8s12dlj3v, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI
Date: December 19, 2015
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yesu./ Jina la yule msaliti aliyemwuza Yesu/ limewafanya wengi wakusahau./ Walakini Kanisa zima linakuheshimu/ na kukuomba kama Msaidizi katika mashaka makubwa,/ na katika mambo yasiyo na matumaini tena./
Uniombee mimi mnyonge./ Ninaomba utumie uwezo ule uliojaliwa/ wa kuleta upesi msaada kwa watu walioukosa./ Unisaidie sasa katika mahitaji yangu,/ ili nipate kitulizo na msaada wa mbinguni/ katika lazima zangu,/ masumbuko na mateso,/ hasa/ (taja shida yako)./ Pia ili niweze kumsifu Mungu nawe na wateule wote milele./
Mtakatifu Yuda Tadei,/ utuombee,/ na uwaombee watu wote wanaokuheshimu na kukuomba msaada./
Moyo Mtakatifu wa Yesu,/ Rafiki mpenzi wa Yuda Tadei,/ nakutumainia./
(Mwisho Sali: Baba yetu (x3), Salamu Maria (x3) na Atukuzwe(x3).
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_pnj6tk182nk6esgvf8s12dlj3v, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T...
Read More
Kwa jina la Baba…..
Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu.
Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M...
Read More
1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA
2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI...
Read More
Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga...
Read More
Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria...
Read More
Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y...
Read More
(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na...
Read More
(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za...
Read More
Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ...
Read More
Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh...
Read More
Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum...
Read More
Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka...
Read More
Victor Mwalimu (Guest) on July 13, 2017
Neema ya Mungu inatosha kwako
Anthony Kariuki (Guest) on June 30, 2017
🙏🌟 Mungu akujalie amani
Daniel Obura (Guest) on June 6, 2017
Tumaini ni nanga ya roho
Esther Nyambura (Guest) on May 16, 2017
Baraka kwako na familia yako.
Joyce Mussa (Guest) on January 11, 2017
🙏❤️✨ Asante Mungu kwa kila kitu
Esther Nyambura (Guest) on December 4, 2016
🙏🙏🙏
Paul Kamau (Guest) on October 5, 2016
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Josephine Nekesa (Guest) on October 3, 2016
🙏💖🙏 Mungu akufunike na upendo
Catherine Naliaka (Guest) on September 16, 2016
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Thomas Mtaki (Guest) on September 6, 2016
🙏❤️ Mungu ni mkombozi
Joyce Nkya (Guest) on June 17, 2016
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Sarah Mbise (Guest) on June 1, 2016
🙏💖 Mungu wetu asifiwe
John Kamande (Guest) on April 19, 2016
Imani inaweza kusogeza milima
Peter Mbise (Guest) on April 6, 2016
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Anna Kibwana (Guest) on February 25, 2016
🙏❤️ Mungu akubariki
Carol Nyakio (Guest) on February 16, 2016
Rehema hushinda hukumu
James Mduma (Guest) on February 10, 2016
Nguvu hutoka kwa Bwana
Grace Wairimu (Guest) on December 17, 2015
Mungu ni mwema, wakati wote!
Rose Amukowa (Guest) on November 27, 2015
Mwamini Bwana; anajua njia
Francis Njeru (Guest) on July 27, 2015
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Andrew Mchome (Guest) on July 18, 2015
🙏💖 Nakusihi Mungu
Philip Nyaga (Guest) on June 21, 2015
Endelea kuwa na imani!
Kenneth Murithi (Guest) on April 19, 2015
Rehema zake hudumu milele