Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_000bcf2a292d36b97b91adbf04c8c703, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_000bcf2a292d36b97b91adbf04c8c703, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_000bcf2a292d36b97b91adbf04c8c703, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_000bcf2a292d36b97b91adbf04c8c703, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_000bcf2a292d36b97b91adbf04c8c703, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina.

Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa.

Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.

Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.

Wakaingia msituni kila mtu njia yake.

… Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa.

Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini… alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa.

Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, β€œVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?”

Mkenya akamjibu: β€œMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!”
AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_000bcf2a292d36b97b91adbf04c8c703, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Zuhura (Guest) on September 2, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Monica Nyalandu (Guest) on August 19, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Joyce Mussa (Guest) on August 6, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on July 31, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on July 29, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Josephine (Guest) on July 24, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Abdullah (Guest) on July 18, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Nuru (Guest) on July 8, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Rose Lowassa (Guest) on June 23, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on June 16, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Mrema (Guest) on June 14, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Mary Njeri (Guest) on June 3, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

David Nyerere (Guest) on May 28, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 2, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Andrew Odhiambo (Guest) on April 27, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Hassan (Guest) on April 11, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Francis Njeru (Guest) on April 11, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Sharifa (Guest) on March 26, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Joyce Aoko (Guest) on March 24, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on March 8, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Victor Mwalimu (Guest) on March 6, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Victor Kimario (Guest) on March 1, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on February 28, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Rose Waithera (Guest) on February 20, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on February 13, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Abdullah (Guest) on February 13, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Sumaye (Guest) on February 4, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on January 28, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Zawadi (Guest) on January 23, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Richard Mulwa (Guest) on January 14, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Khatib (Guest) on January 2, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 1, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Lucy Mushi (Guest) on December 15, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Salum (Guest) on December 11, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Fadhili (Guest) on November 6, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

George Mallya (Guest) on October 10, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on September 22, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Lucy Wangui (Guest) on September 9, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on August 16, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on August 4, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Ali (Guest) on July 21, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Alice Wanjiru (Guest) on July 17, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on June 15, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on June 10, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Christopher Oloo (Guest) on May 23, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Edward Lowassa (Guest) on May 14, 2020

Asante Ackyshine

Agnes Njeri (Guest) on April 18, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Esther Cheruiyot (Guest) on April 16, 2020

😊🀣πŸ”₯

Joyce Mussa (Guest) on April 12, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on March 20, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Patrick Akech (Guest) on March 7, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Yusuf (Guest) on February 21, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwanais (Guest) on February 16, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Agnes Njeri (Guest) on January 5, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Bernard Oduor (Guest) on January 2, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on December 27, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Zuhura (Guest) on December 26, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ndoto (Guest) on December 22, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Elizabeth Malima (Guest) on December 20, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on November 27, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Related Posts

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_000bcf2a292d36b97b91adbf04c8c703, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3