Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c33cd3e99e81988ae9e684c55379cb4e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c33cd3e99e81988ae9e684c55379cb4e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c33cd3e99e81988ae9e684c55379cb4e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c33cd3e99e81988ae9e684c55379cb4e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c33cd3e99e81988ae9e684c55379cb4e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue. Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika. Ilikua ni bahati tu alimvizia na kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit,
boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali. Siku hiyo Bakari alikua jikoni,boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss:- Bakariiii!
Bakari:- Naam baba!
Boss:- Nani anakunywa wine yangu?

Bakari:- Kimyaaaa hajibu kitu! Boss:- Bakariiiii !
Bakari:- naam baba! Boss:- nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari:- kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: Baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: Naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss:- kimyaaaa!
Bakari:- Baba babaa!
Boss:- Ndio Bakari!
Bakari:- Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss:- kimyaaaaaaa!

Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!.
Mama akasema msinizingue nyie…Mbona siwaelewi..
Bakar: mama kama uamini na ww nenda uone.

Mama akaenda jikoni..
Bakari: akaita mamaa
Mama : bee bakari
Bakari: eti hiyo mimba niya baba au yangu.?
Mama kimya
Bakari; mama nakauliza tena hiyo mimba niyababa au yangu.

Mama akatoka aisee kweli humu unasikia jina tu…..πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c33cd3e99e81988ae9e684c55379cb4e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mustafa (Guest) on September 26, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

John Kamande (Guest) on September 22, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on September 20, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on September 12, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on September 6, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on August 29, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on August 22, 2021

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Shabani (Guest) on August 21, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Edward Lowassa (Guest) on August 1, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Halimah (Guest) on July 9, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

James Kawawa (Guest) on July 3, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on July 2, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Benjamin Masanja (Guest) on June 25, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Makame (Guest) on May 9, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nancy Kawawa (Guest) on April 17, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on April 4, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Joyce Nkya (Guest) on March 11, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 21, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on February 6, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on January 25, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Sarah Mbise (Guest) on December 17, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Kahina (Guest) on December 14, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Jabir (Guest) on December 3, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 29, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Irene Makena (Guest) on November 13, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Azima (Guest) on October 18, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Christopher Oloo (Guest) on October 17, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Aziza (Guest) on October 2, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Fredrick Mutiso (Guest) on September 27, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on August 30, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on August 22, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Sarah Achieng (Guest) on August 8, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 6, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

John Mwangi (Guest) on August 4, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Michael Onyango (Guest) on July 28, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Patrick Kidata (Guest) on July 3, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Asha (Guest) on June 20, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Mary Kendi (Guest) on June 6, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on May 20, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Husna (Guest) on May 18, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Sultan (Guest) on May 12, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Mariam Kawawa (Guest) on May 9, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

James Kimani (Guest) on May 5, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on May 3, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Selemani (Guest) on April 10, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on March 16, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on March 7, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Elizabeth Mrope (Guest) on March 4, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nchi (Guest) on February 6, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Salima (Guest) on January 31, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Elizabeth Mrema (Guest) on January 21, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on January 18, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Betty Akinyi (Guest) on December 22, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Agnes Lowassa (Guest) on October 25, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on October 1, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Margaret Mahiga (Guest) on August 25, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Ann Wambui (Guest) on August 11, 2019

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on July 25, 2019

Asante Ackyshine

Andrew Odhiambo (Guest) on July 19, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 13, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Related Posts

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c33cd3e99e81988ae9e684c55379cb4e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3