Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_cli2avtjtp4spb6538cg1sdls8, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_cli2avtjtp4spb6538cg1sdls8, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_cli2avtjtp4spb6538cg1sdls8, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_cli2avtjtp4spb6538cg1sdls8, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_cli2avtjtp4spb6538cg1sdls8, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Featured Image

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia]
1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi?
2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwako…



2.Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?


3.Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.


4.Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA:

WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake

WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform

WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi

WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja!

WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*#, m*$$ yaja


5.Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"


6.Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa……!


7.Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"


8.Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi… Wamefunga duka?


9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"


10.Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_cli2avtjtp4spb6538cg1sdls8, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lucy Mahiga (Guest) on May 21, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂😆

Joseph Kiwanga (Guest) on April 15, 2019

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Neema (Guest) on April 13, 2019

😆 Bado nacheka, siwezi kuacha!

Grace Njuguna (Guest) on March 10, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🤣😊

Grace Majaliwa (Guest) on February 21, 2019

😅😂👌😊

Esther Nyambura (Guest) on February 4, 2019

Hii ni ya kufurahisha! 😄😅

Janet Sumari (Guest) on January 22, 2019

😄 Kichekesho kamili!

Mary Sokoine (Guest) on December 3, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ðŸ‘😂

James Kimani (Guest) on November 30, 2018

🤣😭😆

Betty Cheruiyot (Guest) on November 10, 2018

Hii imenichekesha sana! 🤣😆

Kahina (Guest) on October 23, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! ☕😆

Amina (Guest) on October 7, 2018

😄 Umenishika vizuri!

Miriam Mchome (Guest) on October 2, 2018

😂 Hii ni ya kuhifadhi!

George Ndungu (Guest) on September 28, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Shamim (Guest) on September 26, 2018

😆 Hii imenigonga kweli!

Mchuma (Guest) on September 23, 2018

😂 Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mary Mrope (Guest) on September 22, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😅😊

Sofia (Guest) on September 22, 2018

🤣 Nalia kwa kicheko kweli!

Zakaria (Guest) on September 19, 2018

😂 Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Frank Sokoine (Guest) on September 12, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! 😄😅

Khamis (Guest) on August 28, 2018

🤣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Alice Jebet (Guest) on August 26, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🤣🔥

Samson Mahiga (Guest) on August 26, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🤣🤣

Maida (Guest) on August 3, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! 😃

Mashaka (Guest) on August 2, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! 😂

Nchi (Guest) on July 11, 2018

🤣 Kichekesho bora kabisa!

Martin Otieno (Guest) on June 22, 2018

😂 Siwezi kuacha kucheka!

David Sokoine (Guest) on June 10, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! 😂😂

David Nyerere (Guest) on May 31, 2018

😂ðŸ‘😅🤣

Joseph Kawawa (Guest) on May 25, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂

Paul Ndomba (Guest) on April 28, 2018

🤣 Ujuzi wa hali ya juu!

Margaret Mahiga (Guest) on April 7, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😊😅

Aziza (Guest) on March 22, 2018

😆 Ninaihifadhi kwa baadaye!

Kahina (Guest) on March 14, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! 😆

Agnes Lowassa (Guest) on March 13, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! 😂ðŸ‘

Fredrick Mutiso (Guest) on March 7, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 🤣😆

Patrick Mutua (Guest) on March 1, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! ðŸ‘😂

Lucy Mushi (Guest) on February 22, 2018

😆ðŸ‘😂😄

Anna Mchome (Guest) on February 10, 2018

🤣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Kijakazi (Guest) on February 3, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! 😆

Nancy Kabura (Guest) on January 21, 2018

Hii imenichekesha sana! 😄😂

Hellen Nduta (Guest) on January 13, 2018

😆😂😊

Miriam Mchome (Guest) on January 4, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣

Francis Mtangi (Guest) on January 4, 2018

😠Hii ni dhahabu!

Fredrick Mutiso (Guest) on December 28, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ðŸ‘😆

Sharon Kibiru (Guest) on December 18, 2017

Hii ni joke ya kipekee! 🤣👌

Sarah Mbise (Guest) on December 9, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! ðŸ˜

Mary Kidata (Guest) on December 9, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! 😆😊

Patrick Akech (Guest) on October 26, 2017

😆 Naihifadhi hii!

Baridi (Guest) on October 9, 2017

Asante Ackyshine

Zulekha (Guest) on August 1, 2017

😂 Siwezi kuacha kucheka!

Joseph Njoroge (Guest) on July 26, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 15, 2017

Hii imenibamba sana! 😂😅

Zuhura (Guest) on July 2, 2017

😠Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

James Malima (Guest) on June 29, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! 😊😂

Grace Mligo (Guest) on June 23, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! ðŸ‘😆

Miriam Mchome (Guest) on June 17, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ðŸ‘🤣

Mjaka (Guest) on June 6, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉

Stephen Kangethe (Guest) on May 31, 2017

Hii imenifurahisha kweli! 😆😂

Alex Nyamweya (Guest) on May 24, 2017

😃 Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Related Posts

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtu 😂😂😂😂😂😂🙌ðŸ... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_cli2avtjtp4spb6538cg1sdls8, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
📘 About 🔒 Login 📠Register 📞 Contact