Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c7b8b66f39da1baa2a5d644a79d88cc3, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c7b8b66f39da1baa2a5d644a79d88cc3, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c7b8b66f39da1baa2a5d644a79d88cc3, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c7b8b66f39da1baa2a5d644a79d88cc3, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c7b8b66f39da1baa2a5d644a79d88cc3, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Tabia za Kimama kwa wanaume

Featured Image

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..😂

2, mwanaume kupiga picha umeng'ata Lips na Unapiga na Camera Beauty Plus huo ni UMAMA..😂

3, Mwanaume kuangalia tamthilia na Jamai Raja na Maigizo kwenye chanel ya sinema zetu wakati mechi za kombe la dunia zinaendelea, pia nawe ni MMAMAA…😂😂

4, Mwanaume kuandika 'Jomon' badala ya Jamani, kuandika 'Pw' badala ya Poa, kuandika 'Thatha' badala ya Sasa, kumwandikia mwanaume mwenzio 'Mambo my' Huu ni UDADA, tena UDADA wa CHUO..😂
.
5, Mwanaume kunywa soda au Juice na kubakisha, kununua chakula halafu unakibakisha, kubagua bagua chakula na kujamba hovyo hovyo baada ya kushiba, huo nao ni UMAMAA..😂
.
6, Mwanaume kumuuliza mwanaume mwenzio anapata faida gani kuangalia Mpira, pia nawe ni MMAMA…
.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c7b8b66f39da1baa2a5d644a79d88cc3, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Hassan (Guest) on March 18, 2020

😂 Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Sharifa (Guest) on March 14, 2020

😄 Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Raha (Guest) on January 30, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Daniel Obura (Guest) on January 26, 2020

😄 Umeimaliza kabisa!

Raha (Guest) on January 16, 2020

😆 Naihifadhi hii!

Ann Awino (Guest) on December 13, 2019

😆 Nacheka hadi chini sasa hivi!

Stephen Amollo (Guest) on November 24, 2019

😂😅

Jacob Kiplangat (Guest) on November 15, 2019

Nimefurahia sana hii joke! 😅😂

Joyce Mussa (Guest) on November 10, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Isaac Kiptoo (Guest) on November 7, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! 😆😂

Nyota (Guest) on September 1, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! 😅

Nancy Kabura (Guest) on September 1, 2019

😊🤣🔥

Peter Mbise (Guest) on August 16, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! 🤔😆

Anna Kibwana (Guest) on August 4, 2019

😂👌

David Kawawa (Guest) on July 19, 2019

😂😂🤣

David Ochieng (Guest) on July 16, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! 😊😂

Zawadi (Guest) on June 30, 2019

🤣 Ujuzi wa hali ya juu!

Abubakar (Guest) on June 19, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Miriam Mchome (Guest) on June 17, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 😂🤣

Tambwe (Guest) on May 16, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! 😄

Andrew Odhiambo (Guest) on April 25, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! 😂😅

Raphael Okoth (Guest) on April 22, 2019

😂😂

Nora Kidata (Guest) on April 5, 2019

🤣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Dorothy Nkya (Guest) on March 31, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Edith Cherotich (Guest) on March 29, 2019

Hii imenifurahisha sana! 😊😅

Esther Nyambura (Guest) on March 24, 2019

😂👏😅🤣

Hamida (Guest) on March 23, 2019

😆 Bado nacheka, siwezi kuacha!

Christopher Oloo (Guest) on February 15, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🤣

George Wanjala (Guest) on February 12, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😅

James Mduma (Guest) on February 10, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! 😂🤣

Khalifa (Guest) on February 5, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! 😄

Emily Chepngeno (Guest) on February 2, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! 📌

Josephine Nduta (Guest) on January 14, 2019

Hii imenifurahisha kweli! 😆😂

Ali (Guest) on January 10, 2019

🤣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

James Kawawa (Guest) on December 12, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma 😂😂

Janet Sumaye (Guest) on December 2, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! 😂

Hellen Nduta (Guest) on November 22, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🤣🤣

Mhina (Guest) on November 9, 2018

😆 Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kidata (Guest) on October 23, 2018

😂 Nalia kwa kweli hapa!

Abdillah (Guest) on October 13, 2018

🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Bernard Oduor (Guest) on September 1, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! 🤣😆

Victor Sokoine (Guest) on August 22, 2018

😂 Nacheka hadi nalia!

Catherine Mkumbo (Guest) on August 11, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! 😊👏

Mary Kidata (Guest) on July 26, 2018

Hii imenichekesha sana! 🤣😆

Samuel Omondi (Guest) on July 1, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! 😂👏

Robert Ndunguru (Guest) on April 20, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! 👏😆

Grace Mushi (Guest) on April 10, 2018

😆 Naihifadhi hii!

Francis Njeru (Guest) on March 24, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏😆

Hekima (Guest) on January 22, 2018

🤣 Ninaituma sasa hivi!

Alice Mrema (Guest) on January 8, 2018

Umesema kweli! 👌😂

Catherine Mkumbo (Guest) on January 4, 2018

👏🤣😆😂

Daniel Obura (Guest) on December 28, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆

Joseph Njoroge (Guest) on November 28, 2017

😆 Kali sana!

Violet Mumo (Guest) on November 15, 2017

😂🤣😆

Peter Otieno (Guest) on October 21, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! ☕😆

Francis Mtangi (Guest) on October 4, 2017

😆😅😂

Safiya (Guest) on October 4, 2017

🤣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 19, 2017

😂🤣

Monica Lissu (Guest) on August 14, 2017

🤣🤣😄😆

Ruth Mtangi (Guest) on August 9, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! 😄😆

Related Posts

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?💞

Wanawake hii nayo ni romantic ?💞

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.👉 Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c7b8b66f39da1baa2a5d644a79d88cc3, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3