Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_o1totprahib3jev1k5juhgt3ao, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_o1totprahib3jev1k5juhgt3ao, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_o1totprahib3jev1k5juhgt3ao, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_o1totprahib3jev1k5juhgt3ao, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_o1totprahib3jev1k5juhgt3ao, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi.





Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
Wakati mdada alipokaribia Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana alijifanya yupo busy na kuongea na simu ya umuhimu.
Wakati anaongea na simu akisikika akisema No, No, No….. Absolutely No. Wajuulishe hao lay person wa New York kua siwezi kushuhulika na kesi ambayo itanilipa chini ya 50 million. Mimi ni profesional lawyer and im crossing the border to sarve international community.





Aka pose kidogo na akanywa maji kisha akaendelea…..
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next weak but tell them watume kwanza ten million kwa kuanza…
Hahahahaha you dont know my Account
Mr Roger. Ok waambie watume kwenye Account ileile walionitumia million 100 last month…





Aka pose tena akameza fundo la maji na kurekebisha tai yake kisha akaendelea… Ok usisahau kumueleza muendesha mashtaka mkuu wa marekani kua nitakuja New York mwezi ujao maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu mholanzi kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza.





Wakati anaongea hayo yote yule mdada alikua ametulia na anamuangalia Bwana Rwegashora anavyojizunguusha kwenye
kiti chake huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.
Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu yake ya TTCL chini kisha akamgeukia mdada mrembo.





Samahan sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana ninapokea simu sana mpaka nimechoka na simu nyingi ni za wateja wa njee ya nchi.





Anyway nikusaidie nn? Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopita…!!!





Unadhani Bwana Rwegashora alifanyaje…???


AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_o1totprahib3jev1k5juhgt3ao, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

John Lissu (Guest) on February 16, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Joyce Mussa (Guest) on January 26, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Linda Karimi (Guest) on January 19, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on December 16, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Peter Otieno (Guest) on December 13, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Tabitha Okumu (Guest) on November 29, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on November 15, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

George Ndungu (Guest) on November 9, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Samuel Omondi (Guest) on October 27, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mary Kidata (Guest) on October 19, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on October 12, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Elizabeth Mtei (Guest) on October 10, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mohamed (Guest) on September 16, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Ruth Mtangi (Guest) on September 1, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Rose Mwinuka (Guest) on August 25, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Ann Wambui (Guest) on August 10, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on August 9, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

David Nyerere (Guest) on July 23, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on July 20, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on June 25, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on June 15, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on June 12, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Frank Sokoine (Guest) on May 5, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Elizabeth Mtei (Guest) on April 26, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

James Mduma (Guest) on April 19, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Hassan (Guest) on March 10, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Alex Nakitare (Guest) on March 8, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Sarah Karani (Guest) on March 7, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on February 28, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Francis Mrope (Guest) on January 30, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Zakia (Guest) on January 22, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Rahim (Guest) on January 5, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Dorothy Nkya (Guest) on December 24, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Philip Nyaga (Guest) on December 18, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Ochieng (Guest) on December 17, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kidata (Guest) on November 13, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on November 1, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on October 20, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Jacob Kiplangat (Guest) on October 3, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on September 11, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Victor Mwalimu (Guest) on August 31, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on August 22, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Wairimu (Guest) on August 19, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

George Wanjala (Guest) on August 6, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on June 23, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Jane Malecela (Guest) on June 15, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Charles Mchome (Guest) on June 6, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Raphael Okoth (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Alice Wanjiru (Guest) on March 21, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Robert Okello (Guest) on March 18, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Farida (Guest) on March 18, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Margaret Anyango (Guest) on March 17, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lucy Mushi (Guest) on March 17, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Carol Nyakio (Guest) on February 13, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on February 7, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joseph Kitine (Guest) on February 2, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on January 4, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Alice Mrema (Guest) on December 26, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on December 10, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Related Posts

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_o1totprahib3jev1k5juhgt3ao, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3