Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f22a3e20510a50b008fa6fc7d464a1fc, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f22a3e20510a50b008fa6fc7d464a1fc, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f22a3e20510a50b008fa6fc7d464a1fc, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f22a3e20510a50b008fa6fc7d464a1fc, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f22a3e20510a50b008fa6fc7d464a1fc, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Hali za ndoa

Featured Image
Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake
anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke,
mkewe akakataa, akamwambia baba yake
akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa
zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa
babaake, mwisho babaake akamwambia basi
ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi
hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu!

Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha
kikao cha ndugu wote pande 2,
Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu
anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital
zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga
wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa
atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye
ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu
alipoolewa ndo kijana wetu atapona!
Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii
kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote!
Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje
wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake
mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana,
mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia
wanaume peke yao! Mzee akamwambia
mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo?
Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani
umejionea hali halisi.
Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako!
Kijana akazimia!
SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f22a3e20510a50b008fa6fc7d464a1fc, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joy Wacera (Guest) on May 25, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Janet Mbithe (Guest) on May 18, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Wilson Ombati (Guest) on March 13, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on February 20, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mariam Kawawa (Guest) on January 4, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on December 17, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Martin Otieno (Guest) on December 5, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on November 7, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Betty Cheruiyot (Guest) on October 20, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on September 6, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Omar (Guest) on August 22, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Jacob Kiplangat (Guest) on August 19, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

John Mushi (Guest) on August 13, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on July 27, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Peter Mwambui (Guest) on July 11, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on July 5, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Rose Lowassa (Guest) on June 29, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 22, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Fikiri (Guest) on June 18, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Mwalimu (Guest) on June 10, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on April 16, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mary Kendi (Guest) on January 27, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Kevin Maina (Guest) on January 17, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 10, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Francis Mtangi (Guest) on January 5, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on December 2, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mwanaisha (Guest) on November 18, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

John Lissu (Guest) on November 12, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Jabir (Guest) on September 25, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Ruth Wanjiku (Guest) on September 24, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Janet Mbithe (Guest) on September 13, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Emily Chepngeno (Guest) on August 9, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Grace Mligo (Guest) on August 6, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on August 5, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nancy Akumu (Guest) on August 4, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Janet Wambura (Guest) on July 6, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Halimah (Guest) on May 31, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nyota (Guest) on May 18, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on May 5, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Patrick Akech (Guest) on April 27, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on April 20, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Maida (Guest) on April 20, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on April 17, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on April 13, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on March 15, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on February 13, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Mwanakhamis (Guest) on February 7, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anthony Kariuki (Guest) on January 19, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 8, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Grace Njuguna (Guest) on January 2, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Yahya (Guest) on December 31, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

Patrick Kidata (Guest) on November 28, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Tabitha Okumu (Guest) on November 8, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on November 5, 2017

Asante Ackyshine

Lydia Mahiga (Guest) on November 5, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on October 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on September 25, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on September 10, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Binti (Guest) on September 1, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Jaffar (Guest) on August 31, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Related Posts

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f22a3e20510a50b008fa6fc7d464a1fc, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact