Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a400edf82cf9d86d904054547f309e0a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a400edf82cf9d86d904054547f309e0a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a400edf82cf9d86d904054547f309e0a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a400edf82cf9d86d904054547f309e0a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a400edf82cf9d86d904054547f309e0a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Featured Image

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..


Kwa wanywaji wazuri wa bia,

chupa ya kwanza 🍺 huwa haileti hisia yoyote. Mnywaji humaliza chupa hiyo bila kuona matokeo yoyote zaidi ya kupoza koo… Na mara nyingi huwa mkimya, pengine huwa anasoma gazeti lake au kwa siku hizi anawasiliana na ndugu na jamaa kupitia simu yake.

chupa ya pili 🍺🍺 kimsingi ndipo mazungumzo ya awali na wanywaji jirani huanza na haya huwa mazungumzo ya busara, yakihusu muelekeo wa ligi mbalimbali, siasa, idadi za ajali na kadhalika na wakati huu hata takwimu hutolewa zilizo sahihi….

Mtu anaweza kukutajia wachezaji wote wa ligi daraja la tatu la huko Ujerumani bila kukosea, hata idadi ya wachezaji wa Yanga bila kukosea.. Ila wakati huu kama unaanzisha mashindano ya kucheua ni wakati mzuri kwani bia ya pili huongeza hisia za kucheua.

Bia ya tatu 🍺🍺🍺 huanza kumfanya mnywaji aanze kusikia furaha na pia huu huwa wakati ambapo karanga na korosho huliwa sana…. Pamoja na mazungumzo kuhusu mpira na siasa, ghafla mazungumzo kuhusu michepuko huanza kujitokeza…..

Bia ya nne 🍺🍺🍺🍺 huanza kusababisha masikio yaanze kupoteza nguvu za kusikia kwani utaona mnywaji ghafla amepandisha sauti, na ukijumlisha na kuwa baa zetu huwa na muziki una kelele utadhani waliopo wote wana matatizo ya kusikia….. bia hii humsaidia kuongea kwa nguvu kushindana na kelele za muziki.

Bia ya tano 🍺🍺🍺🍺🍺 ni hatari kidogo kwani ukiinuka kwenda chooni mara nyingi unarudi hujafunga zipu……na kipindi hiki ni kibaya kwa wanywaji wa kike maana unaweza kumkuta akienda chooni akijiangalia kwenye kioo anaanza kulia peke yake na kulalamika; β€˜Mi sipendwi mpaka leo sijaolewa’ au β€˜ Mume wangu sijui yukoje hanijali’

Japokuwa lazima isemwe ukweli ukifikisha bia hii, maisha ni raha sana unaweza ukaanzisha shoo ya kukata mauno katikati ya baa na kudai wewe ni mkali kuliko Shilole.

Kuanzia bia ya sita 🍺🍺🍺🍺🍺🍺 na kuendelea, chochote utakachosema au kufanya ni wazi kesho yake asubuhi utajilaumu sana. ……. …Kuna watu husema ukilewa ndipo unakuwa mkweli, hivyo basi wakati huu hata bosi wako akitokeza unamueleza ukweli jinsi alivyo fala na hajui kuendesha kampuni.

Au unasema ukweli jinsi unavyompenda mke wa jirani yako ambaye mmekaa mnakunywa naye. Kimsingi uwezekano wa kutapika pia upo karibu na kama umekaa na mchumba wako huu ni muda ambao pia uchumba unaweza kuvunjika…….
AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a400edf82cf9d86d904054547f309e0a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rahim (Guest) on December 6, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Sarah Achieng (Guest) on October 30, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

George Tenga (Guest) on October 18, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

George Tenga (Guest) on September 19, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on September 19, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on September 16, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Agnes Njeri (Guest) on September 15, 2019

😊🀣πŸ”₯

David Sokoine (Guest) on September 5, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on August 28, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Anna Kibwana (Guest) on August 19, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

James Mduma (Guest) on June 13, 2019

🀣πŸ”₯😊

Francis Njeru (Guest) on May 28, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Juma (Guest) on May 16, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Jacob Kiplangat (Guest) on May 4, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on April 25, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on April 20, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on March 28, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on March 24, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Raphael Okoth (Guest) on March 12, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on March 5, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Sharon Kibiru (Guest) on January 18, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Amukowa (Guest) on January 10, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Diana Mumbua (Guest) on January 7, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

James Mduma (Guest) on January 4, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Anna Mahiga (Guest) on December 20, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on December 16, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Agnes Sumaye (Guest) on December 12, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Charles Mboje (Guest) on November 18, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Isaac Kiptoo (Guest) on November 13, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on August 10, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on August 7, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

James Malima (Guest) on July 31, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on July 30, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Brian Karanja (Guest) on July 29, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on July 19, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on July 16, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on July 14, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on July 6, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Kenneth Murithi (Guest) on June 9, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on May 16, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Rahma (Guest) on May 11, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on April 24, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Catherine Naliaka (Guest) on April 18, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Shabani (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

George Ndungu (Guest) on March 28, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on March 21, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Catherine Mkumbo (Guest) on February 24, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on February 8, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on January 1, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

John Mushi (Guest) on November 19, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Jamal (Guest) on October 28, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Anna Sumari (Guest) on October 7, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Peter Mbise (Guest) on September 12, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Saidi (Guest) on September 6, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Faiza (Guest) on August 17, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Patrick Kidata (Guest) on August 16, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on August 9, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on July 15, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mashaka (Guest) on July 10, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Shabani (Guest) on June 22, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Related Posts

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a400edf82cf9d86d904054547f309e0a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact