Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d7743be97bd7ad9cf078ffccf89ebd64, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d7743be97bd7ad9cf078ffccf89ebd64, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d7743be97bd7ad9cf078ffccf89ebd64, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d7743be97bd7ad9cf078ffccf89ebd64, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d7743be97bd7ad9cf078ffccf89ebd64, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Featured Image

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ˜€
Mimi ni msomaji mzuri wa magazeti, na msikilizaji mzuri wa redio, huwa naangalia luninga mara chache sana kama nikibahatika kupita mahala kuna luninga. Sasa wiki hii nimesikia mengi kuhusu hizi ziara za kushtukiza za viongozi wetu, nikaona hili ni jambo zuri tena linafaa kuigwa na sisi wananchi wapenda maendeleo. Nikaona nijipange na mimi nifanye ziara kadhaa za kushtukiza katika sehemu mbalimbali zinazonihusu.

Nikaona nianze na ziara ya kushtukiza pale shuleni kwa huyu mwanangu, maana kila siku anakunywa chai na kuondoka na daftari zake na mie sijawahi kwenda shuleni kwao toka nilipomuandikisha shule mwezi Januari. Nilifika shuleni na kumuona mwalimu mkuu, ambae alianza kutetemeka nilipomuambia kuwa nimekuja pale kwa ziara ya kustukiza, sijui alidhani mi ni mmoja wa Mawaziri wapya, maana nilimuona jasho linamtiririka ghafla. Akanikaribisha ofisi yake iliyokuwa na vitabu kila kona, na kuita waalimu wote na kunitambulisha kuwa ni kiongozi nimekuja kwenye ziara ya kustukiza.

Nilipojitambulisha kuwa ni mzazi, waalimu wote nikawaona waanza kupumua kwa raha. Nikawaambia kuwa mimi nina mwanafunzi pale na nilikuja ziara ya kustukiza kujua maendeleo yake. Baada ya mwalimu mkuu kusaka jina la mwanangu nae akanambia, β€œMzee huyu mtoto hajaja shule mwezi wa tatu sasa, tulijaribu kukutafuta ikashindikana, hatujui yu wapi” Jasho likaanza kunitoka mimi, yule mtoto kila asubuhi nampa nauli anaenda shule, na mara nyingi ananiomba michango kumbe hata shule haji. Niliondoka bila kuaga presha ikiwa juu.

Nikaona niende kwenye genge la mke wangu nae nikamfanyie ziara ya ghafla nimhadithie mambo ya mwanae, nilipofika pale nikakuta kuna mdada mwingine anauza genge. Nikamsalimu, na kumuuliza mwenye genge ntampataje, jibu lake lingeniua kama ningekuwa si mkakamavu, β€œMume wake kaja kumchukua na gari wameenda kununua shamba Bagamoyo”. Nikaondoka nimechanganyikiwa, nikajuwa hapa dawa yangu moja tu, nayo ni Sabrina, mtoto wa Kinyaturu pale ambapo nikipata maudhi huwa naenda kubembelezwa.

Nikatwanga mguu kwa Sabrina nae nikamfanyie ziara ya ghafla ili anipoze moyo. Nilipogonga mlango wa chumba chake akatoka mbaba wa miraba minne, akanisalimia kwa upole, β€œSalama kaka unasemaje?” Jibu likanitoka β€œSamahani mie nilimkopesha huyu dada wa chumba hiki vitenge, nilikuja kuuliza kama ameshapata hela yangu” Ziara za kushtukiza zinataka moyo wa chuma jamani

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d7743be97bd7ad9cf078ffccf89ebd64, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Moses Mwita (Guest) on September 7, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Rahim (Guest) on September 4, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

John Lissu (Guest) on July 16, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Moses Mwita (Guest) on May 31, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Fatuma (Guest) on May 20, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Irene Makena (Guest) on May 14, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on May 3, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

David Nyerere (Guest) on April 8, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on February 16, 2019

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on February 13, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Binti (Guest) on February 11, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Mwajabu (Guest) on February 8, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joseph Njoroge (Guest) on November 19, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on November 14, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Thomas Mtaki (Guest) on November 2, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on October 30, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Samson Mahiga (Guest) on October 17, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on October 10, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on October 7, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on October 1, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on October 1, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Moses Kipkemboi (Guest) on August 3, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

David Ochieng (Guest) on August 1, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Philip Nyaga (Guest) on July 27, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on July 8, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on June 30, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Selemani (Guest) on June 26, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Brian Karanja (Guest) on June 26, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on June 18, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

George Mallya (Guest) on May 23, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on May 4, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

David Kawawa (Guest) on May 2, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on April 20, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Halimah (Guest) on April 5, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

David Sokoine (Guest) on March 1, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mwagonda (Guest) on February 11, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Nora Kidata (Guest) on January 17, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Kheri (Guest) on January 16, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Samuel Omondi (Guest) on December 26, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Elizabeth Mrope (Guest) on December 4, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Arifa (Guest) on November 8, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Alex Nyamweya (Guest) on October 24, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Husna (Guest) on October 3, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Philip Nyaga (Guest) on September 15, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Stephen Mushi (Guest) on September 10, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mgeni (Guest) on September 5, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Wilson Ombati (Guest) on August 24, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Sarah Karani (Guest) on July 24, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Philip Nyaga (Guest) on July 17, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Michael Mboya (Guest) on June 22, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on May 31, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Azima (Guest) on May 31, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Sharon Kibiru (Guest) on May 27, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Dorothy Nkya (Guest) on May 17, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on April 27, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Emily Chepngeno (Guest) on April 15, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

James Kawawa (Guest) on April 14, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on April 10, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on March 30, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on March 1, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d7743be97bd7ad9cf078ffccf89ebd64, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact