Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.
Mtoto: unaweza ukampa house boy/girl ATM CARD yako na namba ya siri ukakuchulie pesa?
Baba: mtoto unatafuta balaa sasa, unataka siku akiiba hii card akachukue pesa zote tuwe maskini, sithubutu.
Mtoto: aahaaaaaa, kumbe hauwezi kumkabidhi chochote chenye thamani house boy/ girl, sasa kwa nini mnanikabidhi mimi kwa house boy/girl na nyie mnaenda kazini mpaka mnarudi kumbe mimi sina thamani kwenu eeeeh!
Joseph Kitine (Guest) on August 8, 2017
Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣
Thomas Mtaki (Guest) on July 29, 2017
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! 😄😆
Edith Cherotich (Guest) on June 25, 2017
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! 😆
Thomas Mtaki (Guest) on June 12, 2017
😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!
Peter Mugendi (Guest) on June 4, 2017
Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣
Moses Kipkemboi (Guest) on May 21, 2017
😂😅
Jane Malecela (Guest) on March 30, 2017
Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭
Jane Muthui (Guest) on March 30, 2017
🤣🤣😂
Frank Sokoine (Guest) on March 23, 2017
Hii ni joke ya kipekee sana! 😊👏
Esther Cheruiyot (Guest) on March 19, 2017
🤣😭😆
Grace Wairimu (Guest) on February 23, 2017
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! 😆👏
Peter Mugendi (Guest) on January 30, 2017
Hii imenipa furaha ya siku! 😆👌
George Ndungu (Guest) on October 18, 2016
Huyu alikuwa na point! 😂👌
Ruth Wanjiku (Guest) on October 2, 2016
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! 😂🤣
Janet Sumari (Guest) on September 17, 2016
Hii joke imenikumbusha enzi zile! 😊😂
Grace Njuguna (Guest) on August 27, 2016
🤣🤣😄😆
Esther Cheruiyot (Guest) on August 19, 2016
😄 Sikutarajia hiyo ikitokea!
Elizabeth Mrope (Guest) on August 8, 2016
😅😊😂👏
Christopher Oloo (Guest) on July 29, 2016
Kweli mnajua kuchekesha watu! 🤣😂
Daudi (Guest) on July 29, 2016
🤣 Nalia kwa kicheko kweli!
Nahida (Guest) on July 22, 2016
😂 Nitaiiba hii bila shaka!
Benjamin Kibicho (Guest) on July 20, 2016
Hii ni bomba sana! 🤣👍
George Mallya (Guest) on July 17, 2016
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😊😅
Lydia Mahiga (Guest) on July 8, 2016
Mna kipaji cha ucheshi! 👏😂
Irene Makena (Guest) on July 4, 2016
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😅😊
Rehema (Guest) on June 27, 2016
😅 Bado nacheka!
Joseph Kawawa (Guest) on June 23, 2016
Ucheshi wa hali ya juu! 😂👏
Janet Wambura (Guest) on June 16, 2016
😄 Umenishika vizuri!
Grace Wairimu (Guest) on May 29, 2016
Hizi jokes ni za kipekee sana! 😆😊
Patrick Akech (Guest) on May 7, 2016
Nimecheka hadi nimesahau shida! 🤣😆
Alice Wanjiru (Guest) on April 15, 2016
😁 Kicheko bora ya siku!
Martin Otieno (Guest) on March 19, 2016
Nimeipenda hii joke! 😄😂
Ann Wambui (Guest) on February 28, 2016
🤣 Sikutarajia hiyo!
Catherine Naliaka (Guest) on February 8, 2016
Nimecheka hadi nina furaha sana! 🤣😊
Elizabeth Mtei (Guest) on January 27, 2016
😅😂😄
Rukia (Guest) on December 17, 2015
😁 Hii ni dhahabu!
Peter Tibaijuka (Guest) on December 16, 2015
😂😆
Ruth Kibona (Guest) on December 13, 2015
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! 😄😅
Peter Mugendi (Guest) on December 8, 2015
Napenda jinsi mnavyofikiria! 🤔😆
Ahmed (Guest) on December 8, 2015
🤣 Ninashiriki hii na kila mtu!
Betty Kimaro (Guest) on November 30, 2015
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉
Elizabeth Mrope (Guest) on November 20, 2015
Hii ni joke ya kipekee sana! 😂👏
Samson Tibaijuka (Guest) on November 6, 2015
Nimecheka hadi mbavu zinauma 😂😂
David Sokoine (Guest) on November 1, 2015
🤣😆😊😂
Mwanais (Guest) on September 25, 2015
😆 Kali sana!
Margaret Anyango (Guest) on September 4, 2015
Mna talent ya jokes! 👏😂
Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 26, 2015
Hii ni joke ya ukweli kabisa! 😂🤣
John Mwangi (Guest) on August 20, 2015
Asante Ackyshine
Linda Karimi (Guest) on July 24, 2015
Hii imenikuna hadi nina furaha! 😊😂
Masika (Guest) on May 16, 2015
😆 Ninaihifadhi kwa baadaye!
Nora Lowassa (Guest) on May 13, 2015
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! 😂👏
Francis Mrope (Guest) on May 6, 2015
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣
Ruth Mtangi (Guest) on April 26, 2015
Kweli mnajua kuchekesha! 😂😂
James Kimani (Guest) on April 8, 2015
🤣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!
Baridi (Guest) on April 8, 2015
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! 😄
Joy Wacera (Guest) on April 8, 2015
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! 😊😂