Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_411ac30b58dcda9009ec2d73c59d4aa6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_411ac30b58dcda9009ec2d73c59d4aa6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_411ac30b58dcda9009ec2d73c59d4aa6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_411ac30b58dcda9009ec2d73c59d4aa6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_411ac30b58dcda9009ec2d73c59d4aa6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Featured Image
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!,
Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=.
Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.

Na yeye akamuuliza Mzungu ni kitu gani kikienda juu kina miguu minne na kikirudi chini kina miguu mitatu?

Mzungu akafikiria akakosa jibu akatoa 100,000/= kuashiria hajui ila akataka kujua, akauliza ni nini hicho?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hata yeye hajui!.

SHARE na marafiki kama umemkubali Mbongo kwa ujanja. Lakini unafikiri Mbongo huyu kwa akili hizi atakuwa ametokea mkoa gani!?.
AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_411ac30b58dcda9009ec2d73c59d4aa6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Zubeida (Guest) on June 18, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! 😂

Joseph Mallya (Guest) on June 18, 2017

😄 Kichekesho gani!

Joyce Mussa (Guest) on June 8, 2017

😊😂🤣

Peter Tibaijuka (Guest) on June 3, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 😊😂

Agnes Sumaye (Guest) on June 3, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! 👏😂

Carol Nyakio (Guest) on June 1, 2017

🤣 Nalia kwa kicheko kweli!

Hellen Nduta (Guest) on May 25, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! 😊😂

Joyce Mussa (Guest) on April 21, 2017

😂🤣😆👏

Mchuma (Guest) on March 26, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣

Patrick Mutua (Guest) on March 15, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! 😄😆

Christopher Oloo (Guest) on March 9, 2017

😅😂👌😊

Mgeni (Guest) on March 7, 2017

😆 Naihifadhi hii!

Rose Amukowa (Guest) on February 10, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😅😊

George Mallya (Guest) on January 19, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! 😄

Jane Muthui (Guest) on January 10, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😊😅

Margaret Mahiga (Guest) on January 1, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂😆

Elizabeth Mrema (Guest) on December 19, 2016

😊😂😅👏

Mwachumu (Guest) on December 5, 2016

😄 Kali sana!

Joseph Njoroge (Guest) on November 28, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! 😂🤣

Faith Kariuki (Guest) on November 26, 2016

🤣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Daniel Obura (Guest) on October 19, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! 😆

Henry Mollel (Guest) on October 7, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! 🤔😆

Tambwe (Guest) on October 6, 2016

🤣 Sikutarajia hiyo!

Esther Nyambura (Guest) on September 24, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! 😆😂

Irene Akoth (Guest) on September 15, 2016

Hii ni joke ya maana sana! 😂👌

Vincent Mwangangi (Guest) on September 14, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! 😄

David Sokoine (Guest) on August 15, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! 👏🤣

Benjamin Kibicho (Guest) on July 10, 2016

Hii ni joke ya kipekee! 🤣👌

Mwanakhamis (Guest) on July 4, 2016

😅 Nilihitaji kicheko hiki, asante!

George Ndungu (Guest) on June 17, 2016

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Monica Lissu (Guest) on June 17, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! 🏆

Frank Sokoine (Guest) on June 13, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! 😅😂

Lucy Wangui (Guest) on May 30, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! 👏😆

Rabia (Guest) on May 26, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! 😂

Samuel Omondi (Guest) on May 24, 2016

😆 Nacheka hadi chini sasa hivi!

David Chacha (Guest) on May 15, 2016

😃 Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Michael Onyango (Guest) on May 2, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏😂

Stephen Mushi (Guest) on April 24, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! 😊😂

Charles Mchome (Guest) on April 18, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! 😅

Stephen Kikwete (Guest) on April 6, 2016

😆👏😂😄

Elizabeth Mtei (Guest) on February 20, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! 😊😄

Monica Nyalandu (Guest) on February 16, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🤣😊

Aziza (Guest) on January 25, 2016

😂 Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Daudi (Guest) on January 14, 2016

😅 Bado nacheka!

Charles Mrope (Guest) on November 17, 2015

🤣🔥😊

James Mduma (Guest) on October 31, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! 😆

Diana Mumbua (Guest) on October 16, 2015

😂 Ninaihifadhi hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on October 10, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! 👏😆

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 5, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😂

Ann Wambui (Guest) on June 29, 2015

😄 Sikutarajia hiyo ikitokea!

Henry Mollel (Guest) on June 28, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! 😂😅

Mwanajuma (Guest) on June 2, 2015

😄 Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mary Sokoine (Guest) on May 26, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Benjamin Kibicho (Guest) on May 22, 2015

🤣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joy Wacera (Guest) on April 17, 2015

😆 Siwezi kuacha kucheka!

Frank Sokoine (Guest) on April 15, 2015

Hii imenifurahisha sana! 😂😂

Joseph Kawawa (Guest) on April 5, 2015

🤣🤣😂

Related Posts

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..😂

2, mwanaume k... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEE💪💪
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

📢WAZO LA JIONI HII 📢

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_411ac30b58dcda9009ec2d73c59d4aa6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3