Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_66a6bfa6ce566a136f7c61fb11608929, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_66a6bfa6ce566a136f7c61fb11608929, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_66a6bfa6ce566a136f7c61fb11608929, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_66a6bfa6ce566a136f7c61fb11608929, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_66a6bfa6ce566a136f7c61fb11608929, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Wanaume wote ni waaminifu

Featured Image

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Mwanaume mmoja alienda kukata miti kwa ajili ya mkaa, bahati mbaya panga likadondokea mtoni, akaanza kulia sana. Malaika akatokea na kumuuliza kwanini analia. Jamaa akajibu; "Panga langu limedondokea mtoni na ndilo ninalotegemea kuendeshea maisha yangu".

Malaika akazama mtoni na kuibika na panga la DHAHABU na kumuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena na kuibuka na panga la SHABA na kuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena mara hii akaibuka na panga la CHUMA na kuuliza ndio hili?

Jamaa: NDIYO.

Malaika akafurahishwa sana na uaminifu wake hivyo akampa mapanga yote matatu. Jamaa akafurahi sana.

Siku nyingine jamaa alikuwa anatembea na mkewe njiani ghafla mke akadondokea mtoni, jamaa akaanza kulia. Malaika akatokea na kumuuliza: Kwanini unalia?

Jamaa: Mke wangu kadondokea mtoni na nampenda sana.

Malaika akazama mtoni akaibuka na WEMA SEPETU na kuuliza; "huyu ndiye mkeo?"

Jamaa: NDIYO.

Malaika akakasirika sana na kumuuliza: kwa nini umenidanganya?

Jamaa: Nimesema ndiyo kwa sababu ningesema hapana ungezama tena na kuibuka na AUNT EZEKIEL na ningesema hapana tena ungezama na kuibuka na MKE wangu alafu ningesema ndiyo ungenipa wote watatu!

Sasa mimi maskini sina uwezo wa kuhudumia wote hao, ndio maana nikasema NDIYO kwa Wema Sepetu.

*FUNDISHO*
Wanaume huwa hatusemi uongo bila sababu na inakuwa sababu maalumu kwa faida ya wote.

WANAUME WOTE NI WAAMINIFU. Hii ndiyo kauli mbiu yetu.
😀😀😀😀

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_66a6bfa6ce566a136f7c61fb11608929, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Halimah (Guest) on November 24, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🤣

Majid (Guest) on November 17, 2017

😄 Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Agnes Njeri (Guest) on October 30, 2017

Hii imenifurahisha sana! 😊😅

Samson Mahiga (Guest) on October 23, 2017

😄 Kali sana!

John Lissu (Guest) on September 15, 2017

🤣🔥😊

Brian Karanja (Guest) on September 11, 2017

😅 Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Elijah Mutua (Guest) on August 28, 2017

Nimefurahia sana hii joke! 😅😂

Shukuru (Guest) on August 28, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! 😆

Wilson Ombati (Guest) on July 11, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! 😄

Joseph Mallya (Guest) on July 2, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Faith Kariuki (Guest) on April 27, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mazrui (Guest) on March 30, 2017

😂 Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Charles Wafula (Guest) on March 2, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😄

Joyce Aoko (Guest) on January 25, 2017

Hii imenichekesha sana! 🤣😆

Stephen Amollo (Guest) on January 2, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! 😊😂

James Kawawa (Guest) on December 16, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! 😆😂

Catherine Mkumbo (Guest) on December 12, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! 😂🤣

Joyce Aoko (Guest) on October 29, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣

Mtumwa (Guest) on October 18, 2016

😆 Siwezi kuacha kucheka!

Rose Waithera (Guest) on September 27, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏🤣

Patrick Mutua (Guest) on September 22, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! 😂🤣

Mariam Hassan (Guest) on September 7, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😅😊

Hawa (Guest) on September 4, 2016

😄 Dhahabu ya vichekesho!

Richard Mulwa (Guest) on August 18, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🤣😊

Joseph Kiwanga (Guest) on August 6, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Josephine Nduta (Guest) on June 15, 2016

Hii imenikuna! 😆😊

Samuel Omondi (Guest) on June 13, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂

Hekima (Guest) on June 12, 2016

😄 Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Joyce Nkya (Guest) on May 13, 2016

Hii imenibamba sana! 😅🤣

Stephen Mushi (Guest) on May 4, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! 👏🤣

Anna Malela (Guest) on April 20, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! 😆👌

Victor Kimario (Guest) on April 8, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Peter Mbise (Guest) on March 26, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! 😂

Ruth Wanjiku (Guest) on March 4, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! 😂

Wilson Ombati (Guest) on February 28, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 😊😂

Victor Mwalimu (Guest) on February 25, 2016

😂 Hii ni kali sana!

Sarah Karani (Guest) on February 18, 2016

😂😂

Mwanahawa (Guest) on January 14, 2016

😆 Hiyo punchline!

Jane Muthoni (Guest) on January 2, 2016

🤣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Esther Nyambura (Guest) on December 20, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! 😊😄

Moses Mwita (Guest) on December 19, 2015

🤣 Hii imenigonga vizuri!

Charles Wafula (Guest) on December 11, 2015

😂🤣😂😅

Nchi (Guest) on December 7, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! 😅

Asha (Guest) on November 10, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! 🏆

Victor Mwalimu (Guest) on November 8, 2015

😂🤣😊😅

Janet Mbithe (Guest) on November 1, 2015

🤣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mwafirika (Guest) on October 26, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! 😄

Ahmed (Guest) on October 22, 2015

😂 Nacheka hadi nalia!

Sarah Karani (Guest) on August 26, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂😆

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 16, 2015

😆😂👏

Athumani (Guest) on August 11, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! 😅

Joyce Aoko (Guest) on August 6, 2015

😆 Kali sana!

Michael Onyango (Guest) on July 13, 2015

Hii ni bomba sana! 🤣👍

Sarah Karani (Guest) on June 27, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! 😂👏

Jafari (Guest) on June 3, 2015

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Francis Njeru (Guest) on April 21, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma 😂😂

Related Posts

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news 💥

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_66a6bfa6ce566a136f7c61fb11608929, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3