Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f1f0ff442b8aa19250f75d612565092d, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f1f0ff442b8aa19250f75d612565092d, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f1f0ff442b8aa19250f75d612565092d, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f1f0ff442b8aa19250f75d612565092d, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f1f0ff442b8aa19250f75d612565092d, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Featured Image

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..


Kwa wanywaji wazuri wa bia,

chupa ya kwanza 🍺 huwa haileti hisia yoyote. Mnywaji humaliza chupa hiyo bila kuona matokeo yoyote zaidi ya kupoza koo… Na mara nyingi huwa mkimya, pengine huwa anasoma gazeti lake au kwa siku hizi anawasiliana na ndugu na jamaa kupitia simu yake.

chupa ya pili 🍺🍺 kimsingi ndipo mazungumzo ya awali na wanywaji jirani huanza na haya huwa mazungumzo ya busara, yakihusu muelekeo wa ligi mbalimbali, siasa, idadi za ajali na kadhalika na wakati huu hata takwimu hutolewa zilizo sahihi….

Mtu anaweza kukutajia wachezaji wote wa ligi daraja la tatu la huko Ujerumani bila kukosea, hata idadi ya wachezaji wa Yanga bila kukosea.. Ila wakati huu kama unaanzisha mashindano ya kucheua ni wakati mzuri kwani bia ya pili huongeza hisia za kucheua.

Bia ya tatu 🍺🍺🍺 huanza kumfanya mnywaji aanze kusikia furaha na pia huu huwa wakati ambapo karanga na korosho huliwa sana…. Pamoja na mazungumzo kuhusu mpira na siasa, ghafla mazungumzo kuhusu michepuko huanza kujitokeza…..

Bia ya nne 🍺🍺🍺🍺 huanza kusababisha masikio yaanze kupoteza nguvu za kusikia kwani utaona mnywaji ghafla amepandisha sauti, na ukijumlisha na kuwa baa zetu huwa na muziki una kelele utadhani waliopo wote wana matatizo ya kusikia….. bia hii humsaidia kuongea kwa nguvu kushindana na kelele za muziki.

Bia ya tano 🍺🍺🍺🍺🍺 ni hatari kidogo kwani ukiinuka kwenda chooni mara nyingi unarudi hujafunga zipu……na kipindi hiki ni kibaya kwa wanywaji wa kike maana unaweza kumkuta akienda chooni akijiangalia kwenye kioo anaanza kulia peke yake na kulalamika; β€˜Mi sipendwi mpaka leo sijaolewa’ au β€˜ Mume wangu sijui yukoje hanijali’

Japokuwa lazima isemwe ukweli ukifikisha bia hii, maisha ni raha sana unaweza ukaanzisha shoo ya kukata mauno katikati ya baa na kudai wewe ni mkali kuliko Shilole.

Kuanzia bia ya sita 🍺🍺🍺🍺🍺🍺 na kuendelea, chochote utakachosema au kufanya ni wazi kesho yake asubuhi utajilaumu sana. ……. …Kuna watu husema ukilewa ndipo unakuwa mkweli, hivyo basi wakati huu hata bosi wako akitokeza unamueleza ukweli jinsi alivyo fala na hajui kuendesha kampuni.

Au unasema ukweli jinsi unavyompenda mke wa jirani yako ambaye mmekaa mnakunywa naye. Kimsingi uwezekano wa kutapika pia upo karibu na kama umekaa na mchumba wako huu ni muda ambao pia uchumba unaweza kuvunjika…….
AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f1f0ff442b8aa19250f75d612565092d, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Fredrick Mutiso (Guest) on June 21, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Neema (Guest) on May 28, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Francis Mtangi (Guest) on May 9, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on April 9, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

David Ochieng (Guest) on March 20, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Agnes Sumaye (Guest) on March 17, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Ruth Mtangi (Guest) on January 29, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on January 27, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Kazija (Guest) on January 22, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Peter Mugendi (Guest) on January 11, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Charles Mboje (Guest) on January 11, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on December 4, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kawawa (Guest) on December 2, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Esther Nyambura (Guest) on November 20, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Umi (Guest) on November 17, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Vincent Mwangangi (Guest) on November 13, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Anna Sumari (Guest) on October 20, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Lissu (Guest) on October 13, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Leila (Guest) on October 6, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Hamida (Guest) on September 23, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Sharifa (Guest) on September 18, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Betty Cheruiyot (Guest) on September 2, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on August 31, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mariam (Guest) on August 18, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

John Lissu (Guest) on July 31, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on July 28, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Ramadhan (Guest) on July 18, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Omar (Guest) on May 28, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Lucy Kimotho (Guest) on April 15, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Kenneth Murithi (Guest) on April 5, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Francis Mrope (Guest) on March 26, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Janet Mbithe (Guest) on March 3, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Monica Nyalandu (Guest) on February 21, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Christopher Oloo (Guest) on February 14, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Bahati (Guest) on January 29, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Paul Kamau (Guest) on January 21, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on January 19, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jane Muthoni (Guest) on January 15, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on December 30, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Azima (Guest) on December 8, 2015

Asante Ackyshine

Brian Karanja (Guest) on November 20, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on October 27, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Agnes Lowassa (Guest) on October 26, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Maulid (Guest) on October 23, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Charles Mchome (Guest) on October 2, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mary Kidata (Guest) on September 5, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Salima (Guest) on September 4, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Latifa (Guest) on August 30, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jane Malecela (Guest) on August 20, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Kawawa (Guest) on July 20, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Joseph Njoroge (Guest) on July 19, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Grace Majaliwa (Guest) on July 15, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on July 11, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Ali (Guest) on July 7, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Mwanakhamis (Guest) on April 25, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Esther Nyambura (Guest) on April 13, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Related Posts

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f1f0ff442b8aa19250f75d612565092d, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact