Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fe95cbac22bf157fa0978a0656e46756, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Jamaa mpenda michepuko kapatikana
Date: March 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no ngeni na kuamua kuipokea ndipo unakutana na Sauti ya msichana ya kuvutia lakin kabla hajasema shida yake anaamua kukata simu. Unashikwa na hamu ya kujua ni nani. Tamaa ya mchepuko inakujia ghafla na kuamua kuipiga ile no tena kwa mara nyingine inakuwa haipatikani.
Siku hiyo hiyo usiku ukiwa umelala chumba kimoja na mkeo meseji inaingia tena kwenye cm yako kwa ile namba iliyokupigia mchana ikikuomba umpigie kwa mida ule na kusisitiza kuwa ana hamu ya kukufahamu. kila ukimtumia meseji ya kumdanganya upo sehemu mbaya hasikii anakubipu mara nyingi. Uzalendo unakushinda, unamuangalia pembeni mkeo kalala fofofo kajifunika shuka hadi usoni. Unaamua kuondoka kwa kunyata mpaka sebuleni kwenda kuipiga Ile namba kwa lengo la Kumwambia kesho mkutane. Ile unafika sebuleni na kuanza kuipiga ile cm ndipo unakutana na sauti hii:- MUME WANGU ACHA MCHEPUKO, NILIKUWA NAKUPIMA TU RUDI TU CHUMBANI TULALE 😋😋😋😋😋😋😋😋 Hapo ndo utajua kwann bata hata ale kokoto anaharisha 😂😂😂😂😂😂😂😂
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fe95cbac22bf157fa0978a0656e46756, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ...
Read More
Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml...
Read More
Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili
(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More
Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u...
Read More
Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO...
Read More
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station
"Naitwa John nimepiga s...
Read More
Google alisema : mimi nina kila kitu
Facebook ikasema : mimi najua watu wote
UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA...
Read More
*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd...
Read More
Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka...
Read More
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga...
Read More
Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny...
Read More
Monica Adhiambo (Guest) on July 19, 2024
😄 Kichekesho gani!
Violet Mumo (Guest) on June 15, 2024
Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭
Hekima (Guest) on May 19, 2024
😄 Umenishika vizuri!
Esther Cheruiyot (Guest) on April 29, 2024
Nimefurahia sana hii joke! 😅😂
Elijah Mutua (Guest) on April 27, 2024
Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣
Edward Lowassa (Guest) on April 23, 2024
Hii imenichekesha sana! 😄😂
Mwanajuma (Guest) on April 7, 2024
😅 Nilihitaji kicheko hicho!
Nora Lowassa (Guest) on March 25, 2024
Haha, hii ni ya kuhifadhi! 📌
Edith Cherotich (Guest) on March 21, 2024
Huu ucheshi hauna kifani! 🤣🔥
Alice Mwikali (Guest) on March 8, 2024
😆 Bado nacheka, siwezi kuacha!
Lydia Mzindakaya (Guest) on January 3, 2024
🤣👍👌
Charles Wafula (Guest) on December 12, 2023
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰
John Kamande (Guest) on December 2, 2023
😂😆
Ramadhan (Guest) on December 1, 2023
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! 😆
Edward Chepkoech (Guest) on November 25, 2023
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😂
Nora Kidata (Guest) on November 20, 2023
Mna talent ya jokes! 👏😂
Michael Onyango (Guest) on November 18, 2023
Kweli mnajua kuchekesha! 😂😂
Edward Chepkoech (Guest) on November 14, 2023
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😊😂
Margaret Mahiga (Guest) on October 15, 2023
Napenda jokes zenu! 😊😅
Henry Mollel (Guest) on October 15, 2023
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! 😄😆
Hawa (Guest) on September 19, 2023
😅 Bado ninacheka!
Mary Kidata (Guest) on September 18, 2023
😂 Siwezi kuacha kucheka!
Nancy Kawawa (Guest) on September 17, 2023
😂 Hii ni ya kuhifadhi!
Paul Kamau (Guest) on August 17, 2023
Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁
Monica Adhiambo (Guest) on July 25, 2023
Napenda jinsi mnavyofikiria! 🤔😆
Saidi (Guest) on July 22, 2023
😂 Siwezi kuacha kucheka na hii!
Alice Mrema (Guest) on July 14, 2023
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣
Zubeida (Guest) on July 12, 2023
😆 Ninaihifadhi kwa baadaye!
Husna (Guest) on June 30, 2023
😄 Umeimaliza kabisa!
Grace Minja (Guest) on June 14, 2023
😂 Nitaiiba hii bila shaka!
Anna Sumari (Guest) on June 1, 2023
🤣🤣👏😆
Alice Mrema (Guest) on May 30, 2023
😅😂😄
Alice Wanjiru (Guest) on May 25, 2023
Nimecheka hadi nina furaha sana! 😊😂
Joseph Kitine (Guest) on April 25, 2023
Hii imenikuna sana! 😆😅
Stephen Kangethe (Guest) on April 19, 2023
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😄
Betty Kimaro (Guest) on March 31, 2023
🤣🤣😂
Joseph Njoroge (Guest) on February 27, 2023
Hii imenikuna hadi nina furaha! 😊😂
Jane Malecela (Guest) on February 18, 2023
😂 Nalia kwa kweli hapa!
Sarah Karani (Guest) on February 17, 2023
😆 Hiyo punchline ilikuwa kali!
Moses Kipkemboi (Guest) on February 3, 2023
Hii imenifurahisha sana! 😂😂
Edwin Ndambuki (Guest) on January 13, 2023
Hii ni joke ya maana sana! 😂👌
Ann Wambui (Guest) on January 3, 2023
Hii imenikuna! 😆😊
Mariam Kawawa (Guest) on December 28, 2022
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏🤣
James Kawawa (Guest) on December 22, 2022
😄😅👏😂
Joyce Nkya (Guest) on December 8, 2022
🤣😆😊😂
Nasra (Guest) on December 2, 2022
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! 😂
Mwafirika (Guest) on November 15, 2022
😄 Umenishika vizuri!
Tambwe (Guest) on November 6, 2022
🤣 Ninaituma sasa hivi!
Charles Mboje (Guest) on October 19, 2022
😂 Siwezi kusubiri kushiriki hii!
Charles Wafula (Guest) on August 9, 2022
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂
Lydia Wanyama (Guest) on August 4, 2022
😂👌😆😊
Peter Mwambui (Guest) on July 9, 2022
Hii ni joke ya kipekee sana! 😂👏
Joseph Njoroge (Guest) on May 25, 2022
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😅
Anna Mahiga (Guest) on May 24, 2022
Hii imenifurahisha sana! 😊😅
Charles Mrope (Guest) on May 10, 2022
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! 😆👏
Nora Kidata (Guest) on May 6, 2022
😂 Ninashiriki mara moja!
Edward Lowassa (Guest) on April 16, 2022
🤣 Ninashiriki hii sasa hivi!
Nancy Komba (Guest) on April 11, 2022
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! 😄
Mary Njeri (Guest) on April 5, 2022
Nimecheka hadi nina furaha sana! 🤣😊
Anna Sumari (Guest) on April 3, 2022
Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏😆