Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_51f091f0b9a71bdb4562c4116e320d9b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU
Date: May 1, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtakatifu wa Bwana wetu Yesu Kristu/ ambao ninataka kumpenda/ na kukusalimu kwa usikivu unaoendelea./ Kamwe nisikuudhi tena/ kwa sababu Wewe ni Mwema sana;/ Ee Mwema sana./ Ee Moyo Mtakatifu sana/ ninakupenda/ na ninataka kukupenda zaidi ya vitu vyote,/ kwa nguvu zangu zote/ na kwa uwezo wangu wote,/ ninatamani kuwa mali yako/ Wewe uliyejitoa Msalabani kwa ajili yangu/ kwa mateso makali./ Unionee huruma na udhaifu wangu/ na usiniruhusu kupotea./
Ninajitoa kabisa kwako/ ee moyo wa mapendo,/ kwa makusudi kuwa utu wangu,/ maisha na mateso yangu/ yalipie kukupenda,/ kukuheshimu/ na kukutukuza Wewe sasa na milele./ Ninakupenda ee Moyo Mwabudiwa wa Mwokozi wangu,/ ninakuomba kwako/ uamuru moyo wangu na kila kitu ndani yangu/ kikutukuze sasa na milele./ Amina.
(Na Mt Margareta Maria Alakoki)
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_51f091f0b9a71bdb4562c4116e320d9b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,
na kwa njia ya Damu yako azizi,
na kwa maombezi ya M...
Read More
Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal...
Read More
Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako....
Read More
Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M...
Read More
TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA
BABA YETU…………â...
Read More
Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga...
Read More
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ...
Read More
Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria...
Read More
1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA
2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI...
Read More
SALA YA ASUBUHI
Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,...
Read More
Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ...
Read More
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ...
Read More
Jane Muthui (Guest) on July 13, 2024
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Elizabeth Mrope (Guest) on June 21, 2024
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Vincent Mwangangi (Guest) on April 20, 2024
ðŸ™ðŸ’–💫 Mungu ni mwema
George Tenga (Guest) on February 9, 2024
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
James Malima (Guest) on December 3, 2023
ðŸ™ðŸ’– Nakushukuru Mungu
Michael Onyango (Guest) on October 20, 2023
ðŸ™ðŸ’– Nakusihi Mungu
Joseph Kitine (Guest) on August 19, 2023
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Rose Amukowa (Guest) on July 20, 2023
Dumu katika Bwana.
Patrick Akech (Guest) on June 6, 2023
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Agnes Sumaye (Guest) on May 21, 2023
ðŸ™ðŸ™ðŸ™
Joseph Njoroge (Guest) on May 14, 2023
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
David Chacha (Guest) on April 24, 2023
Tumaini ni nanga ya roho
Peter Mbise (Guest) on January 29, 2023
Mungu ni mwema, wakati wote!
John Lissu (Guest) on January 15, 2023
ðŸ™âœ¨â¤ï¸ Tumwombe Mungu kila siku
Paul Kamau (Guest) on December 30, 2022
Rehema zake hudumu milele
Guest (Guest) on January 18, 2026
Amina mama
Lucy Kimotho (Guest) on December 3, 2022
ðŸ™â¤ï¸ Mungu ni mkombozi
John Kamande (Guest) on October 23, 2022
ðŸ™ðŸ™ðŸ™
Rose Mwinuka (Guest) on September 13, 2022
Baraka kwako na familia yako.
Kenneth Murithi (Guest) on August 6, 2022
ðŸ™ðŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie
Patrick Mutua (Guest) on July 8, 2022
Imani inaweza kusogeza milima
Moses Mwita (Guest) on May 13, 2022
ðŸ™â¤ï¸ Mungu ni mwaminifu
Jane Malecela (Guest) on April 15, 2022
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Rose Lowassa (Guest) on February 15, 2022
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Ruth Wanjiku (Guest) on January 9, 2022
Endelea kuwa na imani!
Christopher Oloo (Guest) on January 5, 2022
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Thomas Mtaki (Guest) on November 17, 2021
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Joseph Kiwanga (Guest) on September 14, 2021
ðŸ™ðŸŒŸ Mbarikiwe sana
Nancy Kabura (Guest) on July 14, 2021
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Joseph Njoroge (Guest) on July 11, 2021
Mwamini katika mpango wake.
George Tenga (Guest) on July 5, 2021
Mwamini Bwana; anajua njia
Joseph Kawawa (Guest) on May 6, 2021
ðŸ™ðŸ’– Mungu wetu asifiwe
Alice Jebet (Guest) on April 16, 2021
Amina
Grace Wairimu (Guest) on March 5, 2021
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Victor Kimario (Guest) on July 19, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Robert Ndunguru (Guest) on July 9, 2020
ðŸ™ðŸ’– Asante kwa neema zako Mungu
Grace Mligo (Guest) on April 28, 2020
Nakuombea ðŸ™
Catherine Naliaka (Guest) on April 14, 2020
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Raphael Okoth (Guest) on March 19, 2020
ðŸ™â¤ï¸ðŸ’– Bwana akujalie baraka
Charles Mrope (Guest) on March 12, 2020
Mungu akubariki!
Joyce Mussa (Guest) on February 17, 2020
ðŸ™â¤ï¸âœ¨ Mungu akujalie furaha
Betty Kimaro (Guest) on January 27, 2020
ðŸ™âœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Moses Mwita (Guest) on December 5, 2019
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Janet Sumaye (Guest) on October 27, 2019
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Nancy Akumu (Guest) on September 24, 2019
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Frank Sokoine (Guest) on August 9, 2019
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Joseph Kiwanga (Guest) on July 21, 2019
ðŸ™ðŸŒŸ Mungu akujalie amani
David Nyerere (Guest) on March 18, 2019
ðŸ™âœ¨ Mungu atupe nguvu
Josephine Nduta (Guest) on March 12, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Lucy Mahiga (Guest) on January 4, 2019
ðŸ™â¤ï¸âœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Alex Nakitare (Guest) on August 7, 2018
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Kenneth Murithi (Guest) on June 5, 2018
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Lydia Mzindakaya (Guest) on May 29, 2018
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Patrick Akech (Guest) on May 23, 2018
Neema ya Mungu inatosha kwako
Elizabeth Malima (Guest) on May 12, 2018
Katika imani, yote yanawezekana
Victor Mwalimu (Guest) on April 23, 2018
Nguvu hutoka kwa Bwana
Elizabeth Mrope (Guest) on March 2, 2018
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Joy Wacera (Guest) on February 20, 2018
ðŸ™â¤ï¸ Mungu ni mlinzi wetu
Rose Waithera (Guest) on February 1, 2018
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Jane Malecela (Guest) on January 12, 2018
ðŸ™ðŸŒŸâ¤ï¸ Nakuombea heri