Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f8a9635e6ae190c686b1433b8b3b32de, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Utumiaji nguvu katika mahusiano ya ujinsia kama sehemu ya utamaduni
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Utumiaji wa nguvu
katika mahusiano ya
ujinsia unavunja haki
za uzazi na haki za
binadamu. Uhusiano
wa ujinsia ni muhimu
uwe katika misingi ya
maelewano, kuheshimiana,
na Huwezi kunikataa
mapenzi kwa
kila mmoja wenu.
Katika baadhi ya
tamaduni , mwanamume
ndiye mwenye mamlaka
na anakubalika kwamba anaweza kutumia nguvu. Ingawaje utamaduni
unatakiwa kujenga na kutia moyo uhusiano mzuri katika jamii.
Utamaduni wetu hauna budi kuimarisha thamani ambayo
itaheshimu hadhi ya utu na usiruhusu utumiaji wa nguvu. Kila
jambo ambalo linavunja haki ya mtu na kumdhalilisha hadhi ya
utu haliwezi kukubalika na kupokelewa.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f8a9635e6ae190c686b1433b8b3b32de, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Ngozi ya Albino haina jinsi ya kujilinda na mionzi ya jua. Inaungua
sana baada ya kupatwa na...
Read More
Kupata msichana ambaye anashiriki malengo yako na ana maslahi sawa nawe ni muhimu sana kwa mafani...
Read More
Ujana ni kipindi cha mabadiliko kutoka utotoni kuelekea utu uzima, wakati wa kipindi hiki kijana ...
Read More
πNifanyeje Kupata Msaada wa Kisaikolojia Kuhusu Masuala ya Ngono? π
Habari kijana! L...
Read More
Hakuna kiwango cha umri kwa kutumia huduma za afya ya uzazi
na njia za uzazi wa mpango. Unat...
Read More
Jaribu kutafuta sababu zinazowafanya rafiki, ndugu na jamaa
zako kuwa na tabia ya kuvuta sig...
Read More
Wakati wa kujifungua, uke wa mwanamke mzima hupanuka kuanzia kipenyo cha sentimeta kumi mpaka kum...
Read More
Je, umewahi kufikiria jinsi watu wanavyoelewa na kuheshimu mchakato wa uponyaji wakati wa ngono a...
Read More
Je, kuna umuhimu wa kuelewa na kuheshimu dini na imani za mwenza wako kuhusu ngono/kufanya mapenz...
Read More
Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Ujasiri wa Kujihusisha na Ngono? π
Karibu kija...
Read More
Yai mmoja hupevuka siku 14 kabla ya hedhi i i inayofuata. Baada ya yai kukomaa ndani ya kokwa la upa...
Read More
Habari za leo wapenzi wa Kiswahili! Leo tutajadili suala la tofauti za kitamaduni katika mtazamo ...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!