Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8b91ac4def8633f3ce644e14a4ebdd2d, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Watu wafanye nini iwapo wamelazimishwa kufunga ndoa na mtu wasiyemtaka?
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Iwapo mtu amelazimishwa
kuingia katika hali ya ndoa
(kuoa/kuolewa) na msichana/
mvulana ambaye hampendi,
hatua ya kwanza ni kukataa
ndoa hiyo na kuonyesha wazi
wazi. Jadiliana suala hili na
wazazi wako. Waeleze kwa
heshima kwa nini hukubaliani
na ndoa hiyo.
Kwa kawaida wazazi wanape-nda mambo mema kwa watoto wao.
Kwa hiyo kuwepo na uhusiano mzuri kati ya wazazi na watoto
kunaweza kukapangilia mambo yakaenda vizuri.
Iwapo jaribio la kuzungumza na wazazi wako halikufaulu,
unaweza ukazungumza na mtu mwingine unayemwamini ambaye
atakubali kuzungumza na wazazi wako. Kumbuka kwamba iwapo
bado unalazimishwa kufunga ndoa, unaweza kutoa taarifa polisi
kwa kuwa sheria ya Tanzania hairuhusu kulazimisha ndoa.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8b91ac4def8633f3ce644e14a4ebdd2d, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Jinsi ya Kujikinga na Mimba Kwa Ufanisi 🌟
Karibu vijana wenzangu! Leo, tutajadili njia ...
Read More
Je, umri unaathiri ngono/kufanya mapenzi katika uhusiano?
Hakuna jibu moja sahihi kwa swal...
Read More
Vijana wengi wanajikuta wanatumbukia katika matatizo mazito kama kupata mimba mapema, utoaji wa m...
Read More
Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Kufadhaika na Utendaji wa Ngono/Kufanya Mapenzi 😊🔥
...
Read More
Jeshi la polisi limeanza mikakati maalumu kuchunguza masuala
yote yanayohusu vitendo hivyo, ...
Read More
Mara nyingi utunguaji mimba nje ya mfuko wa uzazi hutokea kwa sababu ya maradhi kwenye via vya uz...
Read More
Je, kuna jukumu la kijamii katika maoni ya watu kuhusu ngono/kufanya mapenzi? Jibu ni ndiyo, kuna...
Read More
Je, Ni Sahihi Kuanza Kujihusisha na Ngono nikiwa na Mpenzi Wangu? 🤔
Jambo zuri kujiuliz...
Read More
Kila mwanamume anapenda kukutana na msichana ambaye anaweza kuwa rafiki wa karibu na kuwa na uhus...
Read More
Sifa Bora za Mwanamke: Jinsi ya Kumvutia Msichana Sahihi
Kila mwanaume anatamani kumpata m...
Read More
Leo tutazungumzia kuhusu kwa nini watu wanapendelea kujaribu aina mbalimbali za ngono/kufanya map...
Read More
Wakati mwingine, migogoro katika uhusiano wako na msichana inaweza kuonekana kama jambo lisilowez...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!