Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d6afa6b7a393158e5cc43fcacf3964e0, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Ni hatua zipi zinazochukuliwa na Serikali kuhusu matumizi na biashara haramu ya dawa za kulevya?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Serikali i i inatambua kukua kwa tatizo la dawa za kulevya nchini, kwani dawa za kulevya nyingi zinazotumika zinapitishwa na kuingizwa kwa magendo nchini. Kutokana na hali hii serikali imepitisha sheria kuhusu tuhuma za dawa za kulevya yaani Sheria ya Kuzuia Matumizi ya Dawa za Kulevya ya mwaka 1995.
Sheria hii i ii inatoa maelekezo ya kumshughulikia mtuhumiwa wa dawa za kulevya na hutoa adhabu kali kwa waliopatikana na hatia. Katika kusaidia vita dhidi ya dawa za kulevya, Serikali ya Tanzania iliunda tume ya wataalamu mwaka 1996 iitwayo Tume ya Taifa ya Kuzuia na Kuratibu Dawa za Kulevya ili kuendeleza vita hivyo.
Tume hii inawasaidia polisi, polisi wa mipakani na forodha ambao wanazuia uinizaji na usambazaji wa dawa za kulevya kupitia mipakani na kuharibu mashamba ya bangi na mirungi. Wakala hawa kwa sasa wanafanya kazi bega kwa bega na nchi jirani i i ili kuzuia uingizaji wa dawa za kulevya kupitia mipakani. Vilevile inaandaa wataalamu kwa kutumia ASIZE mbalimbali ambazo kazi zao ni kuelimisha jamii kuhusu athari na hatari ya dawa za kulevya na kuwasaidia waathirika.
Tume hii ya wataalamu vilevile inafikiria kuhusu kampeni za kitaifa zinazolenga kuelimisha kuhusu athari za dawa za kulevya. Lakini kazi ya tume hii ni ngumu kutekelezwa kwani vita dhidi ya dawa za kulevya ni jukumu la kila mtu na sio serikali peke yake. Inahitaji msaada kutoka kwa kila mtu na jamii kwa ujumla.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d6afa6b7a393158e5cc43fcacf3964e0, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Kujadili haki na usawa wa kijinsia katika ngono/kufanya mapenzi ni muhimu sana katika jamii yetu....
Read More
Watoto wengi wanaozaliwa na ualbino, wazazi wao wana rangi
ya ngozi, nywele na macho inayafa...
Read More
Habari zenu wapenzi wa Mapenzi! Kuna umuhimu mkubwa sana wa kujadili maoni na mitazamo yako kuhus...
Read More
Ubikira ni nini?:Β Maana halisi ya neno βbikiraβ ni mwanamke au mwanaume amb...
Read More
Leo, tutazungumzia jinsi ya kuanzisha mawasiliano ya kwanza na msichana. Ni muhimu sana kwa kila ...
Read More
Kuanza mazungumzo na msichana unayempenda inaweza kuwa vigumu, lakini pia inaweza kuwa jambo la k...
Read More
Je, Ni Vipi Kujilinda na Maambukizi ya Kisonono na Kaswende? π
Karibu, vijana wapendwa!...
Read More
Lengo kuu la kujamiiana ni kutafuta watoto. Lakini si sababu pekee. Sababu hizo ni pamoja na;
...
Read More
Serikali inatakiwa iamue kuwepo kwa matangazo ya biashara
ya pombe na sigara au la? Serikali...
Read More
Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Ujasiri kuhusu Ngono? π
Karibu kwenye makala h...
Read More
Imani hiyo si kweli kabisa. Inawezekana ni kupotoshwa kwa
makusudi wa ukweli kuhusu jambo hi...
Read More
Ile ngozi ndani ya uke i inabakia kuwa nyembamba na laini sana, hata mwanamke akiwa bikira katika...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!