Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dfeed2e262c577bf58635b5c83e85967, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Mama mwenye virusi vya UKIMWI na UKIMWI, anaweza kuzaa mtoto?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Na anaweza kumwambukiza mtoto aliye tumboni au wakati wa kumnyonyesha?
Ndiyo, mama mwenye virusi vya UKIMWI na UKIMWI anaweza kubeba mimba kama mwanamke mwingine yeyote. Ila ni muhimu kukumbuka kwamba kuna uwezekano wa mtoto kuambukizwa na Virusi vya UKIMWI.
Lakini siyo watoto wote waliozaliwa na mama mwenye maambukizi watabeba virusi. Kuwa moto ataambukizwa au hataambukizwa i itategemea na i idadi ya virusi ambavyo viko kwenye damu ya mama na sababu nyingine. Tafiti zimeonyesha kwamba watoto wawili kati ya watoto watatu waliozaliwa na akina mama wenye maambukizi ya Virusi huambukizwa na hivyo virusi.
Pamoja na hayo, mama mwenye virusi vya UKIMWI anaweza kumwambukiza mtoto wake wakati wa kumnyoshesha kwa sababu ya kuwepo virusi kwenye maziwa ya mama. Akina mama walio na maambukizi ya UKIMWI na UKIMWI wanashauriwa kuacha kuzaa na kutumia njia za uzazi wa mpango
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dfeed2e262c577bf58635b5c83e85967, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Uvutaji wa aina zote una madhara. Kama utavuta sigara na
kuvuta moshi kwa kutumia mdomo hadi...
Read More
Hapana, huwezi kuwatoa wadudu wa magonjwa ya zinaa kwa njia ya kuoga baada ya kujamiiana. Wadudu ...
Read More
Mawasiliano mazuri ya ana kwa ana na msichana ni muhimu sana katika uhusiano wowote. Ni njia bora...
Read More
Je, ni muhimu kuzungumzia upendeleo wako wa ngono kabla ya kuingia katika uhusiano? Jibu ni ndio!...
Read More
Nifanyeje Kuzungumzia Suala la Kukosa Hamu ya Ngono? 😊
-
Jambo la kwanza kabisa...
Read More
Mazungumzo ni sehemu muhimu katika uhusiano wowote wa kimapenzi. Lakini kuna wakati mazungumzo ya...
Read More
Je, kuna jukumu la kijamii katika maoni ya watu kuhusu ngono/kufanya mapenzi? Jibu ni ndiyo, kuna...
Read More
Nifanyeje Kujielewa na Kuelewa Thamani yangu katika Mahusiano ya Ngono? 🌟
Asante kwa ku...
Read More
Watoto wengi wanaozaliwa na ualbino, wazazi wao wana rangi
ya ngozi, nywele na macho inayafa...
Read More
Ndiyo, mwanaume ambaye ana uwezo wa kumwaga mbegu bila shida anaweza kuwa mgumba. Kutokuwa mgumba...
Read More
Kila mwanamume anataka kuwa na muda mzuri wa kutuliza na msichana wake. Lakini, wakati mwingine n...
Read More
Je, kuna umuhimu wa kuelewa na kuheshimu dini na imani za mwenza wako kuhusu ngono/kufanya mapenz...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!