Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_56eac2d570e506b314560eb28f0a854c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI
Date: January 1, 2015
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa kutoa misaada/ kwa wanaokukimbilia katika matatizo yao mazito./ Pia ni mwombezi wa waliopondeka moyo./
Mimi ni mmoja wa hao./ Nakujia na moyo uliojaa shida na matatizo./ Nakusihi kwa moyo wote/ unisaidie kwa maombezi yako yenye nguvu/ kufikia utatuzi unaofaa kadiri ya mapenzi ya Mungu./ Maisha yangu yamejaa misalaba,/ siku kwa siku matatizo hayapungui./ Moyo wangu umekuwa bahari ya siki chungu sana./ Mapito yangu nayaona yamejaa miiba mikali./ Roho yangu imezama katika dimbwi la machozi na kite./ Nafsi yangu imezingirwa na giza nene./ Ghasia na kukatishwa tamaa ya kuishi/ hunyemelea roho yangu./ Maongozi ya Mungu na imani naviona vinanitoka kidogo kwa kidogo./
Nikielemewa na mawazo kama hayo/ najikuta sina nguvu za kuishi,/ na maisha kwangu ni msalaba mzito/ ninaouogopa hata kuunyakua./ Wewe unaweza kabisa kunitoa katika balaa hili./ Sitaacha kukusihi/ hadi hapo utakaponisaidia/ au kunijulisha mapenzi ya Mungu kwangu./ Natangulia kutoa shukrani kwa jibu liwalo lote.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_56eac2d570e506b314560eb28f0a854c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na...
Read More
Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga...
Read More
1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA
2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI...
Read More
Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ...
Read More
TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA
BABA YETU…………â...
Read More
Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate...
Read More
Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ...
Read More
Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal...
Read More
- Bwana utuhurumie
- Bwana utuhurumie
- Kristo utuhurumie
- Bwana utuhurumie...
Read More
Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush...
Read More
Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.
Kwenye Msalaba Sali:
...
Read More
Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka...
Read More
Elijah Mutua (Guest) on July 22, 2024
Rehema zake hudumu milele
Ann Awino (Guest) on May 8, 2024
ðŸ™ðŸ’– Mungu wetu asifiwe
David Chacha (Guest) on March 26, 2024
ðŸ™âœ¨â¤ï¸ Neema za Mungu zikufunike
Betty Kimaro (Guest) on January 26, 2024
ðŸ™â¤ï¸ Mungu ni mkombozi
David Sokoine (Guest) on October 8, 2023
ðŸ™ðŸ’–💫 Mungu ni mwema
Nancy Kabura (Guest) on August 29, 2023
ðŸ™â¤ï¸ðŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai
Mary Kidata (Guest) on August 26, 2023
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Rose Waithera (Guest) on April 17, 2023
ðŸ™â¤ï¸ Mungu ni mlinzi wetu
Alex Nyamweya (Guest) on March 9, 2023
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Jane Muthoni (Guest) on January 20, 2023
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Ann Awino (Guest) on January 12, 2023
ðŸ™ðŸ’–✨ Neema yako ni ya kutosha
Betty Cheruiyot (Guest) on January 2, 2023
ðŸ™â¤ï¸ Mungu ni mwaminifu
Grace Majaliwa (Guest) on November 15, 2022
ðŸ™ðŸ’– Asante kwa neema zako Mungu
David Nyerere (Guest) on August 1, 2022
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Grace Mligo (Guest) on June 27, 2022
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Janet Wambura (Guest) on May 27, 2022
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Esther Cheruiyot (Guest) on May 26, 2022
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Mercy Atieno (Guest) on May 14, 2022
ðŸ™âœ¨ðŸ’– Mungu atajibu maombi yako
Joy Wacera (Guest) on December 1, 2021
Nakuombea ðŸ™
Charles Mboje (Guest) on November 29, 2021
ðŸ™ðŸŒŸ Mbarikiwe sana
Kevin Maina (Guest) on November 18, 2021
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Linda Karimi (Guest) on August 30, 2021
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Alice Mrema (Guest) on July 17, 2021
Baraka kwako na familia yako.
Ann Awino (Guest) on May 7, 2021
ðŸ™ðŸ™ðŸ™
Patrick Kidata (Guest) on May 4, 2021
Endelea kuwa na imani!
Janet Mbithe (Guest) on April 19, 2021
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Catherine Mkumbo (Guest) on January 26, 2021
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Alex Nyamweya (Guest) on January 12, 2021
ðŸ™âœ¨ Mungu atakuinua
Grace Majaliwa (Guest) on December 29, 2020
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Michael Mboya (Guest) on December 13, 2020
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Philip Nyaga (Guest) on November 22, 2020
ðŸ™ðŸ’– Nakushukuru Mungu
John Malisa (Guest) on October 23, 2020
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Sharon Kibiru (Guest) on October 23, 2020
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Kevin Maina (Guest) on September 29, 2020
ðŸ™ðŸŒŸâ¤ï¸ Nakuombea heri
Victor Mwalimu (Guest) on March 14, 2020
ðŸ™â¤ï¸ðŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote
Grace Njuguna (Guest) on December 25, 2019
Amina
David Ochieng (Guest) on October 20, 2019
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
George Mallya (Guest) on September 12, 2019
Neema na amani iwe nawe.
Lucy Kimotho (Guest) on September 1, 2019
Sifa kwa Bwana!
Mary Kidata (Guest) on August 29, 2019
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Victor Kimario (Guest) on August 18, 2019
ðŸ™ðŸ™ðŸ™
Faith Kariuki (Guest) on July 17, 2019
Rehema hushinda hukumu
Anna Mahiga (Guest) on May 25, 2019
ðŸ™â¤ï¸ðŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe
Henry Sokoine (Guest) on April 13, 2019
Imani inaweza kusogeza milima
Samuel Omondi (Guest) on April 5, 2019
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Mariam Kawawa (Guest) on April 1, 2019
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Victor Malima (Guest) on March 20, 2019
ðŸ™âœ¨â¤ï¸ Tumwombe Mungu kila siku
Edward Lowassa (Guest) on February 2, 2019
ðŸ™â¤ï¸ Mungu akubariki
Betty Akinyi (Guest) on January 29, 2019
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Brian Karanja (Guest) on January 6, 2019
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Josephine Nduta (Guest) on January 2, 2019
ðŸ™âœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Andrew Mahiga (Guest) on November 4, 2018
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Miriam Mchome (Guest) on July 14, 2018
Mungu akubariki!
Joseph Njoroge (Guest) on June 16, 2018
ðŸ™â¤ï¸âœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Victor Sokoine (Guest) on April 15, 2018
Dumu katika Bwana.
Agnes Sumaye (Guest) on April 7, 2018
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Joseph Kitine (Guest) on February 4, 2018
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
George Wanjala (Guest) on December 18, 2017
Mungu ni mwema, wakati wote!
David Sokoine (Guest) on November 19, 2017
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Nancy Akumu (Guest) on September 26, 2017
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.