Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dd900e063d52d18700c8e2543487c9ea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dd900e063d52d18700c8e2543487c9ea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dd900e063d52d18700c8e2543487c9ea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dd900e063d52d18700c8e2543487c9ea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dd900e063d52d18700c8e2543487c9ea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Njia za kuamsha hamu ya kufanya mpenzi ya mwanamke

Featured Image

Njia za kuamsha hamu ya kufanya mpenzi ya mwanamke au Hatua za kufuata kuamsha hisia za mwanamke ni kama ifuatavyo


Andaa mazingira


Andaa mazingira ya kuamsha hisia zake, fanya kitu kitakachowasogeza karibu na kuamsha hisia zake Kwenye akili yake kabla ya kugusa mwili. Mfano, weka mziki au muvi nzuri n.k. Kisha tengeneza mazingira ya kuwa karibu kimwili na kugusana.


 

Kaa kwa kubanana naye


Unapokuwa na mwanamke ambaye umemzimia, tafuta kisababu cha kukaa na yeye karibu. Toa simu muangalie pamoja videos kama vile za kuchekesha, ama unaweza kuchukua kitabu/gazeti umuonyeshe habari ambazo anapenda ilimradi tuu muwe karibu.


Usimwonyeshe/usiongee wazi kile unachotaka


Usijaribu kutumia lugha ya kutongoza ama utamfanya aanze kukushuku. Tayari anajua kuwa miguso ya mikono yako ya mara kwa mara inaashiria kitu fulani. Kile unachotakiwa kufanya ni kuivuruga akili yake kwa kuleta mada ambayo itamvutia huku ukiendelea gusa mwili wake


 

Anza kutumia lugha ya kumsuka


Wakati mtakuwa mnaendelea unaweza kutumia maneno ya kumsuka lakini yawe ya kichini chini. Mfano unaweza kumwambia "Unanukia utamu", "nimependa kitambaa cha nguo yako","nishawahi kukuambia kuwa macho yako yanapendeza? Nimependa vile yanang'aa nikiwa karibu yako." Maneno kama haya unaweza kumrushia mwanamke huyu bila hata yeye kusongea mbali na wewe. Mwanzo atakuwa anapenda kuyaskia.


Isome miondoko yake


Ukianza kumuona anazungumza polepole na kukusongelea karibu yako, ishara kuu ni kuwa yupo tayari. Kwa hiyo kufikia hapa unaweza kurudia hatua za kumsuka, kumgusa na kujaribu kufikia viungo vyake vingine vya mwili ilimradi nyote wawili mnafurahia.


 

Mbusu


Baada ya kuandaa mudi au mazingira na kuamsha hisia zake sasa tafuta namna ya kumbusu. Mbusu taratibu kwa namna ambayo haitamshtua na kumfanya aogope au akatae.


Mhikeshike


Wakati wa kumbusu mshike mwili wake ili kuamsha hisia zake. Anza na mikono kasha rudi kichwani Kwenye nywele zake na kisha maliza sehemu nyingine za kuamsha hisia zake


Usimlazimishe bali mbembeleze


Kama hataki usimlazimishe bali mbembeleze au muache mpaka wakati mwingine atakapokuwa tayari.


 

NB: Ni makosa makubwa na ni dhambi kufanya mapenzi kabla ya ndoa. Mbinu hizi zitumie kwa mwenzi wako wa ndoa






Yafahamu Mambo Mbalimbali kuhusiana na Wanawake kwa Ku-Download Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE




Kitabu hiki kina topiki Zifuatazo;
1. Mambo anayohitaji mwanamke kutoka kwa Mwanaume
2. Mambo yanayowavutia wanawake kutoka kwa wanaume
3. Mambo wanayoyapenda wanawake wakati wa kufanya mapenzi
4. Dalili za mwanamke kicheche
5. Maswali ya kujiuliza kama mwanamke anakupenda kwa dhati au anakudanganya
6. Tabia za mwanamke anayekupenda lakini hawezi kusema
7. Ishara za mwanamke aliyevutiwa na wewe
8. Dalili za mwanamke anayeelekea kukukubali
9. Mambo ambayo mwanamke hawezi kukwambia
10. Njia za kudumisha na kuamsha mapenzi na mwanamke





Kitabu hiki ni Soft copy [pdf] kwa hiyo unaweza kusoma moja kwa moja kirahisi kabisa hata kwenye simu yako. Utatumiwa Kopi ya kitabu hiki kwenye email yako na utaweza kukihifadhi na kusoma wakati wowote utakaotaka.





[products columns="2" ids="30827"]


AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dd900e063d52d18700c8e2543487c9ea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, watu wanapendelea kutumia muda mwingi katika mchezo wa hatua wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanapendelea kutumia muda mwingi katika mchezo wa hatua wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Habari yako rafiki, leo tutajadili kuhusu swali linaloulizwa sana kuhusu watu kwa nini wanapendel... Read More

Jinsi ya Kujenga Furaha ya Kijinsia baada ya Kuzaa: Kurejesha Ukaribu

Jinsi ya Kujenga Furaha ya Kijinsia baada ya Kuzaa: Kurejesha Ukaribu

Kuzaa ni tukio lenye changamoto nyingi kwa mama na baba pia. Baada ya kuzaa, mama mara nyingi huw... Read More

Angalia binadamu walivyo

Angalia binadamu walivyo

Angalia Binadamu walivyo!,

"Ukitafuta sana anakuita MCHAWI,"

Ukifanikiwa sio BURE,Read More

Kukabiliana na Mazoea ya Kutokuwa na Msamaha katika Familia: Kuhamasisha Uwazi na Urejesho

Kukabiliana na Mazoea ya Kutokuwa na Msamaha katika Familia: Kuhamasisha Uwazi na Urejesho

Familia ni moja ya maeneo muhimu sana katika maisha ya mwanadamu. Hata hivyo, mara nyingi tunakab... Read More

Ushauri wa ukweli Ili Uwe mwanaume wa Ukweli

Ushauri wa ukweli Ili Uwe mwanaume wa Ukweli

1. Ukija kijiweni au pub au kwenye nyama choma acha zile stori za sijui umesoma wapi hadi wapi, s... Read More

Kukabiliana na Mazoea ya Kukosa Heshima katika Mahusiano: Kuweka Mipaka na Kuheshimiana

Kukabiliana na Mazoea ya Kukosa Heshima katika Mahusiano: Kuweka Mipaka na Kuheshimiana

Habari za leo wapenzi wa Kiswahili! Leo tutajadili kuhusu kukabiliana na mazoea ya kukosa heshima... Read More

Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na changamoto za kusaidia na kuwajali watu wenye matatizo ya kiafya ya akili

Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na changamoto za kusaidia na kuwajali watu wenye matatizo ya kiafya ya akili

Watu wengi huwa na matatizo ya kiafya ya akili na hukabiliana na changamoto nyingi za kila siku. ... Read More

Kuimarisha Mazungumzo ya Uaminifu na Heshima katika Mahusiano

Kuimarisha Mazungumzo ya Uaminifu na Heshima katika Mahusiano

Mahusiano yoyote yana uzoefu wa changamoto, lakini kuwa na mazungumzo ya uaminifu na heshima ndiy... Read More

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu maadili na maadili ya familia

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu maadili na maadili ya familia

Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu maadili na maadili ya familia ni muhimu kwa kujenga msingi imara k... Read More
Kuhamasisha Upendo na Kuonyesha Upendo katika Kila Siku ya Familia

Kuhamasisha Upendo na Kuonyesha Upendo katika Kila Siku ya Familia

Kuhamasisha Upendo na Kuonyesha Upendo katika Kila Siku ya Familia

Familia ni chanzo muhim... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme katika Kufanya Mapenzi

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme katika Kufanya Mapenzi

Siku zote kumekuwa na tofauti kati ya mwanamke na mwanamme katika kufanya mapenzi. Ingawa wote wa... Read More

Jinsi ya Kujenga Imani na Kujiamini katika Mahusiano

Jinsi ya Kujenga Imani na Kujiamini katika Mahusiano

Mahusiano ni sehemu muhimu ya maisha yetu ya kila siku. Lakini kufanya kazi kwa mahusiano yako in... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dd900e063d52d18700c8e2543487c9ea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact