Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dd900e063d52d18700c8e2543487c9ea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dd900e063d52d18700c8e2543487c9ea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dd900e063d52d18700c8e2543487c9ea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dd900e063d52d18700c8e2543487c9ea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dd900e063d52d18700c8e2543487c9ea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Mambo 5 ambayo wanawake wanatamani mwanaume ajue wakati wa kufanya mapenzi

Featured Image

Hivi ni baadhi ya vitu ambavyo wanawake hutamani sana wanaume zao wawe wanajua katika mapenzi, ili wasipate shida ya kumwambia mara kwa mara, jambo ambalo si wanawake wengi huwa uwezo wa kumwambia mtu, hapo ndipo unakuta mara nyingi mwanamke anaanza kuchepuka na kwenda kwa mtu mwingine wa kawaida tu kupata mahitaji yake baada ya kuona kile anachokitaka hakipati kwa mpenzi wake.


 

Yafuatayo ni mambo ambayo wanawake wanapenda wanaume wayajue hata kabla ya kuambiwa;


1. Wanawake wanapenda ufuate anachokitaka


Katika mapenzi wanawake wanapenda ufanye kile wanachokitaka japo ni vigumu kujua mwanamke anapenda nini. Kwa hiyo kama ni vigumu kujua kitu gani anapenda basi ni vizuri kuwa makini na kugundua ni kitu gani hapendi ili usimfanyie ambacho hapendi na ufanye anachopenda. Japokuwa si wanawake wote wanaweza kukwambia ni nini hasa kinawauzi, kuogopa kukuudhi, hivyo inawafanya wapate shida sana na kuweka maisha yao yawe magumu. Kwa sababu hiyo wewe kama mwanaume unapaswa kuwa makini na matendo yao ili kujua tofauti ya vitu ambavyo hawapendi na vile vinavyowapa furaha. Kisha fanya vile wanavyovipenda.


2. Hupendelea tendo la ndoa lidumu muda mrefu


Wanawake hupenda tendo la ndoa lidumu walau kwa dakika mbili. Na wanatamani ikiwezekana hata ikibidi ifanyike siku nzima. Sio muda tuu ndio muhimu bali hata kile unachofanya. Wanaume wengi kujali kujizuia, ilimradi wakae muda mrefu katika tendo, lakini kutokana na tafiti hili sio sababu, wanawake wengi hupenda zaidi ya muda mrefu, hupenda kuungana na wewe kihisia kupitia kushikana, kubusu nakadhalika. Wakati wanaume wengi huwa hawafanyi na kukazania tu kukaa muda mrefu kujua kuwa ndio wanawake wanachotaka. Kwa hiyo wanapenda tendo la ndoa lidumu lakini lisichoshe.


 

3. Wanataka mwanaume jasiri sio anayetumia nguvu


Wanawake wanataka wanaume walio jasiri wa kufanya nasio wanaotumia nguvu na ubabe. Wanaume wengi huwa hawajui tofauti ya ujasiri na kutumia nguvu, hivyo wasikiapo kuwa inabidi uwe na ujasiri wanadhani kuwa kuna kutumia nguvu na mwisho kuwaumiza wapenzi wao, wanawake wengi wamekuwa wakikerwa na kuogopeshwa na mambo ambayo hufanyiwa na wanaume zao, kipindi ambacho wanaume wakufikiri kufanya hivyo ni kuwa na ujasiri. Wanawake hutamani sana wanaume wangejirekebisha na kujua maana halisi ya kuwa na ujasiri kwamba sio kutumia nguvu na ubabe.


4. Wanawake hawafanani


Wanawake wanapenda wanaume wajue kuwa sio wanawake wote hupenda vitu sawa. Wanaume wengine hufikiri kuwa kwa sababu mpenzi wake wa zamani alikua anapenda kufanyiwa alikuwa basi na huyu wa sasa atakuwa hivyo hivyo, hii inatokea kuwachanganya sana wanawake, na kukereka kwa baadhi ya mambo, huku mwanamke akiwa hana jinsi bali kuvumilia tu, na mwisho wa siku ndio unakuta, ananza kutafuta njia ya kukukwepa. Kwa hiyo mwanamme anatakiwa amjue mpenzi wake kibinafsi yeye kama yeye na sio kumjua kwa kumfananisha na wanawake wengine. Mwanamme amfanyie mpenzi wake kama anavyopendelea na sio kama anavyofikiri wanawake wanapendelea.


 

5. Kumfurahisha mwanamke sio ufundi tuu bali ni mapenzi


Wanawake wanapenda kuonyeshwa upendo au mapenzi ya dhati. Wanawake wengi hukubali kuwa kuna wanume wenye ufundi na uzoefu katika haya mapenzi, ila wanasema hiyo sio kitu bora zaidi, wanachokitaka ni mapenzi, kuonyesha mapenzi na dalili zote za kumjali ndio jambo muhimu sana. Mapenzi ni kichocheo kikubwa cha kumridhisha mwanamke.






Yafahamu Mambo Mbalimbali kuhusiana na Wanawake kwa Ku-Download Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE




Kitabu hiki ni Soft copy [pdf] kwa hiyo unaweza kusoma moja kwa mojakirahisi kabisa kwenye simu yako.





[products columns="2" ids="30827"]


AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dd900e063d52d18700c8e2543487c9ea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Jinsi ya Kuimarisha uaminifu katika uhusiano na mpenzi wako

Jinsi ya Kuimarisha uaminifu katika uhusiano na mpenzi wako

Kuimarisha uaminifu katika uhusiano na mpenzi wako ni muhimu kwa ustawi na nguvu ya uhusiano wenu. H... Read More
Kutumia Vifaa vya Kufanya Mapenzi: Kuingiza Burudani katika Uhusiano wako

Kutumia Vifaa vya Kufanya Mapenzi: Kuingiza Burudani katika Uhusiano wako

  1. Kuweka Burudani katika Uhusiano wako

Uhusiano wa kimapenzi unaweza kuhitaji u... Read More

Kuweka Kipaumbele cha Kuimarisha Ushirikiano wa Kiroho katika Familia Yako

Kuweka Kipaumbele cha Kuimarisha Ushirikiano wa Kiroho katika Familia Yako

Kuweka Kipaumbele cha Kuimarisha Ushirikiano wa Kiroho katika Familia Yako

Familia ni nguz... Read More

Jinsi ya Kujenga Maadili na Maadili Mazuri katika Familia

Jinsi ya Kujenga Maadili na Maadili Mazuri katika Familia

Kujenga maadili na maadili mazuri katika familia ni muhimu sana ili kuhakikisha kuwa familia inak... Read More

Kujenga Mazoea ya Kuonyeshana Upendo na Kuthamini katika Familia Yako

Kujenga Mazoea ya Kuonyeshana Upendo na Kuthamini katika Familia Yako

Karibu katika makala yetu kuhusu "Kujenga Mazoea ya Kuonyeshana Upendo na Kuthamini katika F... Read More

Kujiamini Katika Kufanya Mapenzi: Jinsi ya Kukuza Kujiamini

Kujiamini Katika Kufanya Mapenzi: Jinsi ya Kukuza Kujiamini

Kujiamini Katika Kufanya Mapenzi: Jinsi ya Kukuza Kujiamini

Mapenzi ni sehemu muhimu sana ... Read More

Kujenga Mawasiliano ya Amani na Furaha katika Familia Yako

Kujenga Mawasiliano ya Amani na Furaha katika Familia Yako

Leo hii, tutajadili umuhimu wa kujenga mawasiliano ya amani na furaha katika familia yako. Kwa ku... Read More

Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na changamoto za kukabiliana na msongo wa mawazo na mpenzi wako

Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na changamoto za kukabiliana na msongo wa mawazo na mpenzi wako

Hakuna kitu kibaya kama kuwa na mpenzi wako ambaye ana msongo wa mawazo. Inaweza kuwa ngumu kwa w... Read More

Kuweka Kipaumbele cha Furaha na Ustawi wa Kila Mwanafamilia katika Familia Yako

Kuweka Kipaumbele cha Furaha na Ustawi wa Kila Mwanafamilia katika Familia Yako

Kuweka Kipaumbele cha Furaha na Ustawi wa Kila Mwanafamilia katika Familia Yako

Familia ni... Read More

Kupata Urahisishaji na Kusaidia katika Masuala ya Kufanya Mapenzi: Njia za Kuomba Msaada

Kupata Urahisishaji na Kusaidia katika Masuala ya Kufanya Mapenzi: Njia za Kuomba Msaada

Kupata urahisishaji na kusaidia katika masuala ya kufanya mapenzi ni muhimu sana kwa wapenzi wote... Read More

Kuweka Misingi ya Amani na Furaha katika Familia Yako

Kuweka Misingi ya Amani na Furaha katika Familia Yako

Ikiwa unataka kuwa na familia yenye amani na furaha, ni muhimu kuweka misingi sahihi. Kuweka misi... Read More

Jinsi ya Kuweka Mipaka ya Familia: Kuimarisha Uhusiano na Kuheshimu Uhuru wa Kila Mtu

Jinsi ya Kuweka Mipaka ya Familia: Kuimarisha Uhusiano na Kuheshimu Uhuru wa Kila Mtu

  1. Kuweka mipaka ya familia ni jambo muhimu sana katika kuboresha uhusiano kati ya wanafam... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dd900e063d52d18700c8e2543487c9ea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact