Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1191806f66bedd13e627e604323fed36, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1191806f66bedd13e627e604323fed36, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1191806f66bedd13e627e604323fed36, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1191806f66bedd13e627e604323fed36, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
โ˜ฐ
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1191806f66bedd13e627e604323fed36, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Jifunze kitu Kwenye mfano huu kuhusu Maombi na kuomba

Featured Image

Nabii mmoja aliumwa
na Jino, lilimtesa sanaโ€ฆ
Akapiga magoti kumlilia
Mungu ili amponye..
Mungu akamuonesha mti
flani ili majani yake
Yapate kumtibu..
Akaenda kwenye mti ule,
Akachukua majani yake
akatumia na kweli
akaponaโ€ฆ
Baada ya Muda Mrefu
Kupita, nabii yule aliumwa
na Jino tenaโ€ฆ
Safari Hii alienda
moja kwa moja kwenye mti
Na kuchuma majani yake
na kuyatumia,Lakini
hakupona..
Akaja tena Kwa Mungu
na kumwambiaโ€ฆ
"Mbona ule mti niliutumia
Haukuniponyesha kama
Wakati ule? "
Mungu akamjibuโ€ฆ
"Mara ya Mwanzo ulipona
Kwa kuwa
ulinitegemea mimi, mara ya
Pili hakupona kwa kuwa
Uliutegemea Mti"..

KILA WAKATI TUNAPASWA
KUMUOMBA NA
KUMTEGEMEA MUNGU,
HATA KAMA KWA JAMBO
AMBALO ALISHATUJIBU..
KWA KUTOKUFANYA HIVYO
NDIYO MAANA MARA
KADHAA
TUNAKOSA MAFANIKIOโ€ฆ

โœ”Tulipooomba mchumba
Tulipompata
Hatukuombea Ulinzi wa
ndoa zetu, matokeo yake
Ni vilio kwenye ndoa
Karibu zote..

โœ” Tuliomba watoto,
Tulipowapata
muda mwingi tukatumia
Akili zetu kuwalea
Na kusahau kumshirikisha
Mungu katika malezi yao,
mwisho wa yote
Tunaishia kusema
Watoto wa siku hiziโ€ฆ

โœ” Tuliomba kazi kwa Mungu ,
Tulipopata tukaanza
Kutumia akili zetu katika
Kazi hizo na kuanza
Kudharau wenzetu na
Kuzisaliti ndoa
na familia zetu..
โ–ช Familia zinaliaโ€ฆ
โ–ช Watoto wanalia
Baraka zitatoka wapi?

โ–ช Kabla ya Kupata kazi
Tulikuwa Hatukosi
Kanisani,
Hakukosi kwenye
Maombiโ€ฆ
TUMEPATA KAZI
TUMEKUWA BIZE
HAKUNA MAOMBI
WALA KANISANI..
Baraka zitokee wapi?
Mafanikio yatoke wapi?
Mshahara mkubwa
Lakini madeni kila siku,
Tena tunakopeshwa na
Tuliowazidi mshaharaโ€ฆ

Wapendwa tustuke..
Tumrudie Munguโ€ฆ
Tusisingizie uchawi..
Tumejiroga wenyewe..

Tumuweke Mungu mbele..

Tafakari chukua hatua

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1191806f66bedd13e627e604323fed36, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mary Sokoine (Guest) on June 8, 2024

Imani inaweza kusogeza milima

Alice Mwikali (Guest) on May 3, 2024

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Anna Mahiga (Guest) on September 4, 2023

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Rose Kiwanga (Guest) on August 17, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

George Mallya (Guest) on July 6, 2023

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Samuel Were (Guest) on May 26, 2023

Rehema hushinda hukumu

Janet Wambura (Guest) on April 28, 2023

Baraka kwako na familia yako.

Mariam Hassan (Guest) on April 19, 2023

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Joy Wacera (Guest) on February 16, 2023

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Bernard Oduor (Guest) on February 4, 2023

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Grace Mligo (Guest) on July 21, 2022

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

David Musyoka (Guest) on May 24, 2022

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Brian Karanja (Guest) on March 19, 2022

Neema ya Mungu inatosha kwako

Stephen Amollo (Guest) on February 9, 2022

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Lucy Wangui (Guest) on October 23, 2021

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Mary Sokoine (Guest) on September 24, 2021

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Moses Kipkemboi (Guest) on April 16, 2021

Katika imani, yote yanawezekana

Josephine Nduta (Guest) on April 3, 2021

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Victor Mwalimu (Guest) on March 9, 2021

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

George Ndungu (Guest) on January 9, 2021

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Isaac Kiptoo (Guest) on September 1, 2020

Mungu akubariki!

Sarah Achieng (Guest) on July 26, 2020

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Anna Mahiga (Guest) on July 21, 2020

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Peter Mugendi (Guest) on June 22, 2020

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Edith Cherotich (Guest) on April 25, 2020

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Martin Otieno (Guest) on March 24, 2020

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Mary Njeri (Guest) on March 5, 2020

Tumaini ni nanga ya roho

Stephen Kangethe (Guest) on February 2, 2020

Sifa kwa Bwana!

David Musyoka (Guest) on February 1, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Charles Wafula (Guest) on December 5, 2019

Dumu katika Bwana.

Monica Lissu (Guest) on September 2, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Ruth Kibona (Guest) on August 20, 2019

Neema na amani iwe nawe.

George Wanjala (Guest) on August 17, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Diana Mumbua (Guest) on June 15, 2019

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Joyce Aoko (Guest) on April 6, 2019

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Stephen Malecela (Guest) on January 5, 2019

Mungu ni mwema, wakati wote!

Joseph Kawawa (Guest) on November 13, 2018

Mwamini katika mpango wake.

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 20, 2018

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Joyce Aoko (Guest) on January 23, 2018

Nguvu hutoka kwa Bwana

Simon Kiprono (Guest) on November 18, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Nora Kidata (Guest) on September 21, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

James Kawawa (Guest) on February 23, 2017

Rehema zake hudumu milele

Charles Mchome (Guest) on January 10, 2017

Nakuombea ๐Ÿ™

Andrew Mchome (Guest) on May 11, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Paul Ndomba (Guest) on April 13, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Ruth Kibona (Guest) on October 26, 2015

Mwamini Bwana; anajua njia

Peter Mwambui (Guest) on October 25, 2015

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Stephen Malecela (Guest) on September 22, 2015

Endelea kuwa na imani!

George Ndungu (Guest) on June 21, 2015

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Samuel Were (Guest) on May 8, 2015

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Related Posts

Jinsi Bikira Maria anavyoelezwa Katika dini ya Kiislamu

Jinsi Bikira Maria anavyoelezwa Katika dini ya Kiislamu

Read More
Mafundisho ya kumfundisha mtu mzima kabla ya ubatizo wa hatari

Mafundisho ya kumfundisha mtu mzima kabla ya ubatizo wa hatari

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ubatizo?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ubatizo?

Sakramenti ya Ubatizo ni mojawapo ya mambo muhimu sana katika Kanisa Katoliki. Ubatizo unakusudia... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu utunzaji wa mazingira?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu utunzaji wa mazingira?

Kanisa Katoliki limekuwa likitangaza utunzaji wa mazingira kama jukumu la kikristo kwa miaka ming... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ekaristi Takatifu kuwa Mwili na Damu ya Yesu Kristo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ekaristi Takatifu kuwa Mwili na Damu ya Yesu Kristo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ekaristi Takatifu kuwa Mwili na Damu ya Yesu Kristo?... Read More

Majivuno na Kujikweza Mbele ya Mungu

Majivuno na Kujikweza Mbele ya Mungu

Read More
Ibada Kuu ya Huruma ya Mungu: Kupokea Baraka Tele

Ibada Kuu ya Huruma ya Mungu: Kupokea Baraka Tele

Ibada Kuu ya Huruma ya Mungu: Kupokea Baraka Tele

Kama Mkristo, tunaamini kuwa huruma ya M... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Yesu Kristo?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Yesu Kristo?

Habari za leo kwa wapenzi wa Yesu Kristo? Leo nitapenda kuzungumzia kuhusu imani ya Kanisa Katoli... Read More

Ibada ya Chaplet ya Huruma ya Mungu: Sala ya Upatanisho na Ukombozi

Ibada ya Chaplet ya Huruma ya Mungu: Sala ya Upatanisho na Ukombozi

Ibada ya Chaplet ya Huruma ya Mungu: Sala ya Upatanisho na Ukombozi

Sala ni njia ya kuwasi... Read More

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Roho Mtakatifu kama Mungu aliye hai?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Roho Mtakatifu kama Mungu aliye hai?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Roho Mtakatifu kama Mungu aliye hai? Jibu fupi ni ndiyo, Kanisa l... Read More

Biblia inavyothibitisha kuwa Bikira Maria Mama wa Yesu ni Mama wa Wakristu Wote

Biblia inavyothibitisha kuwa Bikira Maria Mama wa Yesu ni Mama wa Wakristu Wote

Read More
Njia Bora ya Kuelewa Masomo ya Misa ya Dominika ya Jumapili

Njia Bora ya Kuelewa Masomo ya Misa ya Dominika ya Jumapili

Njia Bora ya Kuelewa Masomo ya Misa ya Dominika ya Jumapili

Moyo wangu unajaa furaha na sh... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1191806f66bedd13e627e604323fed36, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3