Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_02310e2259ad721bd2d9e3f9c23697db, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_02310e2259ad721bd2d9e3f9c23697db, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_02310e2259ad721bd2d9e3f9c23697db, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_02310e2259ad721bd2d9e3f9c23697db, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_02310e2259ad721bd2d9e3f9c23697db, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Featured Image

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu.
Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika
mwaka mmoja tu,baada ya wanandoa kugundua
hawakuwa wakipendana!

2. NDOA YA MIHEMKO (NYEGE)

Hufungwa na vijana wenye umri wa miaka kati
mume18 mke 16.Huvunjika baada ya miaka 3 au
4 ya ndoa.

4. NDOA YA MAONYESHO

Wenye ndoa Hii hupenda kujionyesha
barabarani.Ila ndani hazina utii.Hupigana kila
wanaporudi kutoka kwenye mizunguko. Cha
kushangaza huwa hazivunjiki lakini ndiyo ndoa
zinazoongoza kwa kuchepuka!

5. NDOA YA UHAMISHO.

Hufungwa na watumishi wa vijijini na mjini. Ili wa
kijijini ahamie mjini.Mahari utoa anaetaka
kuhamia mjini. Hata kama mahari atatoa mume
lakini hii ndiyo ndoa yenye ukakasi
zaidi.Huvunjika mara tu wanapoanza kuishi wote
mjini. Salama ya hii ndoa ni kuhama kutoka mjini
kwenda kijijini.

6. NDOA YA MIMBA.

Hufungwa kwa sababu wanaoowana hawataki
kuonekana makwao kuwa wamezaa nje. Au
muolewaji alikuwa hampendi muoaji kwa
dhati.Muoaji hutumia mimba kama mtego wa
kuingia ndoani. Hii huvunjika mtoto akizaliwa na
kufikisha mwaka 1.

7. NDOA YA MALI (UTAJIRI)

Muolewaji miaka 18 au 28 Muoaji 65 au 70.Ndoa
hii pia huitwa ndoa ya babu na mjuukuu. Ndoa ya
aina hii hudumu, kwasababu mwenye kauli ni
mwenye mali. Asilimia kubwa ya waume wa ndoa
hizi hulea watoto wasio wao.

8. NDOA YA KWASABABU.

Hufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
aonekane tu kwa jamii kuwa naye kaoa au
kaolewa.Huwa hazina utii wala upendo dhati.
Ndoa ya aina hii ikifikisha miaka 4 huwa
hazivunjiki wahusika huishi kwa mazoea.

9. NDOA YA UPENDO.

Ndoa hizi ziliishia mwaka 1978 kabla ya vita vya
kagera.Muoaji na muolewaji hawakuangalia vitu
ila utu tu ambao uliwaunganisha na kutengeneza
upendo wa kudumu. Hii ilidumu miaka yote.

10. NDOA KUCHUMA

Ndoa hii ufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
akapate kitu au vitu fulani kutoka kwa upande
mmoja wapo. Hii hudumu miaka kadhaa
kutegemea na malengo ya mhusika. Wengine
husubiri mpaka mhusika afe,lkn hujikuta
wanakufa wao kwanza.
Kuwa mwangalifu!

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_02310e2259ad721bd2d9e3f9c23697db, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

George Mallya (Guest) on July 7, 2024

Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆

Philip Nyaga (Guest) on June 29, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! 😂

John Lissu (Guest) on June 15, 2024

😆😂👏

Baraka (Guest) on June 8, 2024

😄 Umenishika vizuri!

Frank Macha (Guest) on May 25, 2024

Hii ni bomba sana! 🤣👍

Joseph Kawawa (Guest) on May 21, 2024

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! 😆

Christopher Oloo (Guest) on April 1, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉

Benjamin Masanja (Guest) on March 7, 2024

Nimecheka hadi machozi 🤣😭

Nancy Kabura (Guest) on February 28, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! 😅

Rose Amukowa (Guest) on February 23, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! 😄

Monica Nyalandu (Guest) on February 12, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Wanyama (Guest) on January 15, 2024

😂 Nalia kwa kweli hapa!

Amani (Guest) on January 7, 2024

😆 Naihifadhi hii!

Betty Kimaro (Guest) on December 18, 2023

😊🤣🔥

Betty Kimaro (Guest) on December 11, 2023

🤣😆😊😂

Faiza (Guest) on November 28, 2023

😄 Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Rose Lowassa (Guest) on November 26, 2023

Nimefurahia sana hii joke! 😅😂

Charles Wafula (Guest) on November 26, 2023

Hii imenichekesha sana! 🤣😆

Samson Tibaijuka (Guest) on November 13, 2023

Hii imenikuna! 😆😊

Rose Waithera (Guest) on November 6, 2023

😂 Nitaiiba hii bila shaka!

Lucy Mushi (Guest) on October 20, 2023

😅 Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Grace Njuguna (Guest) on October 4, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! 😂🤣

Grace Wairimu (Guest) on October 1, 2023

😅 Bado nacheka!

Agnes Lowassa (Guest) on September 15, 2023

😆😅😂

Frank Sokoine (Guest) on September 12, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Lucy Wangui (Guest) on September 10, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Mariam Kawawa (Guest) on July 11, 2023

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Moses Mwita (Guest) on July 4, 2023

😄 Umenishika vizuri!

Alice Mrema (Guest) on June 9, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣

Victor Malima (Guest) on May 20, 2023

Hii imenichekesha sana! 😄😂

Catherine Mkumbo (Guest) on May 15, 2023

Umesema kweli! 👌😂

Mary Kendi (Guest) on May 9, 2023

🤣👍👌

George Wanjala (Guest) on May 8, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Mzee (Guest) on April 3, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Patrick Akech (Guest) on March 17, 2023

😂😂🤣

Patrick Mutua (Guest) on February 18, 2023

😄😅👏😂

Jackson Makori (Guest) on February 6, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! 😄😆

Mary Kidata (Guest) on January 31, 2023

😂🤣😆👏

Mwanaidha (Guest) on January 21, 2023

😂 Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anna Malela (Guest) on December 23, 2022

😆 Nacheka hadi chini!

Biashara (Guest) on December 14, 2022

😆 Bado nacheka, siwezi kuacha!

Abdullah (Guest) on October 26, 2022

🤣 Ninaituma sasa hivi!

Kevin Maina (Guest) on October 24, 2022

😂 Nacheka hadi nalia!

Mary Mrope (Guest) on October 18, 2022

Hii ni ya kufurahisha! 😄😅

Josephine Nekesa (Guest) on October 6, 2022

Hii imenifurahisha sana! 😊😅

Alex Nyamweya (Guest) on September 2, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! 😆

Robert Ndunguru (Guest) on August 26, 2022

👏🤣😆😂

Grace Majaliwa (Guest) on August 24, 2022

🤣🤣👏😆

Anna Malela (Guest) on August 1, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! 😂😂

Peter Mugendi (Guest) on July 17, 2022

😂😅

Frank Sokoine (Guest) on July 11, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! 😂🤣

Brian Karanja (Guest) on July 8, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! 📌

Baridi (Guest) on June 13, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🤣

Mary Njeri (Guest) on June 11, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma 😂😂

Hellen Nduta (Guest) on May 2, 2022

😂 Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

John Lissu (Guest) on April 12, 2022

🤣 Nalia kwa kicheko kweli!

Fadhila (Guest) on April 10, 2022

🤣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mary Kidata (Guest) on April 3, 2022

🤣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 26, 2022

Nimefurahia hii sana! 😆😊

Samuel Were (Guest) on March 25, 2022

😄 Sikutarajia hiyo ikitokea!

Related Posts

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.👉 Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_02310e2259ad721bd2d9e3f9c23697db, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3