Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_86f84c5cf20d618a6312bee4521b78b1, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_86f84c5cf20d618a6312bee4521b78b1, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_86f84c5cf20d618a6312bee4521b78b1, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_86f84c5cf20d618a6312bee4521b78b1, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_86f84c5cf20d618a6312bee4521b78b1, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Kuumbwa kwa Dunia

Featured Image
Mungu aliumba Dunia kwa siku sita hatua kwa hatua kama ifuatavyo;
Siku ya kwanza
Mungu aliumba nuru, nuru ikawa mchana na giza usiku
Siku ya pili
Mungu akaumba anga, anga likakaa juu na maji na ardhi vikawa chuini
Siku ya tatu
Mungu akatenga maji na nchi kavu, maji yakawa bahari na nchi ikawa ardhi, akaoytesha mimea ya kila aina katika nchi
Siku ya nne
Mungu aliumba jua mwezi na nyota, jua liangaze mcana na mwezi na nyota ziangaze usiku.
Siku ya tano
Mungu aliumba samaki na ndege
Siku ya sita
Mungu aliumba wanyama kisha akaumba mtu

Mungu aliumba ulimwengu ili adhihirishe utukufu wake na kutushirikisha wema, ukweli na uzuri wake.
Aidha Mungu aliumba ulimwengu kwa uwezo wake kwa kusema neno bila kutumia chochote. (Mwa. 1:1…)
AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_86f84c5cf20d618a6312bee4521b78b1, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mariam Kawawa (Guest) on February 9, 2024

Mungu akubariki!

Francis Mrope (Guest) on August 22, 2023

Mwamini Bwana; anajua njia

Henry Mollel (Guest) on July 22, 2023

Neema ya Mungu inatosha kwako

Dorothy Nkya (Guest) on July 5, 2023

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

David Kawawa (Guest) on May 15, 2023

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Andrew Odhiambo (Guest) on December 31, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Elizabeth Malima (Guest) on September 23, 2022

Rehema hushinda hukumu

Edwin Ndambuki (Guest) on June 17, 2022

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Anthony Kariuki (Guest) on June 15, 2022

Mwamini katika mpango wake.

Grace Majaliwa (Guest) on April 19, 2022

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Moses Mwita (Guest) on December 24, 2021

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Victor Kimario (Guest) on October 31, 2021

Endelea kuwa na imani!

Elizabeth Malima (Guest) on August 14, 2021

Imani inaweza kusogeza milima

Alice Mrema (Guest) on July 24, 2021

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Elizabeth Malima (Guest) on April 4, 2021

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Josephine Nekesa (Guest) on October 17, 2020

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Vincent Mwangangi (Guest) on September 6, 2020

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Stephen Amollo (Guest) on August 31, 2020

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Joseph Mallya (Guest) on June 11, 2020

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Ann Awino (Guest) on May 12, 2020

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Rose Waithera (Guest) on May 3, 2020

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Grace Mligo (Guest) on February 18, 2020

Tumaini ni nanga ya roho

Janet Wambura (Guest) on December 23, 2019

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Lucy Kimotho (Guest) on December 12, 2019

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Stephen Mushi (Guest) on October 25, 2019

Nakuombea 🙏

Samuel Were (Guest) on August 28, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Irene Makena (Guest) on August 5, 2019

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

David Kawawa (Guest) on May 19, 2019

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Paul Ndomba (Guest) on April 26, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Joseph Mallya (Guest) on December 13, 2018

Sifa kwa Bwana!

Miriam Mchome (Guest) on November 18, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Robert Okello (Guest) on November 15, 2018

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Samuel Were (Guest) on October 14, 2018

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Anthony Kariuki (Guest) on December 28, 2017

Neema na amani iwe nawe.

Irene Akoth (Guest) on December 23, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Elizabeth Mrope (Guest) on August 17, 2017

Rehema zake hudumu milele

Sarah Mbise (Guest) on August 4, 2017

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Michael Onyango (Guest) on May 13, 2017

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Alex Nakitare (Guest) on March 16, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Susan Wangari (Guest) on February 16, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Esther Cheruiyot (Guest) on December 24, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

George Ndungu (Guest) on May 16, 2016

Katika imani, yote yanawezekana

Samuel Were (Guest) on April 6, 2016

Dumu katika Bwana.

Andrew Mahiga (Guest) on March 4, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Lucy Kimotho (Guest) on January 12, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Stephen Kangethe (Guest) on November 10, 2015

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Nancy Kawawa (Guest) on August 13, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Robert Okello (Guest) on August 9, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Francis Mtangi (Guest) on June 8, 2015

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Lucy Mushi (Guest) on April 7, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Related Posts

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu viongozi wa kidini na maaskofu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu viongozi wa kidini na maaskofu?

Katika imani ya Kanisa Katoliki, viongozi wa kidini na maaskofu ni watu muhimu sana katika kufiki... Read More

MAANA YA SALA KWA MKRISTO

MAANA YA SALA KWA MKRISTO

Read More
Kuomba Msamaha katika Huruma ya Mungu: Njia ya Uongofu

Kuomba Msamaha katika Huruma ya Mungu: Njia ya Uongofu

  1. Kuomba Msamaha ni Njia ya Uongofu

Katika maisha yetu, tunakosea wakati mwingi... Read More

Ibada ya Novena ya Huruma ya Mungu: Kupokea Neema na Baraka

Ibada ya Novena ya Huruma ya Mungu: Kupokea Neema na Baraka

Ibada ya Novena ya Huruma ya Mungu: Kupokea Neema na Baraka

Karibu kwa Ibada ya Novena ya ... Read More

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuheshimu na kutii viongozi wa kidini na maaskofu?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuheshimu na kutii viongozi wa kidini na maaskofu?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuheshimu na kutii viongozi wa kidini na maaskofu? Jibu ... Read More

Ushauri wangu kwa leo, ni Heri kuchagua kunyamaza

Ushauri wangu kwa leo, ni Heri kuchagua kunyamaza

MITHALI 11:12 Asiye na akili humdharau mwenziwe; Bali mtu aliye na ufahamu hunyamaza.

MITHA... Read More

MALAIKA WA MUNGU

MALAIKA WA MUNGU

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Kipaimara?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Kipaimara?

Sakramenti ya Kipaimara ni sakramenti ya tatu katika Kanisa Katoliki baada ya Sakramenti ya Ubati... Read More

Huruma ya Mungu: Umoja wa Neema na Upendo

Huruma ya Mungu: Umoja wa Neema na Upendo

  1. Huruma ya Mungu ni upendo wa ajabu ambao Mungu wetu anatuhurumia sisi wanadamu kila sik... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu amri kumi za Mungu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu amri kumi za Mungu?

Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu makubwa duniani. Imani yake inaongozwa na biblia na kanuni za k... Read More
Utaratibu wa Mkristo Mkatoliki Kanisani

Utaratibu wa Mkristo Mkatoliki Kanisani

Read More
Ishara ya Msalaba

Ishara ya Msalaba

Read More

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_86f84c5cf20d618a6312bee4521b78b1, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3