Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
☰
AckyShine

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Featured Image
236 Comments

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Featured Image
236 Comments

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Featured Image

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja akafanikiwa kupanda akaondoka…

Yule aliyebaki akaanza kucheka sanaa mpaka machozi yakamtoka.

237 Comments

Eti kwani wewe ni turubali?

Featured Image
237 Comments

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Featured Image
Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujitazama akaona kama kavaa suti! then akaenda kama alivyo zaliwa kwa masela wenzake akawauliza vp suti imenikaa? Mvuta bangi mwenzie akamwambia "imekutoa kinyama ila tai umeifunga chini sana".
237 Comments

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Featured Image
236 Comments

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Featured Image

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO.
MA-MDOGO UNAENDA?,
NGOJA ASHUKE BIBI.
HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH.
Babu njoo ukae!
Baba angu hapo tusogee kidogo,

Β 

237 Comments

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Featured Image
236 Comments

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Featured Image
240 Comments

Huyu mke ni shida!

Featured Image
237 Comments
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact