Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Je Bikira Maria Alizaa Watoto Wengine?

Featured Image
51 Comments

Huruma ya Mungu: Ukarimu Usiokuwa na Kikomo

Featured Image
Huruma ya Mungu ni zawadi yenye thamani kubwa sana. Haijalishi tunapitia nini maishani mwetu, Mungu daima yuko upande wetu. Kwa hiyo, tunapaswa kuwa wakarimu na kushiriki upendo wake kwa wengine. Kwa sababu katika Huruma ya Mungu, hakuna ukomo!
50 Comments

Kwa nini tarehe ya Pasaka hubadilika

Featured Image

KALENDA za mwanzo ziliutumia mwezi wa
angani kama kipimo cha muda. Ziliitwa
“Lunar calender” au Kalenda-Mwezi. Tarehe 1
ya Mwezi ilikuwa ni siku ulipoandama yaani
Mwezi-Mdogo (Crescent Moon).
Mwezi unapofika siku ya 15 unakuwa
umefikia ukubwa wa juu na huitwa Mwezi-
Mkubwa (Full Moon). Hivyo kwa kalenda ile
tarehe 15 ilikuwa ni siku ya Mwezi-Mkubwa.
Mwaka 45KK, Julius Caesar alitangaza
kalenda mpya ikaitwa “Julian Calender” iwe
na siku 365. Wakati huo ikijulikana kwamba
jua huzunguka kwa siku 365.25. Hivyo pengo
la kalenda na mzunguko likabaki robo siku.

50 Comments

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu nguvu za shetani?

Featured Image
What does the Catholic Church believe about the power of Satan? Well, let's dive into this devilishly intriguing topic!
50 Comments

Mambo ya kufahamu katika kipindi cha kwaresima

Featured Image
50 Comments

Mambo ya Msingi Unayopaswa kufahamu kuhusu Ekaristi Takatifu: Mwili na Damu Ya Bwana Wetu Yesu Kristu

Featured Image
50 Comments

Biblia inavyothibitisha kuwa Bikira Maria Mama wa Yesu ni Mama wa Wakristu Wote

Featured Image
50 Comments

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ndoa?

Featured Image
What is the Catholic Church's belief on the sacrament of marriage? Let's explore this joyous topic together!
50 Comments

Ufalme wa simu wa sasa

Featured Image

➡ Asubuhi saa 12 : 00 mtu anaamka, kabla hata HAJAMUSHUKURU MUNGU, kabla hata hajatoka kitandani, kabla hata hajajifunua shuka,

👉ATARIPOTI KWA SIMU KWANZA KABLA YA KURIPOTI KWA YEYOTE, NDIO HAPO UNAONA MTU AKIAMKA KABLA HATA HAJASALI KWA MUNGU ANAAMKIA SIMU KWANZA KUIKAGUA,
- Nani alinitafuta?
-Nani alini-text?
-WhatsApp nani kanitumia msg?
- kwenye magroup kuna mpya gani?
- Fb kuna post gani kali?
- nani kaweka picha kali leo?

50 Comments

MAFUNDISHO KUHUSU NAFASI YA MAMA BIKIRA MARIA

Featured Image
50 Comments
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact